peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,456
Kuna clip ya Kibajaji nimekutana nayo mtandaoni ,eti bajeti ya wizara ya kilimo sasa ni bilioni 950.
Nimejiuliza Kibajaji amechukua figure za maandishi kwenye bajeti ya kilimo au fedha hizo zimeonekana wapi na zimefanya kazi gani?
Kibajaji hajui kuwa fedha zinazosomwa bungeni ni maandishi tu na hazipo popote?
Je, Tsh 950 zilizotengwa na bunge kwa ajili ya wizara ya kilimo zimefana nini na wapi na fedha hizo zilitolewa lini?
Kibajaji anaelezea kupatikana kwa soko la maparachichi huko China, wachina ni madalali wa uongo, hilo soko litaanza lini, ni akina nani watauza hayo matunda China, bei ya hayo matunda ni kiasi gani huko China, yatauzwa kwa muda gani?
Mbegu za hayo matunda zinapatikana wapi na kwa bei gani, yatasafirishwaje hadi China na kwa gharama gani? Maswali ni mengi kuliko majibu.
Kibajaji wewe ni mchumia tumbo, bei ya kahawa umeisoma wapi kuwa ni Tsh 2,000 kwa sasa? Au kahawa imekuwa tamu awamu ya sita na ilikuwa chungu awamu ya tano ikakosa bei?
Wanasiasa wanaofanana na akina Kibajaji na Musukuma tusipowaangalia kwa umakini wanawapotosha watanzania na wanatumiwa na wachache wanaolamba asali.
Nimejiuliza Kibajaji amechukua figure za maandishi kwenye bajeti ya kilimo au fedha hizo zimeonekana wapi na zimefanya kazi gani?
Kibajaji hajui kuwa fedha zinazosomwa bungeni ni maandishi tu na hazipo popote?
Je, Tsh 950 zilizotengwa na bunge kwa ajili ya wizara ya kilimo zimefana nini na wapi na fedha hizo zilitolewa lini?
Kibajaji anaelezea kupatikana kwa soko la maparachichi huko China, wachina ni madalali wa uongo, hilo soko litaanza lini, ni akina nani watauza hayo matunda China, bei ya hayo matunda ni kiasi gani huko China, yatauzwa kwa muda gani?
Mbegu za hayo matunda zinapatikana wapi na kwa bei gani, yatasafirishwaje hadi China na kwa gharama gani? Maswali ni mengi kuliko majibu.
Kibajaji wewe ni mchumia tumbo, bei ya kahawa umeisoma wapi kuwa ni Tsh 2,000 kwa sasa? Au kahawa imekuwa tamu awamu ya sita na ilikuwa chungu awamu ya tano ikakosa bei?
Wanasiasa wanaofanana na akina Kibajaji na Musukuma tusipowaangalia kwa umakini wanawapotosha watanzania na wanatumiwa na wachache wanaolamba asali.