HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,880
- 5,881
Inaonekana kupitia nini? Mimi nina Mungu mmoja tu ambaye hana mshirika, kama kwako wewe binadamu mwenzako anaweza kuwa Mungu ibaki kwako tu.Najua sio Mungu, ila anaonekana kwako wewe ni mungu wako
Mbona sasa mnataka kuajiriwa na watu walioko nyuma wakati nyinyi mko mbele?na mtazid kubaki nyuma hivo hivyo maana elimu kwenu ilipita kushoto
Aliyekuambia yeye ni Mungu nani? Mimi Nina Mungu mmoja tu mmoja tu ambaye hajazaa wala hajazaliwa na wala Hana anayefanana naye ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi na vilivyomo basi, na kuhusu bidhaa za Bakhressa utatumia tu utake usitake kwa njia moja au nyingine ati unasusia una ubavu. Tatizo lako umekariri, kwa heri [emoji137][emoji137][emoji137]Mkuu trust me naweza kuishi bila huyo mungu wenu
Anzisha kampuni yako na wewe hlf uwaajiri wale watu wa dini yako tupu,hlf uone km kuna muislam atakulalamikiaKaribu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
Halafu analalamika kabaguliwa hafai hata kusafisha choo cha sokonina wewe kuwa makini kidogo basi kwenye uandishi wako
sasa hiyo dollar sign ndio nini!!!!!
hamna lolote wivu unawasumbuaHILI LIKO WAZI, NA UKIONA MKRISTO KAWEKWA HAPO UJUE WAMEMKOSA MWENYE SIFA UPANDE WA PILI
Yaleyale ya Bw. Dau kuigeuza taasis ya umma kuwa group la dini
Wameanza tangu Raisi wa awamu ya pili alipo ingia madarakani kwani hukuwepo? Au hujawahi kuwasikia, pia pale NSSF unafikiri ni akina nani walikuwa wanalalamika?Hii tabia ya ulalamishi Wakristo mmeanza lini? Focus kwenye mambo makubwa. Achana na mambo madogo madogo. Kampuni yake ana uhuru wa kuajiri mtu yeyote ambaye yeye anamwona ana vigezo. Ili mtadia havunji sheria.
Hii tabia ya ulalamishi na nyie wakristo mmeanza lini? Mimi naamini kila mtu ana haki ya kuajiri watu anaotaka kwa vigezo vyake.... Vijana mjikite kwenye mambo ya msingi ya kujenga nchi. Hiyo ni Kampuni binafsi ana uhuru kuajiri watu anaowataka kwa kufuata vigezo vyake. Binafsi nachukia sana tabia ya ulalamishi.
Chanel ten kuna UpareIPP kuna UCHAGGA, AZAM kuna UISLAM, SAHARA kuna USUKUMA
Hilo liko wazi kama we si muislam upati Kazi labda ubadili dini angalia hata Azam media,marine, labda uwe na utaalamu ambao hakuna jinsi utachukuliwa,udini ndo umeua shule nyingi za kiislam,wakati seminary za Kazi kikristo ukiwa MWALIMU kichwa dini sio kigezo.Makampuni mengi ya waislam hata mighahawa dini ndo CV ya kwanza kisha ufata vingine. Mifano hi ni mingi.Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Mkuu umejua kunichekeshaHujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Wameshindwa tu kwenye mpira wangetamani napo kuwe hivo.Karibu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
Sheria za ajira zinapinga ubaguxi wowote wa dini,chama,kabila, jinsia, ulemavu nk.Hakuna kitu kinaitwa binafsi ukishahusha wengi.Mhindi naye akijenga Mall wapangaji wote Wahindi wenziye tena wa dini yake. Mimi naona ni mambo ya kibinafsi tu na ni hiyari ya mtu kutumia mali yake atakavyo. Hakuna sheria imevunjwa hapo!
Kama NSSF wavaa ushungi na akina Maulid wengi sanaKama rcdb kuna kimaro,mushi,kiria, n.k
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!