Bae nipe mimba☺

Bae nipe mimba☺

natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Ukapime kwanza ujijue Kama Una uwezo Wa kushika mimba!mimba haijii tu katika texts ni hatua ndefu!na Kama background yako ilikuwa saafi!
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Usikute unaye mtaka yeye anakuona cheap commodity..! hapo sasa.
 
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Kweli binadamu ni very complex in nature. Yaani na Mimi niko unique kiaina maana huwa napendaga saana hizo complicated attitude zako.

Kuna time baada ya kuwagecha wala vibaka kwenye sredi yangu ukahaidi kunitunuku papuchi..afu ukaingia mitini! Niliuzunika saana.

Miss Natafuta...you don't have to search no more.. No doubt you have finally found me.

I'm at your services.
 
Kweli binadamu ni very complex in nature. Yaani na Mimi niko unique kiaina maana huwa napendaga saana hizo complicated attitude zako.

Kuna time baada ya kuwagecha wala vibaka kwenye sredi yangu ukahaidi kunitunuku papuchi..afu ukaingia mitini! Niliuzunika saana.

Miss Natafuta...you don't have to search no more.. No doubt you have finally found me.

I'm at your services.
ahahaaaa tatizo ile jero kwenye wallet ilinikimbiza maana niliona pale tukigawana napata nini sasa?
 
Kuna wale mke/mume bf/gf wanavaa sare sare za vitenge....hata nishikiwe bunduki siwezi hizo style.
mie naitaga wana kwaya.. huo upupu ndo huwa unanifanya nisiimbe kwaya na mengine meng..
 
Back
Top Bottom