NDAGLA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 2,490
- 1,357
Wakati mwingine huwa naona waislam wenyewe ndo wanafiki wa kiwango kisichoelezeka.
Ni upumbavu kuendelea kumlalamikia Nyerere na serikali yake kuunda BAKWATA ilhali tuna awamu mbili sasa zikiwa chini ya waislamu.
Mmeshindwaje kuivunja sasa wakati haina masilahi kwenu au Kikwete na Mwinyi hawalijui hili?
Hivi sasa mnadai mahakama ya kadhi ianzishwe na serikali ilhali mnaitukana serikali ya Nyerere kuanzisha BAKWATA eti kwa nini ilijihusisha na mambo yasiyoihusu huu ni ujuha.
Ukipata mtu ama mfumo wa kuulalamikia kila changamoto zinapokukabili na wala hujishughulishi kuzitatua then utabaki hivyo maisha yako yote.
Tuseme Nyerere ni mdini ndo maana alianzisha BAKWATA ili kuwakandamiza waislamu FINE!!
Sasa mmeshindwaje kuivunja? Achilia mbali kung'atuka Nyerere kesha kufa kabisa lakini kelele bado hizo hizo tu eti Nyerere kaanzisha.
WHO IS NYERERE??? Mbona mambo kibao tu aliyoyaanzisha hatunayo tena why not BAKWATA?
Mbaya zaidi,hata Ph.D holders na Professors(Muslims) wa nchi hii bado wanamlalamikia Nyerere!!!