Ndivyo walivyoamua tangu mwanzo.Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!
Listi mikoa yote ya Tanzania then taja mikoa yenye waislam majorityHawezi kuijua hiyo hesabu kwa sababu haoni idadi ya misikiti au wamiliki nyumba miji mikubwa mingi. Achilia mbali Pwani. Atazame Kigoma, Mwanza, Dodoma, Singida, Tabora nk. Na wanachosahau wakati wanaogopa umaskini kwa kuzaa waislamu wanazaana. Kwa mujibu wa Pasco "kuna vifo vingi kutokana na umaskini ndio maana idadi ya waislam inapungua!!!!!"
Tukirudi kwenye mada:Hebu list mikoa yote ya Tanzania alaf onyesha mikoa ambayo waislam ni wengi zaidi....so unasema Dar hakuna Wakristo au???
Mwenzio alisema waislam ni 80% nchini hicho ndo nilipinga.Tukirudi kwenye mada:
Je huo wingi wa Wakristo Bakhresa ndio anasababisha wakose ajira? :-D🙂
Kwani watakuambia tumekuacha kwaajili ya udini ili uwastukie???Mkuu ungekuwa na case study inayokuhusu wewe mwenyewe ingependeza zaidi kuliko kufanya generalization , kama ulifanya application kwenye moja ya kampuni zake na ukaambiwa we tumekuacha kwa ajili ya dini yako na mwenzio akachukuliwa kwa ajili ya dini uke ingependezza zaidi!
Mfumo Kristo ndio nini?Mfumo kristo uliwaacha nyuma sana waislamu, sasa Bakhresa ni muumini mzuri wa hiyo dini wacha awasaidie ndugu zake na dini yake inamuelekeza kufanya hivyo.
Huyu Firdaus inamuhusu na vile vibira.
Ni kweli kabisa ni Wadini sanaMimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.
Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza
Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Sasa mzaramo utampa kazi gani zaidi ya kucheza ngoma?Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Among how many employees?Cc: Tido Mhando
Cc: Charles Hillary
Waislam walikuwa na vigezo wakaachwa???Karibu asilimia 96 ya wafanyakazi wa serikali ni wakristo,je tusemeje hapo ?
Na bado wanaajiriwa na hawachi kuibaSasa kwa mwenyekiti wa Madrasa mnalialia nini? Au mna mpango wa Azimio la Arusha ili mumtaifishe mali zake? Makatonta wasomi ndio wamefisidi hii nchi kufikia hapa tulipo!!
Je tukiacha walivyoua mashirika ya umma, ushirika na mashamba tumesahau WALIVYOSHIRIKI UJAMBAZI WA ESCROW? Je Askofu hakupewa mgao haramu? Hao ndio wawe waajiriwa? =-O🙂
Waache wamkusanyie mtu mmoja mmoja sadaka na kumtajirishabadilisha din naww uwe muislam upate neema iyo cz matajir wakubwa wote tz ni waislam na sifa moja kuu ya uislam.. muislam nduguye muislam mwenzio so muache awasaidie waislam wenzake.. km umemind tafuta zako mali uwajil wa din yko cz ni hiyar yko
Mkuu ina maana unapingana na mohammed said aliyesema Bara ina wakristo wengi kuliko waislam ingawa wamepishana kidogo ?? Au mohammed alipotosha kwenye mahojiano ya azamBara wengi ni wasukuma na wanyamwezi,wasukuma wengi ni wapagani..ukichukua waislam wa dar na tanga unalinganisha na wakristo wa mikoa isiyopungua minne
Dar wakristo wachache walioletwa na ajira serikalini,dar,tanga,pwani,mtwara,lindi,ruvuma,singida,tabora,kigoma,morogoro,kilimanjaro waislam wapo wa kutosha,mikoa mingine hawakosekani piaHebu list mikoa yote ya Tanzania alaf onyesha mikoa ambayo waislam ni wengi zaidi....so unasema Dar hakuna Wakristo au???
ara ipi?..bara ya zbar au ya tanganyika?Mkuu ina maana unapingana na mohammed said aliyesema Bara ina wakristo wengi kuliko waislam ingawa wamepishana kidogo ?? Au mohammed alipotosha kwenye mahojiano ya azam
MUislam gani hana kigezo cha kuwa mkuu wa wilaya/mkoa,mkurugenzi wa halmashauri..hadi wahodhi wakristo tu!?Waislam walikuwa na vigezo wakaachwa???
Baba wa taifa angekuwepo angekubishiaWaislamu Ni Wabaguzi Tena Sana Ila Siye Wakristo Mpaka Makanisani Tumewaajiri Waislamu
Hesabu idadi ya makanisa na ya misikiti hapo Dar alaf ulete majibuDar wakristo wachache walioletwa na ajira serikalini,dar,tanga,pwani,mtwara,lindi,ruvuma,singida,tabora,kigoma,morogoro,kilimanjaro waislam wapo wa kutosha,mikoa mingine hawakosekani pia