BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

Hell yeah.

Nyerere was craizy leader kuwahi kutokea ndan ya taifa hili.

Ndan ya uongozi wake aliokaa madarakani he cultivated nothing zaid ya unafiki kwa wananchi wake.udini na uungu mtu uliokosa mashiko.

He was stupid kudhan kwamba angeishi milele.

Taifa hili limefikia hapa lilipo kwa kukosa misingi mibovu na unafiki wa yule mzee.

Ona leo jinamiz lake la ccm linavyoiangamiza nchi hii.

Nyerere laanatullah was a disgrace to this nation.
nakuelewa kidogo, please tell us more
 
Huu uzi hautaisha salama bila kuzalisha ban. Naona una sifa zote za kushawishi ban.
Ova
 
Thats so nonsense.

Nyerere laana ya mungu iwe juu yake huwa najiuliza sana kipi kilimsukuma ndan ya nafsi yake hadi kufikia kuagiza wanafiki na wachumia tumbo wake kina naseeb waanzishe chombo laanifu kama bakwata tena bila idhin ya waislam wenyewe ili kije kuratibu mambo ya waislam na uislam on behalf of his poor failed goverment?

Hivi mambo ya iman ya waislam yeye na serikali yake yanamuhusu nin?

You tell me...ni chombo gani serikali imekianzisha kwa minajili ya kuwacontrol wakristo ndan ya taifa hili.

I dont have such much ignorance.

I dont have such much stupidity.

I am not such dumb like you eti nikae hapa kudiscuss mustakabali wa bakwata kwangu mimi ili hali mimi nafaham in and out reason behind ya kuanzishwa chombo hiko.

Thanks god muslims community ndan ya nchi hii majority wameufaham ukweli na hiko chombo kitakufa natural death kana alivyokufa muasis wake NYERERE LAANATULLAH.
Laana yako kwa mwalimu JK Nyerere itakurudia wewe na kizazi chako chote!Nyerere did a lot for this country,you dont have any moral authority kumtukana Nyerere kwa matusi yako umetuudhi wa TZ wengi!ama kweli akili ni nywele...
 

Mkuu,
Una ushahidi wa Mwinyi kupewa maagizo makali au story za kwenye viringe vya kahawa tu?

Hayo maagizo alipewa na nani(usiniambie Nyerere)

Kwa nini sasa hamumtukani Mwinyi kwa kushindwa kupigania uislam na waislamu(kwa kumsikiliza kaffir) ili hali alikuwa na nafasi ya kufanya hivyo badala yake lawama na matusi ni Nyerere.(Huu si ndo unafiki)

Mbona Mkapa alimpuuza Nyerere juu ya uuzwaji wa NBC?Alimfanyaje?

Haya tuseme Mwinyi naye ni kaffir,ameingia Kikwete lakini hakuna chochote kilichofanyika juu ya BAKWATA mpaka sasa lakini bado mnaona poa tu maana ameianzisha Nyerere.KWELI?

Kwa hiyo nyie kama waislamu mmefanyaje juu ya uchaguzi sijui elimu ya sheikh mkuu,mishahara etc au hapo napo Nyerere anahusika?

Tatizo watu mmeaminishwa kwamba matatizo yenu yote wakumlaumu Nyerere na wala hamhangaiki kuyatatua.

Kwa hiyo mnamsubiria Nyerere afufuke aje aivunje BAKWATA?

Kazi kwelikweli

Sina la kukujibu, amini uaminivyo ndugu.
 
Bakwata iliundwa kwa nia njema sana na serikali ya wakati huo ili kuweka mambo ya Waislam kwenye mstari.

Tutoe tathmini ya uwepo wake
1. Kijamii
2. Kisiasa
3. Kiuchumi
4. n.k

Tuje na recommendations ya nmna gani tuwe na BAKWATA bora kwa mujibu wa Uislam na ustawi wa amani wa Tanzania
Mafanikio ya Bakwata
1. Imefanikiwa kuuza viwanja vingi vya waislam kwa bei ya kutupa ikiwa pamoja na cha chang'ombe na kile kilicho opposite na DIT;
2. Imefanikiwa kutowainganisha waislam hata kwa masuala yanayoweza kuthibitishwa kama ya mwandamo wa mwezi

3. Wameleta mfmo wa uchaguzi unaofanana na wa ccm, yaani kampeni, wizi wa kura na kubadili matokeo.

4. Wameweza kuasisi sherehe maarufu za vunjajungu ikaribiapo funga ya Ramadhan ili kuwa na fiesta yao na wao;

5. Wamefanikiwa kuzuia ujenzi wa chuo kikuu cha chang'ombe kilichowekwa msingi wake miaka ya 60 na baadaye kiwanja chake wamekiuza kwa thamani ya ardhi ya kisarawe.

Yako mengi ila hayo ni machache tu mkuu.
 
WAKRISTO WANA CHOMBO KINAITWA. "ROHO MTAKATIFU" ndicho kinawaongoza wafanye nini,siyo mihemko tu na kushadadia ya waarabu!
Mbona huyo roho mtakatifu hawaongozi kwenye kuijua ni biblia ipi ya kufuata:
King James Version (sio translatio ni version)
Roman Version.
Revirsed Standard Version.
Na utitiri wa versions nyingine.

Ingekuwa bora kama roho mtakatifu angewaunganisha Wakristo kwenye biblia moja tu.

Turudi kwenye mada:
Kabla ya BAKWATA Waislamu walikuwa na chombo chao kilichowaunganisha si Tanganyika tu bali Afrika Mashariki nzima hivyo sidhani kama tathmini yoyote ile inayohusu BAKWATA itakuwa na athari yoyote ile kabla ya kuanzia kwenye chombo kilichokuwepo kabla ya bakwata.
 
Ndugu yangu bandiko lako lathibitisha kabisa kuwa una dhamira njema lkn hauko well informed. Kwa kifupi ni kuwa Bakwata ilikuwa ivunjwe na Rais Mwinyi. Lkn siku chache kabla ya kufanya hivyo alipokea maagizo makali sana yaliyofanya hiyo ndoto ipotee. Zaidi, liliwezekana jambo moja tu ambalo kiukweli kwa sasa linaidhoofisha bakwata na INSHAALLAH itakufa kabisa. Na huyu wa sasa pia ameshindwa kuivunja na ameamua kukaa kimya tu.

Uongozi ktk uislam ni suala la elimu, hekma busara, uchamungu; naomba fuatilia elimu ya dini ya sheikh mkuu wa Bakwata halafu uje utupe jibu. Lakini kubwa kuliko yote, tunaomba fuatilia uchaguzi wa Bakwata unafanyikaje? Nani anatoa hela za uchaguzi wa Bakwata? Na Bakwata wenyewe wale viongozi wake wanalipwa na nani? Natarajia ufanye "rethinking" ya uchambuzi wako.

mkuu hebu tudadavulie hyo bakwata maana hzo info kuzipata ni ishu, so kama una data zake unaweza tusaidia hapa jf! wengine tulikuwa tunajua ni chombo halali kwa ajili ya waislamu!
 
Mafanikio ya Bakwata
1. Imefanikiwa kuuza viwanja vingi vya waislam kwa bei ya kutupa ikiwa pamoja na cha chang'ombe na kile kilicho opposite na DIT;
2. Imefanikiwa kutowainganisha waislam hata kwa masuala yanayoweza kuthibitishwa kama ya mwandamo wa mwezi

3. Wameleta mfmo wa uchaguzi unaofanana na wa ccm, yaani kampeni, wizi wa kura na kubadili matokeo.

4. Wameweza kuasisi sherehe maarufu za vunjajungu ikaribiapo funga ya Ramadhan ili kuwa na fiesta yao na wao;

5. Wamefanikiwa kuzuia ujenzi wa chuo kikuu cha chang'ombe kilichowekwa msingi wake miaka ya 60 na baadaye kiwanja chake wamekiuza kwa thamani ya ardhi ya kisarawe.

Yako mengi ila hayo ni machache tu mkuu.
Aisee!!! Hii ni balaa
 
.

Turudi kwenye mada:
Kabla ya BAKWATA Waislamu walikuwa na chombo chao kilichowaunganisha si Tanganyika tu bali Afrika Mashariki nzima hivyo sidhani kama tathmini yoyote ile inayohusu BAKWATA itakuwa na athari yoyote ile kabla ya kuanzia kwenye chombo kilichokuwepo kabla ya bakwata.

Leta tathmini ya hicho chombo kabla ya Bakwata
 
Bakwata ukilinganisha na East Africa Muslim Welfare Society iliyokuwapo kabla ni aibu. Na laana itaendelea kuwapata wote walioshiriki kuiua na kuianzisha bakwata. Wameuza kila kitu hadi ofisi za makao makuu yao pale Kinondoni
 
Dah?wewe william mtoto wa mzee Malechela ndio unamtukana mwalimu was stupid Leader? Haya mkuu..

Acha name calling. Willy na Big show wote hawana akili kichwani lakini ni watu wawili tofauti
 
Bakwata ukilinganisha na East Africa Muslim Welfare Society iliyokuwapo kabla ni aibu. Na laana itaendelea kuwapata wote walioshiriki kuiua na kuianzisha bakwata. Wameuza kila kitu hadi ofisi za makao makuu yao pale Kinondoni

Bakwata hawana zuri hata moja?
 
Thats so nonsense.

Nyerere laana ya mungu iwe juu yake huwa najiuliza sana kipi kilimsukuma ndan ya nafsi yake hadi kufikia kuagiza wanafiki na wachumia tumbo wake kina naseeb waanzishe chombo laanifu kama bakwata tena bila idhin ya waislam wenyewe ili kije kuratibu mambo ya waislam na uislam on behalf of his poor failed goverment?

Hivi mambo ya iman ya waislam yeye na serikali yake yanamuhusu nin?

You tell me...ni chombo gani serikali imekianzisha kwa minajili ya kuwacontrol wakristo ndan ya taifa hili.

I dont have such much ignorance.

I dont have such much stupidity.

I am not such dumb like you eti nikae hapa kudiscuss mustakabali wa bakwata kwangu mimi ili hali mimi nafaham in and out reason behind ya kuanzishwa chombo hiko.

Thanks god muslims community ndan ya nchi hii majority wameufaham ukweli na hiko chombo kitakufa natural death kana alivyokufa muasis wake NYERERE LAANATULLAH.
Lazima kichwa chako kiwe na matatizo makubwa! unakataa kujadili wakati umesha jadili!
 
Shida yenu wafia dini iko hapo. Hakuna haja ya kuwa na munkari kwa jambo jepesi namna hii kaka. Mwalimu Nyerere nia yake ilikuwa njema, lkn inahitaji ubongo makini kuelewa hilo.

Tukubaliane kwamba, all over the World, Uislam hauna HIERARCHY ya uongozi yenye kueleweka nje ya dola ya Kiislam. Namaanisha, hata Waislam wenyewe hawalijui lipi ni jukumu la nani kwenye masuala ya kiuongozi.

Hii dini haikuanzia hapa, imeletwa. Walioileta wana misimamo tofauti ya kiimani, sasa ulitaka nani awe mwakilishi wa Waislam ikiwa Sunnni hawawatambui Ishailia kuwa Waislam? Hebu chukulia mfn wa Kanisa Katoliki. Yajulikana wazi kuwa Askofu Mkuu wa Tanzania anaripoti kwa Pope, kwa hiyo jambo linalohitaji msimamo au kauli ya Kanisa basi linajulikana lipelekwe wapi.

Je, unaweza kunitajia makao makuu ya dini ya Kiislam? Na je, kuna makubaliano yanayoweza kusimama kwa upamoja kati ya Sunni, Shia, Ismailliya na Bohora kiasi kundi fulani liwe radhi kuwakilishwa na lingine ilhali lipo moja linalolishutumu lingine kuwa si Islamic?

Linapotokea jambo la kitaifa, nani katika Uislam anayo hadhi ya ngazi ya Askofu awasemee Waislamu nje ya BAKWATA?

You tell me...ni chombo gani serikali imekianzisha kwa minajili ya kuwacontrol wakristo ndan ya taifa hili.

Hakukuwa na haja ya hili, ROME does. Sasa je kwa Waislamu, Iran? Oman? Saudia? Iraq?

Utatukana mchana kutwa ndugu yangu lkn ukweli ni kwamba, kitu chochote kisicho na uongozi wa juu kabisa kina ugumu kukiendesha.

nonsense! yaani shia, sunni na wengine unalinganisha na roma?
kkkt, roma, sabato, agt wote hao chombo kimoja kinachowaongoza ni kipi?
 
Tatizo si BAKWATA bali waislamu wenyewe wengi wanaendekeza tumbo badala ya kufuata kuruani inasemaje? Uislamu hautaki RIBA lakini Mashehe wengi wanafuturishwa na taasisi zinazotoza riba na wanakwenda kula na kupokea sadaka, kama wewehutozi riba kwa nini unkula riba aliyotozwa mwingine? Taasisi za kidini kwa nini bakwata wanakuwa wakali pale wanapoonyweshwa mapungufu yao? Narudia tatizo sio BAKWATA VBALI WAISLAMU WENYEWE.
 
Tatizo si BAKWATA bali waislamu wenyewe wengi wanaendekeza tumbo badala ya kufuata kuruani inasemaje? Uislamu hautaki RIBA lakini Mashehe wengi wanafuturishwa na taasisi zinazotoza riba na wanakwenda kula na kupokea sadaka, kama wewehutozi riba kwa nini unkula riba aliyotozwa mwingine? Taasisi za kidini kwa nini bakwata wanakuwa wakali pale wanapoonyweshwa mapungufu yao? Narudia tatizo sio BAKWATA VBALI WAISLAMU WENYEWE.
Bado sijakuelewa.
Je? unaweza kutufafanuli vizuri? mfano, ninawajua Ma-Sheikh wengi tu ambao hawawezi kujidhalilisha kwa kuhudhuria futari kama hizo unazosema.
 
Bado sijakuelewa.
Je? unaweza kutufafanuli vizuri? mfano, ninawajua Ma-Sheikh wengi tu ambao hawawezi kujidhalilisha kwa kuhudhuria futari kama hizo unazosema.

Ndio maana nimesema tatizo ni waislamu, kama bakwata ni tatizo kwa nini waendelee kuwakilishwa na chombo kama hicho? WHY, kwa nini liitwe baraza la waislamu wakati hawafuai maadili ya kiislamu? Kuendelea kulalamika bila kuchukua hatua stahiki kurekebisha haya mapungufu haisaidii. Bakwata lazima lirekebishwe lifuate maadili na wakufanya haya ni waislamu wenyewe, kulalamika tu haisaidii.
 
mkuu hebu tudadavulie hyo bakwata maana hzo info kuzipata ni ishu, so kama una data zake unaweza tusaidia hapa jf! wengine tulikuwa tunajua ni chombo halali kwa ajili ya waislamu!
Tukizungumzia maendeleo ya nchi ya Tanganyika kutokwenda vema,tutambue kuwa kuna untold story kubwa sana ambapo kinachoendelea leo ni kama laana tu ya matendo hayo. Huwezi kuwa na nchi ambayo kila kitu kinaelezwa uongo uongo then utarajie maendeleo-never ever.

Je unakumbuka kilichomfanya Ponda afungwe kifungo cha nje, na ilipoisha hiyo kesi ndipo akapigwa risasi kule morogoro? Ponda aliongoza waislam kwenda kuanza ujenzi katika eneo la waislam kule chang'ombe ambalo Bakwata waliliuza kwa bei ya kutupwa. Walipoona mahakama sio huru kutoa maamuzi ya kuuzwa kimakosa eneo hilo lililofanywa na Bakwata na hivyo kushindwa kurudishwa kwa eneo hilo kwa waislam ndipo waislam wakaamua kwenda kuweka msingi ili waanze unenzi. Nini nyie msichojua lkn ndugu zetu?
 
Back
Top Bottom