kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Tatizo hii inayojiita Jumuiya ya Kiislamu na baadhi ya makundi ya Kiislaamu yamekuwa yakitumika na serikali ya Kikwete kwa maslahi binafsi.
Bakwata wameshindwa hata kuboresha zahanati zao- hawana hata hospitali moja ya mkoa, achilia mbali ya Rufaa. Hawa ni kupiga domo tu: Sasa kama mgomo ni batili, kipi halali? Ni serikali kushindwa kutoa huduma za afya wa wananchi wake?
Au kwa kuwa Bakwata wameshindwa, ndiyo wanataka kuhalalisha kushindwa huko na kushindwa kwa serikali.
watu mnatia aibu na mnaudhalilisha uislamu. Mmetumika wakati wa uchaguzi, mmepata nini? Mbona kila uchao ndiyo kwanza mnalalamika eti, matokeo ya watoto wenu yanachakachuliwa!
si afya tu hata shule zao za sekondari matokeo yao no mabovu na hasa zile za vijini, na hii si leo tu ni mlolongo wa siku nyingi .Kimsingi unapotoa mada jaribu kuwa analytical , huyu jamaa kama anatoka bakwata achunguze bakwata kama iko sawa .wao wenyewe wameuza mali za bakwata kama viwanja wakamuuzia manji wakapewa rushwa wakanyamaza, leo wanadandia la madaktari, wasafishe nyumba zao kwanza