Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Ndivyo walivyoamua tangu mwanzo.

Ni ngumu kuwabadilisha kwasababu udini upo kwenye damu zao.
 
Listi mikoa yote ya Tanzania then taja mikoa yenye waislam majority
 
Kwani watakuambia tumekuacha kwaajili ya udini ili uwastukie???
 
Mfumo kristo uliwaacha nyuma sana waislamu, sasa Bakhresa ni muumini mzuri wa hiyo dini wacha awasaidie ndugu zake na dini yake inamuelekeza kufanya hivyo.

Huyu Firdaus inamuhusu na vile vibira.
Mfumo Kristo ndio nini?

Hebu tueleze kinagaubaga yakhee
 
Ni kweli kabisa ni Wadini sana
 
Na bado wanaajiriwa na hawachi kuiba
Halafu wanatimuliwa tena kwa wizi kila kukicha yaani hawabebeki
Acha tuangalie mwisho wake yetu macho
 
badilisha din naww uwe muislam upate neema iyo cz matajir wakubwa wote tz ni waislam na sifa moja kuu ya uislam.. muislam nduguye muislam mwenzio so muache awasaidie waislam wenzake.. km umemind tafuta zako mali uwajil wa din yko cz ni hiyar yko
Waache wamkusanyie mtu mmoja mmoja sadaka na kumtajirisha
Halafu akisema anataka kununua ndege binafsi wanatujazia server humu
 
Bara wengi ni wasukuma na wanyamwezi,wasukuma wengi ni wapagani..ukichukua waislam wa dar na tanga unalinganisha na wakristo wa mikoa isiyopungua minne
Mkuu ina maana unapingana na mohammed said aliyesema Bara ina wakristo wengi kuliko waislam ingawa wamepishana kidogo ?? Au mohammed alipotosha kwenye mahojiano ya azam
 
Hebu list mikoa yote ya Tanzania alaf onyesha mikoa ambayo waislam ni wengi zaidi....so unasema Dar hakuna Wakristo au???
Dar wakristo wachache walioletwa na ajira serikalini,dar,tanga,pwani,mtwara,lindi,ruvuma,singida,tabora,kigoma,morogoro,kilimanjaro waislam wapo wa kutosha,mikoa mingine hawakosekani pia
 
B
Mkuu ina maana unapingana na mohammed said aliyesema Bara ina wakristo wengi kuliko waislam ingawa wamepishana kidogo ?? Au mohammed alipotosha kwenye mahojiano ya azam
ara ipi?..bara ya zbar au ya tanganyika?
 
Dar wakristo wachache walioletwa na ajira serikalini,dar,tanga,pwani,mtwara,lindi,ruvuma,singida,tabora,kigoma,morogoro,kilimanjaro waislam wapo wa kutosha,mikoa mingine hawakosekani pia
Hesabu idadi ya makanisa na ya misikiti hapo Dar alaf ulete majibu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…