BAKWATA na Mauaji Arusha

BAKWATA na Mauaji Arusha

amani katoshi: Labda nimesahau. Hivi kanisa lilitoa tamko baada ya mauaji ya wana cuf? Hivi kulisema kanisa ni udini? Nikisema kanisa lilishiriki katika mauaji ya kimbari rwanda(vatican wamekiri na kuomba msamaha) nitaitwa pia mdini? Na wapi nimeshindwa kuoanisha mambo? Je cuf hawakuuawa kwa sababu ya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi kama cdm walivyouawa arusha?
weee mjinga huna akili hata kidogo!
 

salaam alaeikum.ndugu zangu waislamu wakati mwingine tusishabikie maswala kama ligi ya mpira. Inabidi tuwe analytical. Hivi tumesahau pale askofu polikapi pengo alipomwambia mkapa kuwa ccm ni kichaka cha majambaz???!!! Wakati mkapa naye ni mkristo!!sasa hapo kulikuwa na udini gani hapo. Hivi kupanda kwa bei ya umeme na hali mbaya tunayoipata sasa hivi inawaathiri wakristo peke yao?? Hela ambazo serikali inataka kuipa dowans, hujui itawafaidia akina lowasa,rostam na chenge?? Sasa hao mapapa watatu na wengine wanyonyaji wanadini hao?
Kama tusiposhikamana pmoja hawa mafisadi wataendelea kutugawa kusudi watunyonye na tubaki na chuki za kidini.
Mafisadi hawana dini,
mkuu nashukuru ukombozi wa nchi hiii utaletwa na watu kama nyinyi!
 
Dini yeyote yenye kutaka kumkingia kifua kiongozi dhaifu, eti kwasababu ni muumini wake, ni dini isiyotoka kwa Mungu. Ni dini mfilisi na siwezi kupoteza muda wangu kujifunza inachofunza.

Kikwete ni dhaifu, na madhara ya madhaifu yake yanampata kila mtu na dini yake. Waliokingiwa madhara ya udhaifu wake ni marafiki zake, wanamtandao na hao ni wa dini zote. Baadhi ya watu wanaofaidika ni pamoja na wale wanaokuja kupiga debe hapa JF. Orodha yao inazidi kuongezeka kadiri kashfa za Kikwete zinavoongezeka na kuhitaji watetezi.

Ipo siku ambayo haihitaji mpiga debe, ukweli utachambuliwa kama karanga na kila mtu atavuna aibu ya misimamo yake ya kipuuzi au furaha yake kwa kusimamia hoja za msingi na mstakabali wa watu na nchi yetu.

Mungu ametupatia nchi, kisha akatuagiza tuilinde na kuitunza. Hatuwezi kuilinda nchi yetu kwa kuruhusu wabakaji waendelee kubaka kadiri ya wanavyotaka na sisi tukaendelea kuwatizama tu.

Mimi baba yangu ni kiongozi mkubwa huko msikitini kwao, na mjomba wangu ni askofu mkubwa huko kanisani kwao, lakini inanisaidia nini mimi kama nchi yangu inaibiwa na ninakaa gizani na baba na mjomba wangu? Upuuzi watuondolee huko....

Viongozi wetu wasipoangalia saa ya kupingana kwa maneno inakwisha na muda wa kupigana kwa vitendo inakimbia kuja... ole wenu mnaocheza na amani iliyojengwa...

akha! ...........
,,,,,,,,,
Watu wengine wako kama kuku ni rahisi sana kusahau!! NI viongozi wa dini gani vile walisema JK ni chaguo la Mungu?
 
Amani Katoshi: Labda nimesahau. Hivi kanisa lilitoa tamko baada ya mauaji ya wana CUF? Hivi kulisema kanisa ni Udini? Nikisema kanisa lilishiriki katika mauaji ya kimbari Rwanda(Vatican wamekiri na kuomba msamaha) nitaitwa pia mdini? Na wapi nimeshindwa kuoanisha mambo? Je CUF hawakuuawa kwa sababu ya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi kama CDM walivyouawa Arusha?
Ndugu yangu unazungumza na kipofu na kiziwi, ukweli kwake ni ujinga na kuganganya ni chakula takatifu!!
 
Haya,what we need from udini will soon come to be a reality,keep going moving with udini
 
Huu ni upupu!!! Wewe unaishi dunia gani aisee? Huoni aibu kuleta bandiko kama hili hapa? Wewe ni mdini na udini hatutakaa tuupe nafasi Tanzania kwani udini ni sumu kupita kiasi. Kupanda mbegu za udini ni kuyatafuta yale yaliyotokea Rwanda kati ya Wahutu na Watutsi ila sisi hapa itakuwa ni kati wa wakristo na waislamu. Ng'oa hii mbegu mbaya ya udini kutoka kwenye jamii ya Watanzania kwani ni hatari na mbaya kuliko ukoma!!! Wewe unasema hayo na umesahau kwamba meya wa Arusha aliyekataliwa na viongozi wa dini ya kikiristo ni mkristo mwenzao vipi angekuwa ni muislamu hapo tena si ingekuwa ni balaa? Umepewa akili itumie kuchambua mambo na wala usije hapa kuweka mabandiko kwa ajili ya kuwafurahisha waliokutuma!!!!

Tiba


Huyu ni mwenye upupu au alieleta na wanaoshabikia hii thread?? Hebu thibitisha hayo yaliyoandikwa ndani ya hiyo habari. Au kama katika habari kuna wakati hao mashehe walinukuliwa wakizungumzia udini?
Tatizo lenu wengi ni kuwa panapo uislamu ni udini panapo Ukiristo si udini9 Inafaa mtueleze ni kitu gani). Walioanza kujihusisha na sakata hili kwa viongozi wa dini ni Wakristo mbona hamkusema kuwa ni udini? Sasa waioslamu wanaposema kuwa tujihadhari mnakurupuka na kusema ni udini?
Kwani kwenye hiyo habari uliosoma hukuona sehemu ambayo inakanusha dhana nzima ya mashehe kutumiwa?
 
nawaombeni msinitukanie dini yangu naimani sana na quran yangu naipenda naiheshimu. kwa sababu ya ya ujinga wa ccm. na nyinyi ccm acheni mara moja kujitetea kwa mgongo wa uislam. na nyinyi mashekh kama mmepewa vipesa kupoteza maana ya uislaam mtakiona siku ya hukumu.
 
Eh? unatafuta kumegwa kisela? ni-PM tuyamalize.

Mimi huwa napenda kusoma hoja zako kwa sababu zinanisaidia kujua vichaa wana mawazo gani...Ila leo nimegundua kuwa ukichaa wako ni mkubwa kuliko nilivyodhani mwanzo au labda ni bangi umezidisha.
 
hawa mashehe naona sasa wataka kupewa ukuu wa mikoa na wilaya na mkwere.kujipendekeza gani huko?! HATUZUNGUMZII WAISLAMU/WAKRISTO WALIOPOTEZA MAISHA BALI TWAZUNGUMZIA WATANZANIA WAISHIO A RUSHA WALIOPOTEZA MAISHA WAKATI WA VURUGU.Huwa najiuliza ,mbona hata siku moja sijawahi sikia wakristo wakilalama lolote kuhusu swala la udini? ilhali kila kukicha mkwere anateua waislamu? Huu udini wanauona waislamu tu?natambua mna ajenda ya siri ya ya kupitisha mahakama ya kadhi,lakini si kwa stail hiyo.SERIKALI YETU HAINA DINI ,BALI SISI WANANCHI TUNA DINI.naona ndugu zangu waislamu tz imewashinda,
Basi nawapa ushauri wa bure,HAMENI NCHI,KWANI ZIPO NCHI NYINGI TU ZINAENDESHWA KWENYE MISINGI YA SHARIA
 
Uislamu ni dini ya kinafiki sana!...................kwani oic imefikia wapi?

Sio wote mkuu ingawa nakubali viongozi wao wanatumika vibaya sana kwenye hii issue. Naamini kuna waislam hawaifurahii hii hali kwani kati ya majeruhi hospitalini kuna waislam sasa sijui hapo wanasemaje. Yaani hai-make sense kabisa kufanya this a religious issue.
 
Kusema Arusha kuna udini juu ya mgogoro uliopo ni kukosa mawazo chanya juu ya Utaifa
 
HAWA MASHEHE NI WAPUMBAVU.ina maana ISMAIL OMARY [40] Aliyefariki kipindi cha vurugu ni MKATOLIKI [mkristo]???
MTU MZIMA NA MWENYE HEKIMA AKIKOSA LA KUONGEA HUKAA KIMYA, Shame on them????/:frog::frog::frog:
 
Sio wote mkuu ingawa nakubali viongozi wao wanatumika vibaya sana kwenye hii issue. Naamini kuna waislam hawaifurahii hii hali kwani kati ya majeruhi hospitalini kuna waislam sasa sijui hapo wanasemaje. Yaani hai-make sense kabisa kufanya this a religious issue.

hata mimi inanikera sana humu jf tunajumlishwa wote waislam wanafki, hatujasoma, acheni hizo sisi wenyewe tunasikitika juu ya viongozi wetu kushabikia ujinga na umaskini. unajua si kila muislam anaifuata bakwata na bakwata ndo uozo ulipo, tupiganie maisha bora watz.
 
Mimi siwezi kuita mawazo yako upupu lakini ni wazi kuwa mawazo yako yamepitwa na wakati.
1. Tanzania hakuna udini na udini unataka kuletwa na wana siasa hasa CCM kwa lengo la kumpiga vita Dr. Slaa kwasababu aliwahi kuwa padre wa katoliki.
2. Agenda hii ya udini ambao haupo utaiangusha CCM huko mbele, kwani huwezi kutukana watu wa dini moja wakati unawahitaji kwenye chama na ni wanachama wengi.
3. CUF ni kweli hawajasema lakini ni muda umepita na kuna mwamko sana Tanzania. Tanzania ya sasa si ya miaka 10 au mitano iliyopita. Hiki ni kitu watu wengi walio madarakani bado inawachukuwa muda kuelewa. Tanzania imebadilika na hairudi nyuma. watu wamechoka na umasikini na kikubwa kinachowasibu ni ufisadi unaofanywa na wana siasa wa kusaini mikataba mibovu. Waliosini hii mikataba ni CCM hivyo ni lazima ilalamikiwe.
Kwa wana CCM dawa ya upinzani si polisi, malalamishi wala udini bali ni maendeleo tu. Bila maendeleo yanayo onekana wananchi watawatoa wadarakani siku moja. kanda nzima ya kaskazini na ya ziwa iko kwenye huu mwamko. Ukitoa Tanga mikoa yote ya Kagera, Mwanza, Shinyanga, Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro inabadilika na huwezi kuwadanganyishia watu na dini kwani Watanzania hata kwenye familia kuna dini tofauti!. Makanisa hayana utamu wowote Tanzania kwani wenyewe ndiyo wanasaidia nchi hasa vijijini kuanzia shule hadi Hospitali. Miji mingi Tanzania imeanzishwa kwasababu ya juhudi za kimaendeleo ya Kanisa. Hivyo ndugu yangu unatatizo moja tu mawazo yako yamepitwa na wakati!

Pengine ungeanzia na kumuonya mwandishi lakini kinyume cha hivyo uko kwenye mkumbo ule ule kuwa UIslamu ni UDINI
 
nilikua nawaza clashes kama za nigeria city of jos are far from possible in a country like ours...but it seems i might be wrong...Mtazamo wa watu fulanifulani hku unanitisha na inaonekana swala la udini limeshaingia kwenye roho zao na wanakubali kutumiwa na watu wengine kwa maslahi yao wenyewe hii hali inatisha...We need solution for this evil seed being planted slowly in peoples mind na tusipokemea mapema bearing in mind mitazamo ya watufulanifula who cant see beyond beyond their religious tutafika jos one day... Please we need to guard our thoughts and change the way we think...not everything you see and listen is correct...Plz ANALYZE things CRITICALLY na je mtazamo wako unawabenefit nini jamii yako, familia yako, and your future siblings... Jst realized that the Gas is leaking...we might as well start a spark or stop it the gas from leaking.. the choice is still ours and i know we still have time.
 
Kama polisi ni zaidi hapa nchini sasa tutajuana huku uraiani.

Polisi na ndugu zao wote hatutawapa ushirikiano tena huku uraiani popote pale, hatutafanya biashara yoyote na nyie na hata ukilazimisha lifti kwenye gari yangu kuna uwezekano mkubwa nikabamiza gari langu mwenyewe kwa upande uliko ili ufe sawa na raia wenzetu mliowaua kiunyama Arusha.

Tangu sasa polisi hata kama ni ndugu yangu toka nitoke tusijuane na mtoto wangu yeyote atakayejiunga na jeshi hili alaaniwe na afe mara moja hata kabla hajamaliza mafunzo hayo.
Vyereje Babu???
 
HAWA MASHEHE NI WAPUMBAVU.ina maana ISMAIL OMARY [40] Aliyefariki kipindi cha vurugu ni MKATOLIKI [mkristo]???
MTU MZIMA NA MWENYE HEKIMA AKIKOSA LA KUONGEA HUKAA KIMYA, Shame on them????/:frog::frog::frog:

Kama wewe na wenzako mna-reflect u-great thinker kwa kauli zenu basi Mungu nipe upumbavu, siwezi kuwa great thinker wa type hii.

Tatizo hapa kuna watu ambao hawajui historia na tafakari yao ni ndogo sana. Hawa kiongozi yeyote wa dini asiyeshabikia CDM basi ni mnafiki hafai na matusi mengi. Kumbuka walivyomtukana mzee wa UPAKO na MAMA Rwakatare.

Ili kiongozi wa dini aoneka mzuri ashabikie upuuzi wao wa CHADEMA.

Wengi wenu mlikuwa mstari wa mbele kulaani CUF baada ya mauaji ya pemba. Mkawaita al qaida etc. Leo Chadema wanaleta vurugu za kijinga mnaita wapigania uhuru!!
Huu ni ujinga uliopita mipaka.

Na kama hayo yanawakilisha 'mungu' wenu basi give me devil any time!!!!!!!
 
acha ujinga au ficha uppuzi wako usije ukadharaulika, ni dini gani isiyokemea mauaji? angekuwa ni slaa anatawala halafu mauaji kama arusha yalitokea kanisa lingekaa kimyaa?, labda nikukumbushe robert gabriel mugabe ni mkatoliki pure, lakini yeye na kanisa katoliki ni mwiba, kwa kuwa ni jambazi la kisiasa, nenda kasome kuhusu arch bishop ncube na mugabe. kanisa lina support tsavanigai ambaye hata dini yake haijulikani simply tu anatenda haki. sasa watu wenye akili fupi kama wewe tayari unaanza kuyatazama mauaji ya arusha kwa jicho la udini. watu kama nyie ingekuwa enzi za makaburu mlikuwa mnafungiwa magurudume shingoni halafu mnachomwa moto. shame on you
Ya Mugabe ni ya Mugabe na wala hakuna uhusiano na hili la Tanzania. Ungepaswa kujiuliza wakati kiongozi wa dini anaposema waliouwawa Pemba wanastahili lawama kwa kuvunja Sheria ulikuwa hujazaliwa hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom