The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Mwana mbona unaandika maneno unakosea kosea hivo... Utadhani una ukoma kwenye vidole rafiki????
ACHA UBOYA WEWE... Pumbavv kabisa
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Ahsante Engineer
Mwana mbona unaandika maneno unakosea kosea hivo... Utadhani una ukoma kwenye vidole rafiki????
ACHA UBOYA WEWE... Pumbavv kabisa
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
hongera SAID bakhresa![]()
![]()
![]()
NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
watu wafukunyufu sana Mv DSM imeingiaje hapo?Hivi Mv Dar es salaam ipo?
Wewe nae uelewa wako juu ya uchumi ni mdogo sana tunazungumzia uchumi wa bhakresa au uchumi wa nchi ?Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
wanfunzi wa NIT wanafanyia field mkuuHivi Mv Dar es salaam ipo?
Tehe tehe...twende nkupe lift ila twampitia na Makame kiembe samaki. Tukifika kwake twabonyeza honi bonyeeee...hahaHivi eeeh......
Nataka nifike kwa Amina mpaka hina wa Kibanda maiti.....nitaarudi kesho....
alipeleka boti zake kule aka ambiwa ana haribu barabara kuzisafirisha toka dar to mza...Ziwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.
hilo tukio nalikumbuka vizuri sana.alipeleka boti zake kule aka ambiwa ana haribu barabara kuzisafirisha toka dar to mza...
halafu ni kama utawala huu ana upepo nao.huyu mzee wapinzani wake ( competitors ) im sure ni full stress. jamaa sasa hivi ana enjoy economies of scale.
Ng'ombe utamjua tuuAlete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Nahodha wa hilo dude ni Mgalatia au Muislam?![]()
![]()
![]()
NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Hiki ni kizazi kipya, victoria ni fursa huru sana. Mitaji tu, inawazingua.Alishapigwa zengwe na mwenye barabara miaka ya zamani akasusa kabisa baada ya kuzipitishia Kenya
Enzi za upinzani wa kijinga. Sio kipindi hiki mkuu. Tz imedhamiria (labda wananchi tu) kubadilika mkuu. Tunaweza.alipeleka boti zake kule aka ambiwa ana haribu barabara kuzisafirisha toka dar to mza...
Tanzania raisi wetu alikuwa nani zama hizo?alipeleka boti zake kule aka ambiwa ana haribu barabara kuzisafirisha toka dar to mza...











MchagaNahodha wa hilo dude ni Mgalatia au Muislam?
Kwenye maswala ya uchumi na biashara midini yenu, pembeni. Faida kwanza, dini bdae sana.wewe kama una mavyeti ya uhandisi wa vyombo vya majini,jaribu ku-apply,acha kuwa na mitizamo ya kukariri.
hilo dude lina lihitaji nguvu kazi ya kutosha ili kuliendesha kibiashara.