Mburu kidudu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 532
- 541
IppHaongei saaana. ..anashusha vitu. ..hongera zake
IppHaongei saaana. ..anashusha vitu. ..hongera zake
Wewe unayo hata ngalawa?
Penye kustahili sifa pongeza,huwezi kaa kimya utaonekana wa maana zaidi.

Bila shaka utakuwa muajiliwa hapo wewe mama,nakiona tu povu linavyo kutoka,ngalawa sina ila Nina zaidi ya hiyo ngalawa tena utanifaa sana ukija nikuajiriWewe unayo hata ngalawa?
Penye kustahili sifa pongeza,huwezi kaa kimya utaonekana wa maana zaidi.
Lumumba kaanza kuongea mashudu sasaChagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Anaiaibisha serikali tuache unazi...Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Bakhresa ndio hazina ya nchi!?!?Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Utajiri Wa Yale madude una masharti yake ukikosea unadanja au unakuwa masikini ghafla... Ni hatari sana yaani mali zako zote unajikuta umeziwekeza kwenye kamari ukaliwa zote hapo unachanganyikiwa unakuwa kichaa au kifo or unajikuta umefanya kosa kubwa ukafungwa su ukataifishwa n.k ni utajiri wa mateso bila chuki...Alete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Uchochezi.....Hivi Mv Dar es salaam ipo?
Hahaha..dah...Alete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Wewe unayo hata ngalawa?
Penye kustahili sifa pongeza,huwezi kaa kimya utaonekana wa maana zaidi.
Marhaba kwa niaba yakeShikamoooo Bakhresa.
Analeta vitu ambavyo tunaweza affordAlete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Wee jamaa, husahau tu?Ingekuwa limenunuliwa na serikali, wangeleta used, bovu, bei wanafanya x2
Nime kupata mkuuAnaleta vitu ambavyo tunaweza afford