BAKWATA: Mgomo wa madaktari ni batili

BAKWATA: Mgomo wa madaktari ni batili

Bakwata yenyewe haipendwi na Waislam wengi so nayo ni Batili kwa jumuiya ya wengi....
 
Another uprising political party in Tanzania.

Only time will tell.
 
mkuu hiyo MoU mnayoilalamikia kila kuchwao hujaona faida zake.?hebu fikiria hospitali zifuatazo zisingekuwepo ingekuwaje
-KCMC
-CCBRT
-BUGANDO
-IFAKARA
-HYDOM
-ACMC
kumbuka kuwa hospitali hizi zinatoa huduma kwa wananchi wote bila kujali dini zao

mkuu watu wana macho lakini bado hawaoni.
 
mkuu hiyo MoU mnayoilalamikia kila kuchwao hujaona faida zake.?hebu fikiria hospitali zifuatazo zisingekuwepo ingekuwaje
-KCMC
-CCBRT
-BUGANDO
-IFAKARA
-HYDOM
-ACMC
kumbuka kuwa hospitali hizi zinatoa huduma kwa wananchi wote bila kujali dini zao

kweli mkuu, serekali *ya CCM inatoa mabilion ya fedha kwa makanisa, huku hata pesa za bajeti zinazotengwa zinaplekwa ktk mahospital haya. kibaya zaidi wabunge wakiugua hata mapdri hupelekwa INDIA. tUACHE unafiku. pesa *hizi zinatumika vibaya. kama zinatumika kwa manufaa ya jamii madaktari BUGANDO wasingegoma, maana na hii ipo ktk MOU .
 
BAKWATA wanahusika vipi kwenye mgomo wa madaktari?
 
tatizo letu sisi waislam wengi uwezo wa kufikiri ni wa kusadikika huwa hatujui wapi ni sahihi na wapi si sahihi,tunakurupuka bila hoja za msingi, hivi wale wanaandaa maandamano na migomo huko znz wanajali kweli maisha na utu wa kkuishi au vifo vipo hospitali tu. bakwata waache kuwa less thinkers
 
Katibu Mkuu wa Vijana wa BAKWATA amesema mgomo wa madaktari unaoendelea hauna nia njema kwa taifa.
Amedai mgomo huu unaweza kusababisha vifo vya watz wasionahatia.
amewataka wote wanaoshabikia mauaji ya watz kwa kisingizio cha maslahi kuacha kufanya hivyo kwani ni *kinyume na ubindaamu.
Amewataka waislam na wapenda amani kwa Ujumla kuacha kushabikia vitu visivyo vya msingi

SOURCE: REDIO IMAAN
KIPINDI CHA MWANGAZA KWA JAMII

this is 0%
 
Kwa hiyo kugomea sensa ni halili kabisa? Kuchoma makanisa ni halali kabisa?

Hapa kuna kitukinaendelea kabisa!

Mbona hajakemea wachoma makanisa?
 
Naapa kwammba......sitasiliza radio imaan ktk maisha yangu yote,eeh mwenyezi mungu naomba unisaidie
 
Katibu Mkuu wa Vijana wa BAKWATA amesema mgomo wa madaktari unaoendelea hauna nia njema kwa taifa.
Amedai mgomo huu unaweza kusababisha vifo vya watz wasionahatia.
amewataka wote wanaoshabikia mauaji ya watz kwa kisingizio cha maslahi kuacha kufanya hivyo kwani ni *kinyume na ubindaamu.
Amewataka waislam na wapenda amani kwa Ujumla kuacha kushabikia vitu visivyo vya msingi

SOURCE: REDIO IMAAN
KIPINDI CHA MWANGAZA KWA JAMII

naomba msaada kabla sijachangia.Bakwata ni kitu gani?
 
Katibu Mkuu wa Vijana wa BAKWATA amesema mgomo wa madaktari unaoendelea hauna nia njema kwa taifa.
Amedai mgomo huu unaweza kusababisha vifo vya watz wasionahatia.
amewataka wote wanaoshabikia mauaji ya watz kwa kisingizio cha maslahi kuacha kufanya hivyo kwani ni *kinyume na ubindaamu.
Amewataka waislam na wapenda amani kwa Ujumla kuacha kushabikia vitu visivyo vya msingi

SOURCE: REDIO IMAAN
KIPINDI CHA MWANGAZA KWA JAMII

ila tushabikie kufanya sensa ya dini.

hawa watu hawajawahi kusema jambo nikaliona la maana.
 
Hawa nao wanajidhalilisha tu.Afadhali wangezungumzia SENSA
 
tatizo lenu ni kuwa akili ndogo inatawala akili kubwa mliyonayo
 
bakwata inaongozwa na vilaza wanakurupuka na kuropoka,mlaaniwe bakwata.
 
Bakwata SENSA batili au halali?Serikali kutokutoa huduma bora za afya kwa wananchi wanaolipa kodi ni halali na je huduma bora za afya nyie bakwata mnajua kuwa ni pamoja na kuwa na madaktari,wauguzi na manesi wa kutosha na huku ukiwalipa stahili zao sambamba na hali ya maisha huku ukiangalia risk ya kazi yao?

Mimi natamka ya kwamba madaktari endeleeni na mgomo tupo tulioko nyuma yenu,maana hizi ni ishara za ukombozi na kwa wawsio jua siku mwisho nio hizi,hakika nuru ya ukombozi kutoka mikononi mwa wakoloni weusi chini ya Nyinyiemu-ccm-magamba umewadia.maana wao ndio wakusanya kodi wao ndio wanafanya umatola ulaya kila kukicha,wao ndio wameshikilia rasilimali zetu,ikataba wanaingia wao,wana kila kitu.leo wanashindwa kuwahudumia watu waliowaomba ridhaa ya juwaongoza nawananchi wakawaamini huku wakitegemea huduma zote watapata,zikiwamo za afya leo hawatekelezewi,mwisho wa siku tunabaki kuwaaambia madaktari eti wawahurumie wananchi wa hali ya chini,inaingiaje akili wakati kwa kufanya hivyo tu-fuel mambo mengi machafu yanayotokea huko kwenye hospitali zetu,na anaeumia na hilo ni mwananchi,sasa mimi naona sacrifice kama hii itatuletea ukombozi wakweli.
Nawatakia mgomo mwema na Mungu awatie nguvu ya kusimamia msimamo wenu mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom