Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Eh? unatafuta kumegwa kisela? ni-PM tuyamalize.Ulikuwa wapi wewe?? Nimekutafuta sana leo
Eh? unatafuta kumegwa kisela? ni-PM tuyamalize.Ulikuwa wapi wewe?? Nimekutafuta sana leo
weee mjinga huna akili hata kidogo!amani katoshi: Labda nimesahau. Hivi kanisa lilitoa tamko baada ya mauaji ya wana cuf? Hivi kulisema kanisa ni udini? Nikisema kanisa lilishiriki katika mauaji ya kimbari rwanda(vatican wamekiri na kuomba msamaha) nitaitwa pia mdini? Na wapi nimeshindwa kuoanisha mambo? Je cuf hawakuuawa kwa sababu ya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi kama cdm walivyouawa arusha?
mkuu nashukuru ukombozi wa nchi hiii utaletwa na watu kama nyinyi!
salaam alaeikum.ndugu zangu waislamu wakati mwingine tusishabikie maswala kama ligi ya mpira. Inabidi tuwe analytical. Hivi tumesahau pale askofu polikapi pengo alipomwambia mkapa kuwa ccm ni kichaka cha majambaz???!!! Wakati mkapa naye ni mkristo!!sasa hapo kulikuwa na udini gani hapo. Hivi kupanda kwa bei ya umeme na hali mbaya tunayoipata sasa hivi inawaathiri wakristo peke yao?? Hela ambazo serikali inataka kuipa dowans, hujui itawafaidia akina lowasa,rostam na chenge?? Sasa hao mapapa watatu na wengine wanyonyaji wanadini hao?
Kama tusiposhikamana pmoja hawa mafisadi wataendelea kutugawa kusudi watunyonye na tubaki na chuki za kidini.
Mafisadi hawana dini,
Watu wengine wako kama kuku ni rahisi sana kusahau!! NI viongozi wa dini gani vile walisema JK ni chaguo la Mungu?Dini yeyote yenye kutaka kumkingia kifua kiongozi dhaifu, eti kwasababu ni muumini wake, ni dini isiyotoka kwa Mungu. Ni dini mfilisi na siwezi kupoteza muda wangu kujifunza inachofunza.
Kikwete ni dhaifu, na madhara ya madhaifu yake yanampata kila mtu na dini yake. Waliokingiwa madhara ya udhaifu wake ni marafiki zake, wanamtandao na hao ni wa dini zote. Baadhi ya watu wanaofaidika ni pamoja na wale wanaokuja kupiga debe hapa JF. Orodha yao inazidi kuongezeka kadiri kashfa za Kikwete zinavoongezeka na kuhitaji watetezi.
Ipo siku ambayo haihitaji mpiga debe, ukweli utachambuliwa kama karanga na kila mtu atavuna aibu ya misimamo yake ya kipuuzi au furaha yake kwa kusimamia hoja za msingi na mstakabali wa watu na nchi yetu.
Mungu ametupatia nchi, kisha akatuagiza tuilinde na kuitunza. Hatuwezi kuilinda nchi yetu kwa kuruhusu wabakaji waendelee kubaka kadiri ya wanavyotaka na sisi tukaendelea kuwatizama tu.
Mimi baba yangu ni kiongozi mkubwa huko msikitini kwao, na mjomba wangu ni askofu mkubwa huko kanisani kwao, lakini inanisaidia nini mimi kama nchi yangu inaibiwa na ninakaa gizani na baba na mjomba wangu? Upuuzi watuondolee huko....
Viongozi wetu wasipoangalia saa ya kupingana kwa maneno inakwisha na muda wa kupigana kwa vitendo inakimbia kuja... ole wenu mnaocheza na amani iliyojengwa...
akha! ...........
,,,,,,,,,
Ndugu yangu unazungumza na kipofu na kiziwi, ukweli kwake ni ujinga na kuganganya ni chakula takatifu!!Amani Katoshi: Labda nimesahau. Hivi kanisa lilitoa tamko baada ya mauaji ya wana CUF? Hivi kulisema kanisa ni Udini? Nikisema kanisa lilishiriki katika mauaji ya kimbari Rwanda(Vatican wamekiri na kuomba msamaha) nitaitwa pia mdini? Na wapi nimeshindwa kuoanisha mambo? Je CUF hawakuuawa kwa sababu ya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi kama CDM walivyouawa Arusha?
Huu ni upupu!!! Wewe unaishi dunia gani aisee? Huoni aibu kuleta bandiko kama hili hapa? Wewe ni mdini na udini hatutakaa tuupe nafasi Tanzania kwani udini ni sumu kupita kiasi. Kupanda mbegu za udini ni kuyatafuta yale yaliyotokea Rwanda kati ya Wahutu na Watutsi ila sisi hapa itakuwa ni kati wa wakristo na waislamu. Ng'oa hii mbegu mbaya ya udini kutoka kwenye jamii ya Watanzania kwani ni hatari na mbaya kuliko ukoma!!! Wewe unasema hayo na umesahau kwamba meya wa Arusha aliyekataliwa na viongozi wa dini ya kikiristo ni mkristo mwenzao vipi angekuwa ni muislamu hapo tena si ingekuwa ni balaa? Umepewa akili itumie kuchambua mambo na wala usije hapa kuweka mabandiko kwa ajili ya kuwafurahisha waliokutuma!!!!
Tiba
Eh? unatafuta kumegwa kisela? ni-PM tuyamalize.
Uislamu ni dini ya kinafiki sana!...................kwani oic imefikia wapi?
Sio wote mkuu ingawa nakubali viongozi wao wanatumika vibaya sana kwenye hii issue. Naamini kuna waislam hawaifurahii hii hali kwani kati ya majeruhi hospitalini kuna waislam sasa sijui hapo wanasemaje. Yaani hai-make sense kabisa kufanya this a religious issue.
Mimi siwezi kuita mawazo yako upupu lakini ni wazi kuwa mawazo yako yamepitwa na wakati.
1. Tanzania hakuna udini na udini unataka kuletwa na wana siasa hasa CCM kwa lengo la kumpiga vita Dr. Slaa kwasababu aliwahi kuwa padre wa katoliki.
2. Agenda hii ya udini ambao haupo utaiangusha CCM huko mbele, kwani huwezi kutukana watu wa dini moja wakati unawahitaji kwenye chama na ni wanachama wengi.
3. CUF ni kweli hawajasema lakini ni muda umepita na kuna mwamko sana Tanzania. Tanzania ya sasa si ya miaka 10 au mitano iliyopita. Hiki ni kitu watu wengi walio madarakani bado inawachukuwa muda kuelewa. Tanzania imebadilika na hairudi nyuma. watu wamechoka na umasikini na kikubwa kinachowasibu ni ufisadi unaofanywa na wana siasa wa kusaini mikataba mibovu. Waliosini hii mikataba ni CCM hivyo ni lazima ilalamikiwe.
Kwa wana CCM dawa ya upinzani si polisi, malalamishi wala udini bali ni maendeleo tu. Bila maendeleo yanayo onekana wananchi watawatoa wadarakani siku moja. kanda nzima ya kaskazini na ya ziwa iko kwenye huu mwamko. Ukitoa Tanga mikoa yote ya Kagera, Mwanza, Shinyanga, Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro inabadilika na huwezi kuwadanganyishia watu na dini kwani Watanzania hata kwenye familia kuna dini tofauti!. Makanisa hayana utamu wowote Tanzania kwani wenyewe ndiyo wanasaidia nchi hasa vijijini kuanzia shule hadi Hospitali. Miji mingi Tanzania imeanzishwa kwasababu ya juhudi za kimaendeleo ya Kanisa. Hivyo ndugu yangu unatatizo moja tu mawazo yako yamepitwa na wakati!
Vyereje Babu???Kama polisi ni zaidi hapa nchini sasa tutajuana huku uraiani.
Polisi na ndugu zao wote hatutawapa ushirikiano tena huku uraiani popote pale, hatutafanya biashara yoyote na nyie na hata ukilazimisha lifti kwenye gari yangu kuna uwezekano mkubwa nikabamiza gari langu mwenyewe kwa upande uliko ili ufe sawa na raia wenzetu mliowaua kiunyama Arusha.
Tangu sasa polisi hata kama ni ndugu yangu toka nitoke tusijuane na mtoto wangu yeyote atakayejiunga na jeshi hili alaaniwe na afe mara moja hata kabla hajamaliza mafunzo hayo.
HAWA MASHEHE NI WAPUMBAVU.ina maana ISMAIL OMARY [40] Aliyefariki kipindi cha vurugu ni MKATOLIKI [mkristo]???
MTU MZIMA NA MWENYE HEKIMA AKIKOSA LA KUONGEA HUKAA KIMYA, Shame on them????/:frog::frog::frog:
Ya Mugabe ni ya Mugabe na wala hakuna uhusiano na hili la Tanzania. Ungepaswa kujiuliza wakati kiongozi wa dini anaposema waliouwawa Pemba wanastahili lawama kwa kuvunja Sheria ulikuwa hujazaliwa hapa Tanzania?acha ujinga au ficha uppuzi wako usije ukadharaulika, ni dini gani isiyokemea mauaji? angekuwa ni slaa anatawala halafu mauaji kama arusha yalitokea kanisa lingekaa kimyaa?, labda nikukumbushe robert gabriel mugabe ni mkatoliki pure, lakini yeye na kanisa katoliki ni mwiba, kwa kuwa ni jambazi la kisiasa, nenda kasome kuhusu arch bishop ncube na mugabe. kanisa lina support tsavanigai ambaye hata dini yake haijulikani simply tu anatenda haki. sasa watu wenye akili fupi kama wewe tayari unaanza kuyatazama mauaji ya arusha kwa jicho la udini. watu kama nyie ingekuwa enzi za makaburu mlikuwa mnafungiwa magurudume shingoni halafu mnachomwa moto. shame on you