Ubongo Silaha
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 142
- 69
Hatuelewi?
Hatuwezi kujadili uhalali au ubatili wa vitu bila kuhusisha dini na viongozi wa dini?
Uhalali au ubatili wa mgomo wa madaktari unapaswa kuwa mtizamo wako si wa kukopa kwa shehe au padri au mchungaji
Jadilini hilo
Bakwata au makanisa waseme kwa niaba yao si yako wewe
Wewe una akili timamu, changanua pumba na mchele na sema kile unachoamini kuwa sahihi na jaribu kuwaelimisha wanaopingana na wewe wakuelewe sio uwakashifu
Kukashifu Bakwata au Makanisa ni upumbavu wa hatari na wa kupingwa na nguvu zote
Hatuwezi kujadili uhalali au ubatili wa vitu bila kuhusisha dini na viongozi wa dini?
Uhalali au ubatili wa mgomo wa madaktari unapaswa kuwa mtizamo wako si wa kukopa kwa shehe au padri au mchungaji
Jadilini hilo
Bakwata au makanisa waseme kwa niaba yao si yako wewe
Wewe una akili timamu, changanua pumba na mchele na sema kile unachoamini kuwa sahihi na jaribu kuwaelimisha wanaopingana na wewe wakuelewe sio uwakashifu
Kukashifu Bakwata au Makanisa ni upumbavu wa hatari na wa kupingwa na nguvu zote