Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Yakhe wallahi naenda kula urojo na gari yangu unguja jioni narejea bara.

Hivi eeeh......
Nataka nifike kwa Amina mpaka hina wa Kibanda maiti.....nitaarudi kesho....
 
Huyu mzee mbinafsi sana atuwekee ya kivukoni bagamoyo basi ile mv dar wanajua wenye mji walichotufanyia aache kauchoyo bwana vitu vizuri kula na nduguyo
Kwani hamna serikali?
 
punguza kulalamika mkuu,anza kwanza kuilalamikia serikari yako.
Unaangalia na sehemu ya kulalamikia mdau kuna wengine shingo zao zishakuwa ngumu hata kugeuka kukusikiliza haiwezekani nimejiwazia tu kwa sauti Mungu kampa atuangalie na sie wanyonge hata akitupa makombo sawa tu tutakula manake tuna njaa
 
Duduwashs utawachanganya baadh ya watu kwa hii kaul ya mashart, unamaana gan,?
 
Unaangalia na sehemu ya kulalamikia mdau kuna wengine shingo zao zishakuwa ngumu hata kugeuka kukusikiliza haiwezekani nimejiwazia tu kwa sauti Mungu kampa atuangalie na sie wanyonge hata akitupa makombo sawa tu tutakula manake tuna njaa
nimekusoma mkuu.
tatizo la wafanyabiashara ni watu wa kuangalia faida.anapeleka mradi sehemu ambayo anajua atarudisha pesa yake.
 
40bccdffb4ff527495dafb6182679727.jpg
5d0d566161679d9037022cc486ed1c40.jpg
2a36d64582f1a117c8591d219bb42648.jpg


NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Amelipa kodi za uingizwaji wa Meli hiyo?
 
Tungekua na hakina Bakheresa 10 tu basi Tramp atusubiri
..Mungu amuongezee Upeo zaidi Aweke na kiwanda cha Magar hapa Bongo
Mungu amuongezee kabisa, ikiwa hizo alizo nazo zimetoka kwa Mungu pia
 
hongera azam. ila tatizo hii midude iko km kivuko cha kigamboni ungeleta meli mfano mapunduzi II
 
Ziwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.

Alishapigwa zengwe na mwenye barabara miaka ya zamani akasusa kabisa baada ya kuzipitishia Kenya
 
Bakhresa family kwakweli wamelikamata soko la usafirishaji kwenda visiwani. Hongera zao sana kwa kuiendeleza biashata ya uchukuzi majini nchini
 
Back
Top Bottom