BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

huelewi nini hapo sasa. wewe umesema sijui kikwete sijui mwinyi walikuwa marais, sasa hata kama ni waislam wataenda kinyume na mfumo? tumia akili. leo hii hata kama utakuwa muislam ukiwa waziri mkuu wa Uingereza lazima u-obey taratibu za kimalkia ambayo ndo kiongozi mkuu wa anglikana. naona wewe ndo mwenye mawazo ya ki-secondary.
tatizo hapo sio mtu bali mfumo uliopo.


Kwa hiyo huu ndo mchele,ulokufanya uone hoja yangu ni pumba?

Ndo maana nimehoji utimamu wa akili yako.

BAKWATA ndo unaiita mfumo?
(maana hapa tunajadili BAKWATA)

Haka si ni kagenge ka wahuni wachache tu kalikopachikwa kwenye mfumo.

Halafu ulivyo mtupu kichwani,unafananisha BAKWATA na Constitutional Monarchy ya UK,Kweli?

Nani kakuambia PM wa Uingereza anaobey taratibu za kimalkia? Kwani UK ni absolute monarchy kama Oman,Vatican,Qatar,Swaziland etc?

Kwa hiyo Kikwete nae anapokea maagizo kutoka kwenye mfumo wa BAKWATA according to you.

SIKIA WEWE.

Mwinyi na Kikwete walikuwa nao uwezo wa kuivunja BAKWATA kama wangekuwa waislamu kweli hata kama hawakuchaguliwa kuutetea uislamu sema ni unafiki na ukafir tu umewajaa.

KWA NINI NASEMA HIVYO.

1-Ni ukweli usiopingika kwamba BAKWATA inawasaidia Sana wanasiasa katika siasa zao hivyo wanailea ilhali wakijua fika kuwa ni kikwazo kwa ustawi wa uislamu na waislamu wenzao halafu wakitoka madarakani wanasingizia mfumo.

HUU NI UNAFIKI.

2-Kikwete anamalizia ngwe yake mwakani kwa nini asiivunje basi maana yeye ilishamsaidia tayari na anajua madhira yake kwa waislamu wenzake.

Yaani kutetea imani yako mpaka upigiwe kura kwa ajili ya hilo? Ni ukafir na unafiki mkubwa umemjaa.

Adui wa waislamu kwenye hili suala la BAKWATA ni Nyerere aliyeiasisi akifuatiwa na Mwinyi then Kikwete hata kama hawakuchaguliwa kutetea uislamu si ni waislamu bhana hivyo kuutetea uislamu ni WAJIBU.

Kutokuona unafiki na ukafir wa Mwinyi na Kikwete kwenye suala la BAKWATA badala yake kuendelea kusingizia mfumo ni Unafiki.

Kama ni pumba tena,pelekea ngurewe wako.
Ndo nshasema hivyo.
Na log off.
 
Ndio maana nimesema tatizo ni waislamu, kama bakwata ni tatizo kwa nini waendelee kuwakilishwa na chombo kama hicho? WHY, kwa nini liitwe baraza la waislamu wakati hawafuai maadili ya kiislamu? Kuendelea kulalamika bila kuchukua hatua stahiki kurekebisha haya mapungufu haisaidii. Bakwata lazima lirekebishwe lifuate maadili na wakufanya haya ni waislamu wenyewe, kulalamika tu haisaidii.

tukichukua hatua tunapigwa risasi, but aluta continua
 
UTAKUFA WEWE UTAIACHA BAKWATA MILELE...Hiki ni chombo cha waislamu ingawa waislamu nyie (wachache) mnakipinga na kipo kwa mujibu wa sheria za nchi...hiki sio kilabu cha pombe ambacho mechi za world cup zikiisha nacho hufungwa kwa kukosa wateja...Wanazaliwa waumini lkila kukicha na wanakua wanaendeleza yale yote mazuri yanayofanywa na bakwata...kamwe uwezi kumzuia mufti kuzungumzia siasa hali ya kuwa mapadre na maaskofu wanazungumza kila kukicha na makanisa yao hayafi....tunakujua wewe ni miongoni mwao wapenda vurugu lakini tunakuusia kama muislamu mwenzetu...kimbilio lako litakuwa msikitini ndipo utakaposalimika..kama huamini soma historia ya rwanda na mauaji ya kimbari uone waliosalimika wengi walikuwa wapi.....
Naanza kwa jina la Mwenyezi Mungu Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo.

Ifuatayo ni makala hii iloachapishwa tarehe 27 April 2011 katika Gazeti la Mwana Halisi

BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani



BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limepotea njia. Baraza hilo lililoanzishwa mwaka 1968 kwa nia ya kutetea maslahi ya waislam, limeacha kazi yake ya asili iliyokusudiwa, badala yake sasa linafanya kazi ya kutetea Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wake.

Kiongozi mkuu wa BAKWATA, Mufti Simba Shabani Bin Simba, amekuwa akisikika akituhumu viongozi wa vyama vya upinzani kuwa wanataka kuleta vurugu, huku akiacha jukumu lake la msingi la kutetea waislam.

Wala hakuna shaka kuwa BAKWATA, chombo chenye mamlaka ya kusimamia waislam, kilichowahi kuwa na mahusiano mazuri na wafadhili wa ndani na nje, imekuwa taasisi ya mwisho kimaendeleo kutokana na viongozi wake kuingiza siasa ndani ya chombo hiki.
Matumaini yaliyobaki ya waislam kwa BAKWATA, ni ya kiimani zaidi kama kupata taarifa za kuandama mwezi mtukufu wa Ramadhan na kusherehekea sikukuu za kiislam. Basi!

Wakati baadhi ya taasisi za kidini zinashindana na serikali katika uanzishwaji wa vyuo vikuu, hospitali za rufaa kama Bugando na KCMC, BAKWATA imeishia kumiliki zahanati, vituo vya afya na shule za sekondari zinazoongoza kwa matokeo mabaya ya mitihani ya kidato cha nne na sita.

BAKWATA haina hata chuo kikuu kimoja inachokimiliki, wala ardhi iliyotengwa kwa ajili hiyo. Pengine inasubiri kupewa jengo na serikali ya Rais Jakaya Kikwete.

Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro hakimilikiwi na BAKWATA, wala majengo yake yaliyotolewa na serikali wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa.

Wakati Mtume Muhammad (SAW) alipanga mikakati madhubuti kusaidia waislam kwa kuanzisha benki ya waislam (Baitl-Mal) na kuwachagua viongozi makini na wenye uchungu wa maendeleo kuwa wasiadizi wake, uaminifu wake katika kutunza mali za waislam na wasiokuwa waislam uliwavutia hata waliokuwa wakimpinga.

Inaelezwa kwamba msimamo huo wa mtume, ndiyo chanzo cha ndoa yake na Bi. Khadija ambaye historia inaonyesha kabla ya kumuoa alikuwa mfanyakazi wake katika masuala ya biashara. Mtume alitunza kwa uaminifu mkubwa na hatimaye Bi. Khadija alivutiwa na kufunga naye ndoa na mtume.

Baada ya kufariki masahaba walichukua jukumu la kuwatumikia waislam, waliogopa kula mali ya waislam. Waliwasikiliza na kuyatatua matatizo yao, walitoa chao kuwapa wenye shida siyo kuchukua cha wenye shida kutia matumboni.

Yote haya walifanya kwa kuamini uongozi ni dhamana, na kubwa zaidi wakiamini ipo siku watasimama mbele ya Mwenyezi Mungu na kujibu jinsi walivyotumikia waliowaongoza.

Ni tofauti na viongozi wa sasa wa BAKWATA ambao husoma tu historia za masahaba na makhalifa waliowahi kutumia jamii ya kiislam kama vile umar bin Abdul Azeez (R.A).

Swali linakuja, kama hivi ndivyo, mbona tuhuma dhidi ya kutafuna hata mali za yatima na wale wasiojiweza zinazidi kuongezeka katika chombo hiki?

Baada ya Rais Kikwete kuingia madarakani, Desemba 2005 alikuwa mgeni rasmi katika baraza la Iddi mjini Arusha. Katika hotuba yake, aliilaumu BAKWATA kwa kushindwa kuwatumikia waislam kwa dhati.

Alisema waislam wameichoka BAKWATA na kwamba chombo hicho kimekuwa kama kikundi cha watu wachache chenye manufaa binafsi.
Waliokuwapo na waliosikiliza kupitia vyombo vya habari waliona jinsi waislam walivyozizima kwa furaha kutokana na kauli ya rais. Waliokuwapo ukumbuni walipiga takbir kwa kishindo kuashiria wameguswa na kauli ya rais.

Hili lilitokea mbele ya wafuasi wa BAKWATA na viongozi wake. Ulikuwa ujumbe kwa Mufti Simba na waislam kwa ujumla, hasa wale wanaotaka mabadiliko katika utendaji wa chombo chao.

Vyombo vya habari viliripoti kauli ya rais, na kwamba wengi waliamini kuwa kauli ya mkuu wa nchi ingesaidia kuwatoa BAKWATA katika usingizi wa pono. Wapi!

Nyingi ya shule zinazomilikiwa na BAKWATA zinatoa matokeo mabovu katika mitihani ya kidato cha nne na sita; huku zahanati zake nyingi zikilaumiwa kwa kutoa huduma duni.

Wengi walitarajia kuwa chombo hiki kingetumia raslimali zake kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa mabenki, hospitali, vyuo vya elimu ya juu na kuanzisha mifuko ya pensheni kwa wafanyakazi wa taasisi zake. Wangetumia misaada inayotolewa kwa faida ya waislam na jamii kwa ujumla.

Hoja kwamba waislam hawapendi kusoma haiwezi kuingia akilini mwa wengi. Mamia kwa makumi ya waislam wanasoma katika vyuo vikuu mbalimbali dunuani kama vile Khartoum, Tehran, Misri, Algeria, Senegal. Wengi wao wamejikita katika masomo ya uhandisi, udaktari, kilimo, teknolojia, uhusiano wa kimataifa na hata sheria za kimataifa.

Je, nani asiyetambua jinsi Zanzibar ilivyotikisa nyanja ya habari duniani? Kwa mfano, Zeyana Seif, mwanamke wa kwanza Afrika ametangaza idhaa ya Kiswahili ya Uingereza (BBC).

BAKWATA wanafahamu kuwa waislam walikuwa wa kwanza kuandaa mpango wa kujenga chuo kikuu cha kimataifa huku viongozi wa jumuiya za kiislam wakitafuta misaada ndani na nje.

Baadhi ya waislam licha ya umasikini waliokuwa nao walijitolea kuchangia kabla jumuiya hiyo kukumbwa na mgogoro na hatimaye kuvurugika na majukumu ya jumuiya hiyo kukabidhiwa BAKWATA. Maafa ya waislam kimaendeleo yalianza hapo.

Katiba ya BAKWATA imelalamikiwa mahakamani na baadhi ya waislam kuwa ina mapungufu. Lakini hadi leo BAKWATA haijatatua tatizo hilo kwa faida ya jamii ya kiislam.

Aidha, BAKWATA badala ya kujiingiza katika siasa, ingejikita katika kusimamia mali za waislam zilizouzwa na zinazouzwa na baadhi ya viongozi wake kinyume cha taratibu.

Tarehe 17 Aprili 1991, rais mstaafu Ali Hassani Mwinyi aliwataka waislam kukaa pamoja na kutafuta suluhu juu ya mgogoro wa chombo chao, lakini BAKWATA imegoma kutii agizo la kiongozi huyo kwa kudhani kuwa inalindwa na CCM. Wapo wanaosema, siku CCM ikiondoka madarakani, BAKWATA nayo itakufa kifo cha mende.

Wanaosema CCM ikishindwa uchaguzi BAKWATA itakufa wanasema pia kuwa kifo cha BAKWATA utakuwa mwanzo mpya wa kimaendeleo kwa jamii ya kiislam na waislam kwa ujumla.

Waislam wanalalamika kunyimwa fursa za maendeleo na watawala wanaolalamikia hali hiyo, siyo Mufti wala viongozi wakuu wa BAKWATA.

Kuna taarifa mara baada ya wakiristo kufunga mkataba na serikali (MoU) baadhi ya taasisi za kiislam zilikaa na kutunga rasimu ya mkataba kama huo na kuupeleka serikalini kwa manufaa ya waislam, lakini walipata vizingiti huku serikali ikitaka BAKWATA iandae.
BAKWATA imekaa kimya. Haitaki kutenda yale ambayo waislam wanataka. Wanadhani kwao hilo si tatizo, bali tatizo ni CHADEMA.

Je, katiba ya BAKWATA si inasema kila kiongozi wa BAKWATA lazima awe muislam mwaminifu mwenye kufuata quran na sunna, wapi wanapoteleza viongozi hawa kuwatumikia waislam?



1-Je ina ukweli wowote?
2-Na kama ina mantiki JE nini nini kifanyike?
3- je Kuna umuhimu wa ku-resolve BAKWATA?

NAOMBENI MAONI YENU NDUGU ZANGU KATIKA IMANI..
 
huwezi kunielewa kwa sababu IQ yako ni finyu. mfumo ninaoongelea hapa ni wa utawala kwa maana ya serikali na taasisi zake (usalama wa taifa/utawala na mamlaka zingine <usije kuniuliza tena taja hizo mamlaka zingine maana unaonekana empty kabisa kichwani>). bakwata is nothing ndani ya mfumo. ndo maana tangia awali nikakuuliza unajua maana ya neno mfumo; majibu yako mara oooh mimi sio mwanafunzi wa secondary na upuuzi mwengine. kwa heri.


Kwa hiyo huu ndo mchele,ulokufanya uone hoja yangu ni pumba?

Ndo maana nimehoji utimamu wa akili yako.

BAKWATA ndo unaiita mfumo?
(maana hapa tunajadili BAKWATA)

Haka si ni kagenge ka wahuni wachache tu kalikopachikwa kwenye mfumo.

Halafu ulivyo mtupu kichwani,unafananisha BAKWATA na Constitutional Monarchy ya UK,Kweli?

Nani kakuambia PM wa Uingereza anaobey taratibu za kimalkia? Kwani UK ni absolute monarchy kama Oman,Vatican,Qatar,Swaziland etc?

Kwa hiyo Kikwete nae anapokea maagizo kutoka kwenye mfumo wa BAKWATA according to you.

SIKIA WEWE.

Mwinyi na Kikwete walikuwa nao uwezo wa kuivunja BAKWATA kama wangekuwa waislamu kweli hata kama hawakuchaguliwa kuutetea uislamu sema ni unafiki na ukafir tu umewajaa.

KWA NINI NASEMA HIVYO.

1-Ni ukweli usiopingika kwamba BAKWATA inawasaidia Sana wanasiasa katika siasa zao hivyo wanailea ilhali wakijua fika kuwa ni kikwazo kwa ustawi wa uislamu na waislamu wenzao halafu wakitoka madarakani wanasingizia mfumo.

HUU NI UNAFIKI.

2-Kikwete anamalizia ngwe yake mwakani kwa nini asiivunje basi maana yeye ilishamsaidia tayari na anajua madhira yake kwa waislamu wenzake.

Yaani kutetea imani yako mpaka upigiwe kura kwa ajili ya hilo? Ni ukafir na unafiki mkubwa umemjaa.

Adui wa waislamu kwenye hili suala la BAKWATA ni Nyerere aliyeiasisi akifuatiwa na Mwinyi then Kikwete hata kama hawakuchaguliwa kutetea uislamu si ni waislamu bhana hivyo kuutetea uislamu ni WAJIBU.

Kutokuona unafiki na ukafir wa Mwinyi na Kikwete kwenye suala la BAKWATA badala yake kuendelea kusingizia mfumo ni Unafiki.

Kama ni pumba tena,pelekea ngurewe wako.
Ndo nshasema hivyo.
Na log off.
 
BAKWATA go to hell. Iliundwa baada ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) kusambaratishwa na Nyerere. Serkali ya Misri ilikua tayar kujenga chuo kikuu cha waislam wakat huo. Baada ya Nyerere kuua EAMWS ndio akawaundia BAKWATA ambayo haina maana yoyote. Go to hell bakwata. Go to hell. Na
Kama mnabisha watu hawapendi bakwata ipigwe kura miongon mwa waislam tuone wangap wanaitka na wangap hawaitak. Go to hell bakwata
 
huwezi kunielewa kwa sababu IQ yako ni finyu. mfumo ninaoongelea hapa ni wa utawala kwa maana ya serikali na taasisi zake (usalama wa taifa/utawala na mamlaka zingine <usije kuniuliza tena taja hizo mamlaka zingine maana unaonekana empty kabisa kichwani>). bakwata is nothing ndani ya mfumo. ndo maana tangia awali nikakuuliza unajua maana ya neno mfumo; majibu yako mara oooh mimi sio mwanafunzi wa secondary na upuuzi mwengine. kwa heri.


You know something next to nothing bora kaa kimya.

Hapa tunajadili BAKWATA we unarukaruka tu mara mfumo mara TISS.

Onesha basi namna mfumo unavyombana rais kuivunja BAKWATA.

Halafu ulivyo zezeta hujui kuwa wakuu wa mamlaka zote ulizozitaja ni wateule wa rais ambaye ni mwislamu.

Acha kujitoa ufahamu kwa mambo yaliyo wazi kama hili na kulalamikia vitu ambavyo havihusiki.

Ni unafiki na ukafir tu wa hao marais waislamu ndo inaifanya BAKWATA iendelee kuwepo lakini uwezo wa kuivunja wanao.

Inaonekana wewe hata hiyo IQ huna kabisa na kama unayo ni ya kichina.

Hujui hata kujieleza.

ONESHA NAMNA MFUMO UNAVYOMBANA KIKWETE KUIVUNJA BAKWATA.

 
bi ngumu sana ku-argue na taahira.


You know something next to nothing bora kaa kimya.

Hapa tunajadili BAKWATA we unarukaruka tu mara mfumo mara TISS.

Onesha basi namna mfumo unavyombana rais kuivunja BAKWATA.

Halafu ulivyo zezeta hujui kuwa wakuu wa mamlaka zote ulizozitaja ni wateule wa rais ambaye ni mwislamu.

Acha kujitoa ufahamu kwa mambo yaliyo wazi kama hili na kulalamikia vitu ambavyo havihusiki.

Ni unafiki na ukafir tu wa hao marais waislamu ndo inaifanya BAKWATA iendelee kuwepo lakini uwezo wa kuivunja wanao.

Inaonekana wewe hata hiyo IQ huna kabisa na kama unayo ni ya kichina.

Hujui hata kujieleza.

ONESHA NAMNA MFUMO UNAVYOMBANA KIKWETE KUIVUNJA BAKWATA.

 
bi ngumu sana ku-argue na taahira.


Nimekuambia uelezee namna mfumo unavyombana Kikwete kuivunja BAKWATA.

Au kwa kuwa we ni Abunuas ngoja nikurahisishie.

Ni lini Kikwete alibanwa na mfumo akiwa katika harakati za kuivunja BAKWATA?

Alibanwaje?

Tatizo umekaririshwa mfumo lakini huna hata hoja ya ku-support,unamezameza tu.

Kwa taarifa yako hakuna rais anayebanwa na mfumo katika demokrasia ya Afrika acha unafiki.
 
Last edited by a moderator:
rais anamamlaka ya kuvunja taasisi iliyoanzishwa na kuwepo kisheria? unakumbuka suala la kina ndolanga na FAT kipindi hicho (sijui wewe ni waumri gani, kama ni mdogo uliza wakubwa watakueleza). Ni nyerere tu ndo aliweza kuvunja EAFWS kimabavu.
Mwinyi alipoingia madarakani waislam walizunguka ile ofisi ya bakwata pale kinondoni kutaka sio kuwang'oa bali kuwafukuzilia mbali kabisa. lakini kilichotokea ni majaaliwa.

najua unahamu sana ya kutaka kujua mengi, tatizo muda wa kuyaandika ndo hautoshi. ova.

Nimekuambia uelezee namna mfumo unavyombana Kikwete kuivunja BAKWATA.

Au kwa kuwa we ni Abunuas ngoja nikurahisishie.

Ni lini Kikwete alibanwa na mfumo akiwa katika harakati za kuivunja BAKWATA?

Alibanwaje?

Tatizo umekaririshwa mfumo lakini huna hata hoja ya ku-support,unamezameza tu.

Kwa taarifa yako hakuna rais anayebanwa na mfumo katika demokrasia ya Afrika acha unafiki.
 
bakwata is nothing ndani ya mfumo.

Hiyo sentensi hapo juu na hayo maelezo hapo chini yanatoa tafsiri kuwa waislamu ni watu wa namna gani. Kama tatizo ni mfumo kwa nini mhangaige na ofisi za BAKWATA wakati mnajua BAKWATA is nothing ndani ya mfumo?

.
Mwinyi alipoingia madarakani waislam walizunguka ile ofisi ya bakwata pale kinondoni kutaka sio kuwang'oa bali kuwafukuzilia mbali kabisa. lakini kilichotokea ni majaaliwa.
.

Halafu swali langu hujanijibu.

Nimeuliza juhudi binafsi alizozionesha Mwinyi/Kikwete katika kuivunja BAKWATA na namna alivyobanwa na mfumo lakini kwa makusudi kabisa umeleta habari za waislamu kuzunguka ofisi za BAKWATA awamu ya utawala wa mwinyi.

Au Mwinyi naye alikuwepo kwenye hilo sekeseke? halafu nieleze katika maelezo yako mfumo umehusikaje hapo?

Yaani polisi kutuliza fujo kwenye ofisi za BAKWATA ndo kuingiliwa na mfumo?

Ulitaka muangaliwe tu muuane kwa kuwa nyote ni waislamu?

Najua muda unao kiongozi sema umeishiwa hoja tu.
 
Hiyo sentensi hapo juu na hayo maelezo hapo chini yanatoa tafsiri kuwa waislamu ni watu wa namna gani. Kama tatizo ni mfumo kwa nini mhangaige na ofisi za BAKWATA wakati mnajua BAKWATA is nothing ndani ya mfumo?



Halafu swali langu hujanijibu.

Nimeuliza juhudi binafsi alizozionesha Mwinyi/Kikwete katika kuivunja BAKWATA na namna alivyobanwa na mfumo lakini kwa makusudi kabisa umeleta habari za waislamu kuzunguka ofisi za BAKWATA awamu ya utawala wa mwinyi.

Au Mwinyi naye alikuwepo kwenye hilo sekeseke? halafu nieleze katika maelezo yako mfumo umehusikaje hapo?

Yaani polisi kutuliza fujo kwenye ofisi za BAKWATA ndo kuingiliwa na mfumo?

Ulitaka muangaliwe tu muuane kwa kuwa nyote ni waislamu?

Najua muda unao kiongozi sema umeishiwa hoja tu.

Bakwata wanalindwa na mfumo si hisia ni ukweli na wao bakwata siku wakibadili muelekeo wakawa kweli wanawatumikia waislam.
Wakawaunganisha waislam kuwa wamoja na kuifanya bakwata ya waislam kuchagua viongozi wanaofaa basi na wao wataondoshwa kabla ya kufanikiwa.
Turudie ya kina Ponda.
Ponda alikuwa na uchungu na uuzaji pale changombe . Kilichofata mpaka leo Ponda yupo ndani kwa makosa yasio na mshiko .
Amekomolewa na mfumo kwa kujaribu kuipinga jumuia yao ..kwao mfumo hawajali na wizi unaofanywa na bakwata lakini itashughulika na wale wanaohoji wizi ndani ya bakwata huu ndio ukweli na tume uona katika kesi ya Ponda
 
rais anamamlaka ya kuvunja taasisi iliyoanzishwa na kuwepo kisheria?
Ni nyerere tu ndo aliweza kuvunja EAFWS[/b]kimabavu.



Umeandika mwenyewe Nyerere aliivunja EAMWS halafu unaniuliza kama rais anamamlaka ya kuivunja taasis iliyopo kisheria.

Kwa nini mamlaka ya kuvunja taasisi awe nayo Nyerere pekee na siyo Kikwete?

What's so special with Nyerere?

Kwani EAMWS haikuundwa kisheria?

Kama wote wametumia katiba ya 1977,then ugumu unatoka wapi?

Ni unafiki tu laanatullah!!

 
Bakwata wanalindwa na mfumo si hisia ni ukweli na wao bakwata siku wakibadili muelekeo wakawa kweli wanawatumikia waislam.
Wakawaunganisha waislam kuwa wamoja na kuifanya bakwata ya waislam kuchagua viongozi wanaofaa basi na wao wataondoshwa kabla ya kufanikiwa.
Turudie ya kina Ponda.
Ponda alikuwa na uchungu na uuzaji pale changombe . Kilichofata mpaka leo Ponda yupo ndani kwa makosa yasio na mshiko .
Amekomolewa na mfumo kwa kujaribu kuipinga jumuia yao ..kwao mfumo hawajali na wizi unaofanywa na bakwata lakini itashughulika na wale wanaohoji wizi ndani ya bakwata huu ndio ukweli na tume uona katika kesi ya Ponda


Nakushauri unisome toka page ya 12 ndo utaelewa ni kipi ninachohoji.

In short nakubali kuwepo kwa mfumo unaoifanya BAKWATA iendelee ku-exist licha ya kupingwa na waislamu wenyewe na mfumo huu umeifanya BAKWATA kutumika kisiasa kama jumuiya zingine za CCM eg UVCCM.

Ninachokataa ni kusema kwamba ati Mwinyi na Kikwete walikuwa na nia ya dhati ya kuivunja BAKWATA lakini wameshindwa kutokana na kwamba ati kuna mfumo(wasionufaika nao wao kisiasa) unawabana kila wanapojaribu kufanya hivyo.

Ndo maana nimehoji kwamba ni lini Kikwete ama Mwinyi walijihusisha na kuivunja BAKWATA wakabanwa na mfumo.

Je walibanwaje?

To me marais waislamu ni wanafiki tu juu ya hili suala la BAKWATA lakini uwezo wa kuivunja wanao sema wamekuwa beneficiaries wa uwepo wake pamoja na kwamba wanayajua fika madhira yake kwa waislamu.

Kama wewe ni muislamu safi,kutetea imani yako siyo mpaka upigiwe kura kwa ajili ya hilo.

Ni unafiki na ukafir mkubwa ndani yao.

LAANATULLAH.
 
Naanza kwa jina la Mwenyezi Mungu Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo.

Ifuatayo ni makala hii iloachapishwa tarehe 27 April 2011 katika Gazeti la Mwana Halisi

BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani



BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limepotea njia. Baraza hilo lililoanzishwa mwaka 1968 kwa nia ya kutetea maslahi ya waislam, limeacha kazi yake ya asili iliyokusudiwa, badala yake sasa linafanya kazi ya kutetea Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wake.

Kiongozi mkuu wa BAKWATA, Mufti Simba Shabani Bin Simba, amekuwa akisikika akituhumu viongozi wa vyama vya upinzani kuwa wanataka kuleta vurugu, huku akiacha jukumu lake la msingi la kutetea waislam.

Wala hakuna shaka kuwa BAKWATA, chombo chenye mamlaka ya kusimamia waislam, kilichowahi kuwa na mahusiano mazuri na wafadhili wa ndani na nje, imekuwa taasisi ya mwisho kimaendeleo kutokana na viongozi wake kuingiza siasa ndani ya chombo hiki.
Matumaini yaliyobaki ya waislam kwa BAKWATA, ni ya kiimani zaidi kama kupata taarifa za kuandama mwezi mtukufu wa Ramadhan na kusherehekea sikukuu za kiislam. Basi!

Wakati baadhi ya taasisi za kidini zinashindana na serikali katika uanzishwaji wa vyuo vikuu, hospitali za rufaa kama Bugando na KCMC, BAKWATA imeishia kumiliki zahanati, vituo vya afya na shule za sekondari zinazoongoza kwa matokeo mabaya ya mitihani ya kidato cha nne na sita.

BAKWATA haina hata chuo kikuu kimoja inachokimiliki, wala ardhi iliyotengwa kwa ajili hiyo. Pengine inasubiri kupewa jengo na serikali ya Rais Jakaya Kikwete.

Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro hakimilikiwi na BAKWATA, wala majengo yake yaliyotolewa na serikali wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa.

Wakati Mtume Muhammad (SAW) alipanga mikakati madhubuti kusaidia waislam kwa kuanzisha benki ya waislam (Baitl-Mal) na kuwachagua viongozi makini na wenye uchungu wa maendeleo kuwa wasiadizi wake, uaminifu wake katika kutunza mali za waislam na wasiokuwa waislam uliwavutia hata waliokuwa wakimpinga.

Inaelezwa kwamba msimamo huo wa mtume, ndiyo chanzo cha ndoa yake na Bi. Khadija ambaye historia inaonyesha kabla ya kumuoa alikuwa mfanyakazi wake katika masuala ya biashara. Mtume alitunza kwa uaminifu mkubwa na hatimaye Bi. Khadija alivutiwa na kufunga naye ndoa na mtume.

Baada ya kufariki masahaba walichukua jukumu la kuwatumikia waislam, waliogopa kula mali ya waislam. Waliwasikiliza na kuyatatua matatizo yao, walitoa chao kuwapa wenye shida siyo kuchukua cha wenye shida kutia matumboni.

Yote haya walifanya kwa kuamini uongozi ni dhamana, na kubwa zaidi wakiamini ipo siku watasimama mbele ya Mwenyezi Mungu na kujibu jinsi walivyotumikia waliowaongoza.

Ni tofauti na viongozi wa sasa wa BAKWATA ambao husoma tu historia za masahaba na makhalifa waliowahi kutumia jamii ya kiislam kama vile umar bin Abdul Azeez (R.A).

Swali linakuja, kama hivi ndivyo, mbona tuhuma dhidi ya kutafuna hata mali za yatima na wale wasiojiweza zinazidi kuongezeka katika chombo hiki?

Baada ya Rais Kikwete kuingia madarakani, Desemba 2005 alikuwa mgeni rasmi katika baraza la Iddi mjini Arusha. Katika hotuba yake, aliilaumu BAKWATA kwa kushindwa kuwatumikia waislam kwa dhati.

Alisema waislam wameichoka BAKWATA na kwamba chombo hicho kimekuwa kama kikundi cha watu wachache chenye manufaa binafsi.
Waliokuwapo na waliosikiliza kupitia vyombo vya habari waliona jinsi waislam walivyozizima kwa furaha kutokana na kauli ya rais. Waliokuwapo ukumbuni walipiga takbir kwa kishindo kuashiria wameguswa na kauli ya rais.

Hili lilitokea mbele ya wafuasi wa BAKWATA na viongozi wake. Ulikuwa ujumbe kwa Mufti Simba na waislam kwa ujumla, hasa wale wanaotaka mabadiliko katika utendaji wa chombo chao.

Vyombo vya habari viliripoti kauli ya rais, na kwamba wengi waliamini kuwa kauli ya mkuu wa nchi ingesaidia kuwatoa BAKWATA katika usingizi wa pono. Wapi!

Nyingi ya shule zinazomilikiwa na BAKWATA zinatoa matokeo mabovu katika mitihani ya kidato cha nne na sita; huku zahanati zake nyingi zikilaumiwa kwa kutoa huduma duni.

Wengi walitarajia kuwa chombo hiki kingetumia raslimali zake kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa mabenki, hospitali, vyuo vya elimu ya juu na kuanzisha mifuko ya pensheni kwa wafanyakazi wa taasisi zake. Wangetumia misaada inayotolewa kwa faida ya waislam na jamii kwa ujumla.

Hoja kwamba waislam hawapendi kusoma haiwezi kuingia akilini mwa wengi. Mamia kwa makumi ya waislam wanasoma katika vyuo vikuu mbalimbali dunuani kama vile Khartoum, Tehran, Misri, Algeria, Senegal. Wengi wao wamejikita katika masomo ya uhandisi, udaktari, kilimo, teknolojia, uhusiano wa kimataifa na hata sheria za kimataifa.

Je, nani asiyetambua jinsi Zanzibar ilivyotikisa nyanja ya habari duniani? Kwa mfano, Zeyana Seif, mwanamke wa kwanza Afrika ametangaza idhaa ya Kiswahili ya Uingereza (BBC).

BAKWATA wanafahamu kuwa waislam walikuwa wa kwanza kuandaa mpango wa kujenga chuo kikuu cha kimataifa huku viongozi wa jumuiya za kiislam wakitafuta misaada ndani na nje.

Baadhi ya waislam licha ya umasikini waliokuwa nao walijitolea kuchangia kabla jumuiya hiyo kukumbwa na mgogoro na hatimaye kuvurugika na majukumu ya jumuiya hiyo kukabidhiwa BAKWATA. Maafa ya waislam kimaendeleo yalianza hapo.

Katiba ya BAKWATA imelalamikiwa mahakamani na baadhi ya waislam kuwa ina mapungufu. Lakini hadi leo BAKWATA haijatatua tatizo hilo kwa faida ya jamii ya kiislam.

Aidha, BAKWATA badala ya kujiingiza katika siasa, ingejikita katika kusimamia mali za waislam zilizouzwa na zinazouzwa na baadhi ya viongozi wake kinyume cha taratibu.

Tarehe 17 Aprili 1991, rais mstaafu Ali Hassani Mwinyi aliwataka waislam kukaa pamoja na kutafuta suluhu juu ya mgogoro wa chombo chao, lakini BAKWATA imegoma kutii agizo la kiongozi huyo kwa kudhani kuwa inalindwa na CCM. Wapo wanaosema, siku CCM ikiondoka madarakani, BAKWATA nayo itakufa kifo cha mende.

Wanaosema CCM ikishindwa uchaguzi BAKWATA itakufa wanasema pia kuwa kifo cha BAKWATA utakuwa mwanzo mpya wa kimaendeleo kwa jamii ya kiislam na waislam kwa ujumla.

Waislam wanalalamika kunyimwa fursa za maendeleo na watawala wanaolalamikia hali hiyo, siyo Mufti wala viongozi wakuu wa BAKWATA.

Kuna taarifa mara baada ya wakiristo kufunga mkataba na serikali (MoU) baadhi ya taasisi za kiislam zilikaa na kutunga rasimu ya mkataba kama huo na kuupeleka serikalini kwa manufaa ya waislam, lakini walipata vizingiti huku serikali ikitaka BAKWATA iandae.
BAKWATA imekaa kimya. Haitaki kutenda yale ambayo waislam wanataka. Wanadhani kwao hilo si tatizo, bali tatizo ni CHADEMA.

Je, katiba ya BAKWATA si inasema kila kiongozi wa BAKWATA lazima awe muislam mwaminifu mwenye kufuata quran na sunna, wapi wanapoteleza viongozi hawa kuwatumikia waislam?



1-Je ina ukweli wowote?
2-Na kama ina mantiki JE nini nini kifanyike?
3- je Kuna umuhimu wa ku-resolve BAKWATA?

NAOMBENI MAONI YENU NDUGU ZANGU KATIKA IMANI..
Mnapinga bakwata ya nini? Hayo makundi mebgine zina chachu za kigaidi na evidence ipo.

Nadhani waislam wanataka kupiteza malengo ya Allah na kutafuta mashindano ndani na nje. Dini nyingine ina fursa ya kubuni miradi endelevu hadi serikali inawangukia na kuwaomba kuwa na share. Eg bmc, kcmc, nk.
 
Back
Top Bottom