BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

Bakwata ni kikundi cha kihuni na sio kwa kuwasimamia waislamu, Wanapoteua watu wa kwenda kushiriki mashindano ya Qurain huko nchi za Uarabuni au kwengine kokote msomaji anapangiwa jinsi ya kuyagawa mapato kwa mafungu anapomaliza.

Hayo yamewatokea vijana wote wanaokwenda kwa kushindana kusoma
 
Leta tathmini ya hicho chombo kabla ya Bakwata
Point ninayoitaka kuileta ni kuwa unapoitathmini bakwata kama chombo cha kwanza cha Waislamu nchini kuna hatari ya kuishia kuhitimisha kama alivyohitimisha MwanaMtokaPabaya kuwa hakuna wa kuwaongoza Waislamu kwa vile kuna Sunni, Shia n.k
...
 
Shida yenu wafia dini iko hapo. Hakuna haja ya kuwa na munkari kwa jambo jepesi namna hii kaka. Mwalimu Nyerere nia yake ilikuwa njema, lkn inahitaji ubongo makini kuelewa hilo.

Tukubaliane kwamba, all over the World, Uislam hauna HIERARCHY ya uongozi yenye kueleweka nje ya dola ya Kiislam. Namaanisha, hata Waislam wenyewe hawalijui lipi ni jukumu la nani kwenye masuala ya kiuongozi.

Hii dini haikuanzia hapa, imeletwa. Walioileta wana misimamo tofauti ya kiimani, sasa ulitaka nani awe mwakilishi wa Waislam ikiwa Sunnni hawawatambui Ishailia kuwa Waislam? Hebu chukulia mfn wa Kanisa Katoliki. Yajulikana wazi kuwa Askofu Mkuu wa Tanzania anaripoti kwa Pope, kwa hiyo jambo linalohitaji msimamo au kauli ya Kanisa basi linajulikana lipelekwe wapi.

Je, unaweza kunitajia makao makuu ya dini ya Kiislam? Na je, kuna makubaliano yanayoweza kusimama kwa upamoja kati ya Sunni, Shia, Ismailliya na Bohora kiasi kundi fulani liwe radhi kuwakilishwa na lingine ilhali lipo moja linalolishutumu lingine kuwa si Islamic?

Linapotokea jambo la kitaifa, nani katika Uislam anayo hadhi ya ngazi ya Askofu awasemee Waislamu nje ya BAKWATA?

You tell me...ni chombo gani serikali imekianzisha kwa minajili ya kuwacontrol wakristo ndan ya taifa hili.

Hakukuwa na haja ya hili, ROME does. Sasa je kwa Waislamu, Iran? Oman? Saudia? Iraq?

Utatukana mchana kutwa ndugu yangu lkn ukweli ni kwamba, kitu chochote kisicho na uongozi wa juu kabisa kina ugumu kukiendesha.


Sikia wewe kafiri.

Na hilo neno kafiri excuse my language siyo tusi.ni mtu asieamin uwepo wa mungu mmoja muumba wa mbingu na ardhi na asieamin kuwa muhammad na jesus na musa na ibrahim na n.k kuwa ni mitume wa mungu.huyo ni kafir.

Sasa sikiliza nikujuze.

Sisi waislam hatuabudu mnachokiabudu nyinyi.

Wala nyinyi makafir hamuabudu kile tunachokiabudu sisi.

Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu.

Nyerere laana ya mungu iwe juu yake alipopewa mamlaka ya kuongoza taifa hili hakupewa mamlaka had ya kuwapangia watu mustakabali wa iman zao na mungu wao.

Yeye nyerere alikuwa kafir tuh and in this very moment yuko jehannam anaungua vizur sana.

Sisi waislam hatuwez na hatutokuja kuwa km nyiny eti mna kiongozi wenu mkuu ambae anaamua kwa utashi wake kumodify maandiko matakatifu na kukaa vikao kuwaamulia either muwe mashoga au msiwe...hilo kwetu sisi halipo.

Sisi kiongoz wetu ni muhammad rehma na aman ziwe juu yake.

Hata km hiv sasa hayupo ulimwenguni ila alipoondoka alituachia mwongozo ambao ni qur an na hadith za maisha yake.

Huyo nyerere wako km kweli alikuwa ana nia na haja kweli ya kuwaunganisha waislm kwa kutumia chombo kimoja basi angefuata utaratibu wa kuwaomba ridhaa waislam wenyewe.

Na sio kuanzisha tuh eti kwa kuwa yeye ni Rais au kwa kuwa kanisa katoliki limemtuma.

Aibu sasa ipo juu yake na huko jehanam anakoungua.

Bakwata imepuuzwa km alivyopuuzwa yeye.

Ushahid ni huu tunaouona hivi sasa chombo cha waislam KINATETEWA NA KULILIWA MACHOZI NA MAKAFIRI KAMA NYINYI TEH TEH TEH.

MAAJABU KWELI KWELI HAYA.

ETI KAFIR LEO ANAITUKUZA NA KUIONA BAKWATA MUHIMU KWA MUSTAKABALI WA UISLAM KUSHINDA MUISLAM MWENYEWE.

VIPI UMEIPENDA EEEH??

ICHUKUE TU MKUU HIYO BAKWATA...HAKUNA UBAYA MUASISI NI YULE MKATOLIKI MWENZAKO.

SISI HATUNA SHIDA NAYO.

INFACT HATA ANGEUNDA BAKWATA MILLION MOJA NDAN YA TAIFA HILI NYERERE LAANATULLAH ASINGEFANIKIWA KUWATENZA NGUVU WAISLAM NA KUUMALIZA UISLAM.

KAFA ZAKE YEYE NA YUKO MOTONI UISLAM UPO TU UNADUNDA MWENDO MDUNDO.
 
Jamani kweli big show kichwani ni ziro kabisa
 
Point ninayoitaka kuileta ni kuwa unapoitathmini bakwata kama chombo cha kwanza cha Waislamu nchini kuna hatari ya kuishia kuhitimisha kama alivyohitimisha MwanaMtokaPabaya kuwa hakuna wa kuwaongoza Waislamu kwa vile kuna Sunni, Shia n.k
...


Huyo mwanamtoka pabaya pimbi tuh.

Eti anaconclude kwamba reason behind ya nyerere kuunda bakwata bila hata ridhaa ya waislam wenyewe ni kwa kuwa hakuna unity ktk madhehebu ya uislam sijui sunni...shia..na kadhalika.

Sasa sisi tulimuomba yeye atuunganishe?

Uislam wetu sisi yeye unamuhusu kitu gan.

Mambo yangu ya iman yeye rais yanamgusa vip.

Hakuna aliekamuomba msaada wa hilo.

Infact hata kama leo bado kuna madheheb mbali mbali ya dini hii ndan ya nchi hii si kweli kwamba bakwta ndiyo kiunganishi.

Hujawahi kuskia ndan ya nchi hii au hata sehemu zingine kuwa washia na wasuni au washia na makadiani wamepigana kwa tofauti zao hata siku moja.

Ukweli ni kwamba watu wametambua tofauti zao na wanaishi with torelance...

Mambo hayo utayakuta mideast ambayo hata hivyo kiukweli zile sectarian violences za huko mideast hupandkizwa na western countries kwa sababu ya interests zao.

Muslims we are smarter than that.

Nyerere na campan yake waliasisi bakwta kwa minajili ya kuwavuruga waislam na sio kuwaunganisha.

Nyerere ni kafir hata siku moja hawez kuwa na mapenz na uislam eti afikie hatua ya kuanzisha chombo cha kuwaunganisha na kuwapa nguvu.

Akili ya kawaida kabisa inaniambia kwamba mkatoliki kindaki ndaki nyerere isingekuwa furaha yake kuona uislm na waislam wananawiri kwa namna yyte ile.

Nyerere was a failure.

Hata hiyo mission yake ilifeli vile vile.

Tulichofanya sisi waislam sio kuilalamikia tena serikali kuhusu bakwta.

Tulichofanya na kuwapuuza wao na bakwata yao.

Kama tulivyompuuza na kumdharau muasisi wake nyerere laanatullahi alayhi.
 
Kweli sasa mambo yamebadilika badala ya kujadili mambo ya msingi wasomi tunaanza kujadili dini ebu tuache hayo mambo kule yanakopaswa kujadiliwa bana,ni jambo la aibu sana kuibua hoja za kuleta mfarakano katika jamii zetu,napita tu ctaki maswali
 
Sikia wewe kafiri.

Na hilo neno kafiri excuse my language siyo tusi.ni mtu asieamin uwepo wa mungu mmoja muumba wa mbingu na ardhi na asieamin kuwa muhammad na jesus na musa na ibrahim na n.k kuwa ni mitume wa mungu.huyo ni kafir.

Sasa sikiliza nikujuze.

Sisi waislam hatuabudu mnachokiabudu nyinyi.

Wala nyinyi makafir hamuabudu kile tunachokiabudu sisi.

Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu.

Nyerere laana ya mungu iwe juu yake alipopewa mamlaka ya kuongoza taifa hili hakupewa mamlaka had ya kuwapangia watu mustakabali wa iman zao na mungu wao.

Yeye nyerere alikuwa kafir tuh and in this very moment yuko jehannam anaungua vizur sana.

Sisi waislam hatuwez na hatutokuja kuwa km nyiny eti mna kiongozi wenu mkuu ambae anaamua kwa utashi wake kumodify maandiko matakatifu na kukaa vikao kueaamulia either muwe mashoga au msiwe...hilo kwetu sisi halipo.

Sisi kiongoz wetu ni muhammad rehma na aman ziwe juu yake.

Hata km hiv sasa hayupo ulimwenguni ila alipoondoka alituachia mwongozo ambao ni qur an na hadith za maisha yake.

Huyo nyerere wako km kweli alikuwa ana nia na haja kweli ya kuwaunganisha waislm kwa kutumia chombo kimoja basi angefuata utaratibu wa kuwaomba ridhaa waislam wenyewe.

Na sio kuanzisha tuh eti kwa kuwa yeye ni Rais au kwa kuwa kanisa katoliki limemtuma.

Aibu sasa ipo juu yake na huko jehanam anakoungua.

Bakwata imepuuzwa km alivyopuuzwa yeye.

Ushahid ni huu tunaouona hivi sasa chombo cha waislam KINATETEWA NA KULILIWA MACHOZI NA MAKAFIRI KAMA NYINYI TEH TEH TEH.

MAAJABU KWELI KWELI HAYA.

ETI KAFIR LEO ANAITUKUZA NA KUIONA BAKWATA MUHIMU KWA MUSTAKABALI WA UISLAM KUSHINDA MUISLAM MWENYEWE.

VIPI UMEIPENDA EEEH??

ICHUKUE TU MKUU HIYO BAKWATA...HAKUNA UBAYA MUASISI NI YULE MKATOLIKI MWENZAKO.

SISI HATUNA SHIDA NAYO.

INFACT HATA ANGEUNDA BAKWATA MILLION MOJA NDAN YA TAIFA HILI NYERERE LAANATULLAH ASINGEFANIKIWA KUWATENZA NGUVU WAISLAM NA KUUMALIZA UISLAM.

KAFA ZAKE YEYE NA YUKO MOTONI UISLAM UPO TU UNADUNDA MWENDO MDUNDO.

Shida yako moja ni kuzaliwa kwenye ushabiki kiasi unakosa mantiki. Kunishambulia na kumlaani mwanadamu mwingine hakuongezi siku za maisha yako na nikubaliane na wewe kwamba mimi na wewe hatuamini mungu mmoja. Mungu, I mean Mungu nayemwamini mimi hapati utetezi toka kwako wala kwangu, bali yeye ndie mtetezi wangu kwa hiyo sitakushambulia wala kukulaani ila tu nitakuelimisha.

Kinachokufanya leo hii useme SISI WAISLAMU ni hiyo hiyo BAKWATA. Nje ya hiyo ni makundi ya Waislamu. Swali langu ni hili: LIPI KATI YA MAKUNDI YENU LINAPASWA KULIONGOZA LINGINE?

Yawezekana kwa makusudi nzima, unajifanya hunielewi nazungumza nini na ndio maana hata nilipozungumzia miandamo ya mwezi na matangazo ya sikukuu hoja hiyo hukupenda kuijibu ukaja tu na kejeli, laana na vicheko. Wale Answar Sunni wanaoswali siku moja/mbili kabla ya wengine na wao sio Waislamu?

Na nikusaidie uelewa kidogo, Pope si mtu, Pope ni taasisi kama unavyoona urais wa nchi. Tofauti ni kwamba Pope ni STABLE INSTITUTION with values and regulations. Ikiwa mnaitana makafiri na kujiita Waislam, je kura ya upande wenu ni haki ya nani?
 
Bakwata ni kikundi cha kihuni na sio kwa kuwasimamia waislamu, Wanapoteua watu wa kwenda kushiriki mashindano ya Qurain huko nchi za Uarabuni au kwengine kokote msomaji anapangiwa jinsi ya kuyagawa mapato kwa mafungu anapomaliza.

Hayo yamewatokea vijana wote wanaokwenda kwa kushindana kusoma

Idiotic chorus. Hayo ni matukio ya kawaida kwenye misikiti. Mara ngapi fedha za ujenzi wa msikiti zimeliwa? Uongozi unatokana na nyinyi wenyewe, sidhani kama hao wanaogawana fedha ukiwauliza dini zao hawatasema wao ni Waislam. Malezi yanaanzia nyumbani mkuu
 
nonsense! yaani shia, sunni na wengine unalinganisha na roma?
kkkt, roma, sabato, agt wote hao chombo kimoja kinachowaongoza ni kipi?

Baraza la Maaskofu.
Na ndio maana hujawahi kusikia tukishindana juu ya nani ana haki ipi, kila kanisa lipo bize kujenga mashule, zahanati na vyuo, hizo ndio zetu. Nonsense ni mtu anayenung'unika as if anapochaguliwa kiongozi wa BAKWATA wanapiga kura Watanzania wote, tena wanapigia Makanisani.
 

Mkuu,
Una ushahidi wa Mwinyi kupewa maagizo makali au story za kwenye viringe vya kahawa tu?

Hayo maagizo alipewa na nani(usiniambie Nyerere)

Kwa nini sasa hamumtukani Mwinyi kwa kushindwa kupigania uislam na waislamu(kwa kumsikiliza kaffir) ili hali alikuwa na nafasi ya kufanya hivyo badala yake lawama na matusi ni Nyerere.(Huu si ndo unafiki)

Mbona Mkapa alimpuuza Nyerere juu ya uuzwaji wa NBC?Alimfanyaje?

Haya tuseme Mwinyi naye ni kaffir,ameingia Kikwete lakini hakuna chochote kilichofanyika juu ya BAKWATA mpaka sasa lakini bado mnaona poa tu maana ameianzisha Nyerere.KWELI?

Kwa hiyo nyie kama waislamu mmefanyaje juu ya uchaguzi sijui elimu ya sheikh mkuu,mishahara etc au hapo napo Nyerere anahusika?

Tatizo watu mmeaminishwa kwamba matatizo yenu yote wakumlaumu Nyerere na wala hamhangaiki kuyatatua.

Kwa hiyo mnamsubiria Nyerere afufuke aje aivunje BAKWATA?

Kazi kwelikweli

Tunarudi kule kule.

You have to employ your thinking skills.

I can see unadiscuss outcomes na kuacha chanzo kikuu cha uwepo wa hiyo bakwata.

Tumeeleza mara nyingi humu ndan kadhia ya hiki chombo mamluki cha bakwata jins nyerere laanatullah alivyokianzisha kwa kuvunja EAMWS kwa hila na kwa islamohobia zake.

Jins alivyoianzisha bakwata na kuifanyia political affialition na chama pamoja na siasa za nchi hii.

Ikiwa ni pamoja na kuifund bakwata na kusimamia malipo ya viongoz wake na kuratibu viongoz gan waongize bakwata.

Walipokuja viongoz wengine na political ambitions zao usidhan km bakwata wakiona ina wafaa wanaweza kuiweka kando.

Struggle for political power is by all means.

Hao ni wanasiasa ambao wamechaguliwa kuja kutekeleza ilan za vyama vyao.


Na sio kuja kupigania haki za uislam na waislam.

Ni demokrasi ndiyo imewaweka hapo.

The Root Problem ya bakwata ni kafir nyerere.

Hapa hatulalamiki bali tunakuelezea uhalisia.

Its very unfortunate unadhan kuwa tunalalamika.
 
Lengo la mleta mnakasha halitatimia kwa trend ninavyoiona.

IKWETE
 
Last edited by a moderator:
muislam anaejitambua hawezi kuitambua bakwata kama chombo kinachomuwakilisha.bakwata imeundwa na nyerere ili kuwaumiza waislam.na ndo maana viongozi wa bakwata huwa hawajitambui haiwezekani taasisi kubwa kama ile iongozwe na mtu ambae hajui asubuhi wala jioni.mimi ni muislam lakini kitu ambacho ninakichukia katika nchi hii ni bakwata.naandika maneno haya kwa uchungu sana r.i.p shekh ilunga inapotajwa bakwata huwa nakukumbuka sana.
 
Lengo la mleta mada kwani ni lipi?

Tuitathmini Bakwata na mchango wake ki jamii, kisiasa na kiuchumi. Tutoe changamoto zinazoikabili bakwata kwa sasa. Sasa naona amaingizwa Nyerere, mara muandamo wa mwezi na matusi
 
Kweli sasa mambo yamebadilika badala ya kujadili mambo ya msingi wasomi tunaanza kujadili dini ebu tuache hayo mambo kule yanakiopaswa kujadiliwa bana,ni jambo la aibu sana kuibua hoja za kuleta mfarakano katika jamii zetu,napita tu ctaki maswali
Kinachozungumziwa ni suala linalowahusu ma-milioni ya Wananchi..

We pita tu subiri thread za kina Lowasa, Hamad Rashid, Pinda na wengineo
 
Shida yako moja ni kuzaliwa kwenye ushabiki kiasi unakosa mantiki. Kunishambulia na kumlaani mwanadamu mwingine hakuongezi siku za maisha yako na nikubaliane na wewe kwamba mimi na wewe hatuamini mungu mmoja. Mungu, I mean Mungu nayemwamini mimi hapati utetezi toka kwako wala kwangu, bali yeye ndie mtetezi wangu kwa hiyo sitakushambulia wala kukulaani ila tu nitakuelimisha.

Kinachokufanya leo hii useme SISI WAISLAMU ni hiyo hiyo BAKWATA. Nje ya hiyo ni makundi ya Waislamu. Swali langu ni hili: LIPI KATI YA MAKUNDI YENU LINAPASWA KULIONGOZA LINGINE?

Yawezekana kwa makusudi nzima, unajifanya hunielewi nazungumza nini na ndio maana hata nilipozungumzia miandamo ya mwezi na matangazo ya sikukuu hoja hiyo hukupenda kuijibu ukaja tu na kejeli, laana na vicheko. Wale Answar Sunni wanaoswali siku moja/mbili kabla ya wengine na wao sio Waislamu?

Na nikusaidie uelewa kidogo, Pope si mtu, Pope ni taasisi kama unavyoona urais wa nchi. Tofauti ni kwamba Pope ni STABLE INSTITUTION with values and regulations. Ikiwa mnaitana makafiri na kujiita Waislam, je kura ya upande wenu ni haki ya nani?

Thank you kwa kukubali kwako kuwa kafir ni neno ambalo ni haki yako.

Nakujibu maswali yako sasa.


1.kinachotufanya sisi tujiite ni waislam sio bakwata.
Kinachotufanya sisi tujiite waislam ni kumuamin mwenyezmungu mmoja...kuamin mtume wetu muhammad na kuamin muongozo wetu qur an.

Infact uislam upo tongea longtime before hata hiyo bakwata yako unayoitetea.


2.hoja ya muandamo wa mwez na kutofautiana kufunga na kuswali kwetu sisi waislam ni minor ishu.
Haitutenganishi ktk kufanya mambo yetu kwahiyo ni nonsense.

3.papa kuwa kiongoz wa dunia yenu au taaasisi yenu mimi hainihusu.

Anapowaamrisha mfunge ndoa za mashoga na ulawiti ay la mimi hainiathiri kwa chochote.

Hoja hapa ni bakwata.

Nyerere laana ya mungu iwe juu yake alidhani kwq kuipandikiza bakwata basi atauangamiza uislam.

Kafa yeye uislam unadunda.

Tumeipuuza bakwta kama tulivyowapuuza watetez wake ambao ni nyinyi makafir.
 
Tunarudi kule kule.

You have to employ your thinking skills.

I can see unadiscuss outcomes na kuacha chanzo kikuu cha uwepo wa hiyo bakwata.

Tumeeleza mara nyingi humu ndan kadhia ya hiki chombo mamluki cha bakwata jins nyerere laanatullah alivyokianzisha kwa kuvunja EAMWS kwa hila na kwa islamohobia zake.

Jins alivyoianzisha bakwata na kuifanyia political affialition na chama pamoja na siasa za nchi hii.

Ikiwa ni pamoja na kuifund bakwata na kusimamia malipo ya viongoz wake na kuratibu viongoz gan waongize bakwata.

Walipokuja viongoz wengine na political ambitions zao usidhan km bakwata wakiona ina wafaa wanaweza kuiweka kando.

Struggle for political power is by all means.

Hao ni wanasiasa ambao wamechaguliwa kuja kutekeleza ilan za vyama vyao.


Na sio kuja kupigania haki za uislam na waislam.

Ni demokrasi ndiyo imewaweka hapo.

The Root Problem ya bakwata ni kafir nyerere.

Hapa hatulalamiki bali tunakuelezea uhalisia.

Its very unfortunate unadhan kuwa tunalalamika.

Kitu pekee ninachoweza kukusaidia ni kwamba Mungu wa Nyerere ni tofauti na Mungu unayemwabudu wewe.Mungu wa Nyerere(YEHOVA) anafundisha watu kusamehe,Heshima,Adabu na kuwaombea wenye matendo mabaya.Naamini Mungu wa Nyerere ana nguvu kuliko Mungu unayemwamini wewe, ndio maana wengi wanaompinga Nyerere vichochoroni hawana ubavu wa kumsema hadharani.Mifano ipo mingi sana ukiwemo wa juzi ambapo Shekh Jongo alilia sana Bungeni kwa ajili ya waliokuwa wakimtusi Nyerere ijapokuwa akiwa Msikitini huongea kinyume. Mfano mwingine ni kuanzisha BAKWATA ambayo waislamu kwa Umoja wao wameshindwa kuiondoa pamoja na kwamba ameshatangulia mbele ya haki kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.Hii ni dalili kwamba hiki alichokianzisha ni kitu chema.Si ajabu hivi karibuni akatangazwa Mtakatifu ili watu waanze kupata BARAKA NA NEEMA kupitia jina lake.
 
Lengo la mleta mada kwani ni lipi?

Tuitathmini Bakwata na mchango wake ki jamii, kisiasa na kiuchumi. Tutoe changamoto zinazoikabili bakwata kwa sasa. Sasa naona amaingizwa Nyerere, mara muandamo wa mwezi na matusi
 
Kitu pekee ninachoweza kukusaidia ni kwamba Mungu wa Nyerere ni tofauti na Mungu unayemwabudu wewe.Mungu wa Nyerere(YEHOVA) anafundisha watu kusamehe,Heshima,Adabu na kuwaombea wenye matendo mabaya.Naamini Mungu wa Nyerere ana nguvu kuliko Mungu unayemwamini wewe, ndio maana wengi wanaompinga Nyerere vichochoroni hawana ubavu wa kumsema hadharani.Mifano ipo mingi sana ukiwemo wa juzi ambapo Shekh Jongo alilia sana Bungeni kwa ajili ya waliokuwa wakimtusi Nyerere ijapokuwa akiwa Msikitini huongea kinyume. Mfano mwingine ni kuanzisha BAKWATA ambayo waislamu kwa Umoja wao wameshindwa kuiondoa pamoja na kwamba ameshatangulia mbele ya haki kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.Hii ni dalili kwamba hiki alichokianzisha ni kitu chema.Si ajabu hivi karibuni akatangazwa Mtakatifu ili watu waanze kupata BARAKA NA NEEMA kupitia jina lake.


Ofcourse yes.

Mungu wa nyerere alishakufa msalabani.

Ila mungu wangu mimi muumba wa mbingu na ardhi hafi na hawez kufa milele.

Sisi hatuna shida na bakwata.

Hata ikiwepo milele maadam tulishatuambua lengo la kuasisiwa kwake sisi tumeipuuza na tuna jumuiya nyingi tu tunazozitumia kufikia malengo yetu.

Hilo halitusumbui hta kidogo.

Tunachokataa tu ni kwamba hatutoka kuiskia kabwata inapanga au kuingilia mambo yetu.

Kwa hilo kwa kweli tumefanikiwa sana.

Kinachotufariji sisi leo ni kuona kwamba bakwata the so called chombo cha kupigania maslahi ya uislam na waislam watetez wake wengi ni makafir.

Teh teh teh.

Kwa kweli hakuna marefu yasiyo na ncha.

Nyerere kafa zake aibu zake zinaanza kuanikwa moja baada ya nyingine.
 
Ofcourse yes.

Mungu wa nyerere alishakufa msalabani.

Ila mungu wangu mimi muumba wa mbingu na ardhi hafi na hawez kufa milele.

Sisi hatuna shida na bakwata.

Hata ikiwepo milele maadam tulishatuambua lengo la kuasisiwa kwake sisi tumeipuuza na tuna jumuiya nyingi tu tunazozitumia kufikia malengo yetu.

Hilo halitusumbui hta kidogo.

Tunachokataa tu ni kwamba hatutoka kuiskia kabwata inapanga au kuingilia mambo yetu.

Kwa hilo kwa kweli tumefanikiwa sana.

Kinachotufariji sisi leo ni kuona kwamba bakwata the so called chombo cha kupigania maslahi ya uislam na waislam watetez wake wengi ni makafir.

Teh teh teh.

Kwa kweli hakuna marefu yasiyo na ncha.

Nyerere kafa zake aibu zake zinaanza kuanikwa moja baada ya nyingine.

Ndugu yangu mabo ya dini ni Makubwa sana na Mgumu.Mungu wa Nyerere ni YEHOVA.Kwa tafsiri nyingine anaitwa yeye NIKO AMBAYE NIKO.Yeye hafi.Aliyekufa ni Nabii Isa,huyu ni Miongoni mwa manabii 25 wanaoheshimiwa na Waislamu.Ila hata huyu nabii Isa alifufuka na kupaa Mbinguni kwa hiyo bado yungali hai mpaka leo. Wengi wanamkubali Nyerere na ndio maana imetengwa siku maalum ya kupumzika kwa ajili yake.Wakristo wana msemo kwamba"Sauti ya wengi ni Sauti ya Mungu"Wengi wanamsifu Nyerere hivyo hata Mungu yu Pamoja nae. BAKWATA ilianzishwa kwa lengo Jema tatizo imejigeuza tawi la CCM hivyo panahitajika waislamu wanaojitambua ili wairekebishe lakini sio hawa wanaonunuliwa kumtukana Baba wa Taifa.
 
Back
Top Bottom