Oluwa ni
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 717
- 446
Unawez kupat mtoto ila mitupio ikakosa
kwa namna 1 au 2 hizi picha zimeniboa, mbona hakuna mwenye mtoto wa kiume? nazani madem wanafanyaga makusudi kuzaa watoto wa kike tu. kila jinsia inavutia upande wake.

Asee true that...Respect pregnant women because itz not easy to walking around with evidence you've had sex.
Kupima desturi yetu...Wengine walitaka mimba wakapewa ngoma
Nakumbushia tu
Mkapime kabla ya ku-do
SanteUsihofu utapata tu.
Unawez kupat mtoto ila mitupio ikakosa

Sasa km hayupo utampata sayari nyingine au vpnatafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Hujanipata tunatafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
huyo mwanaume wa aina gani unamtaka wewe?natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo