Bae nipe mimba☺

Bae nipe mimba☺

1478147699602.jpg
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
vumilia utampata au subiri kama ule mpango wa kuishi sayari ya Zuhura ukifanikiwa. nasikia kule pia wako complicated kama wewe.
 
Una shingap nikupe hiyo mimba? Maana Sperm zangu sio za mchezomchezo
 
Watoto siku hizi hizi wanakuwa mistreated kama midoli kwenye mitandao.
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo

Kama sisi atufai tengeneza tu wako... Maana wanasema mchagua nazi upata koroma
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo

Pole hizi ndoto za mtu umtakae ni shida maana muda unaenda haumsubiri mfalme hata kidogo.wakati unakuja kung'amua hilo umeshakua kibibi hamna tena hata salamu au utani Wa wale ulikua unawadharau.

Wakati huo nae na wamakamo ila wana hela wanakamata vibinti unaanza watoto wanapenda wazee.
 
Back
Top Bottom