Bae nipe mimba☺

Bae nipe mimba☺

Daaaah nani kama mama eti?
Dad.JPG
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Inabidi uhamie sayari nyingine unaweza mpata. Kama vile sayar ya Jupiter
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo

Acha kucoplicate utampata kama mimi vile.
Kule bongo movie umekosa kweli?
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Funguka tuone... Inawezekana Nyani ngabu Akawa the best candidate...
 
Kuna wale mke/mume bf/gf wanavaa sare sare za vitenge....hata nishikiwe bunduki siwezi hizo style.
Khaa! Hata mie nawaangaliaga afu siwamalizi... Yani mie karne hii univishe kitenge? Tenge linampendeza mtoto wa kike buana. Alafu sasa chura awe nalo...
 
Wasichana bhna watu tunasolve mpaka log kwa kichwa Afu we unasema upo Complicated au sijaielewa iyo complications yako hapa akuna complications ukikomplicate tu wajinga wanakulamba ngoma na midundo. Ndo uko kwenye maisha marahis
Unaishi feki ili
 
Back
Top Bottom