Helicobacter pylori
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 430
- 287
TrueMtoto wng Furaha yng japokuwa nipo kwny hard time,ananifanya nisikate tamaa na kujipa matumaini .

TrueMtoto wng Furaha yng japokuwa nipo kwny hard time,ananifanya nisikate tamaa na kujipa matumaini .

Mi mzima kabisa wifi langu...
Usiwe unapotea hivo jamani
natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
vigezo si vigumu sana lakini huna uhakika kama utampata...Are you the ''Troubled soul, the Saviour can't see?''ahahaa nataka tu anipende anijali na kunitunza asiwe mchoyo