Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
Katibu Mkuu wa Vijana wa BAKWATA amesema mgomo wa madaktari unaoendelea hauna nia njema kwa taifa.
Amedai mgomo huu unaweza kusababisha vifo vya watz wasionahatia.
amewataka wote wanaoshabikia mauaji ya watz kwa kisingizio cha maslahi kuacha kufanya hivyo kwani ni *kinyume na ubindaamu.
Amewataka waislam na wapenda amani kwa Ujumla kuacha kushabikia vitu visivyo vya msingi
SOURCE: REDIO IMAAN
KIPINDI CHA MWANGAZA KWA JAMII
Amedai mgomo huu unaweza kusababisha vifo vya watz wasionahatia.
amewataka wote wanaoshabikia mauaji ya watz kwa kisingizio cha maslahi kuacha kufanya hivyo kwani ni *kinyume na ubindaamu.
Amewataka waislam na wapenda amani kwa Ujumla kuacha kushabikia vitu visivyo vya msingi
SOURCE: REDIO IMAAN
KIPINDI CHA MWANGAZA KWA JAMII