Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,253
- 1,229
kwenye masuala ya kitaalam, nawashauri watu kama hawa wakae kimya tu!!!!!!
yani wakristo munajiona mumesoma sana lakini sio makosa yenu ni kwasababu dini yeni ya ya mapambo hivi wewe na akili yako roho ya mtu na hizo pesa kipi kina thamani wangapi leo wana hela lakini hawana raha ya maisha kila kitu anambiwa usile chumvi usile sukari usile sasa hapo maisha yana raha gani uhai ni bora kuliko mambo mengine fuateni mafundisho sahihi ya issah bin mariam na kupinga sio bakwata ndio wameanza ha mzee wa upako alipinga au munachuki tuu na waislamu acheni ukafiriiiiiiiiiiiiiii