Mhhh fanya 55/45poa poa tufanye 70/30
Nazani anafanana na alienHuyo mwanaume asiyekuwepo humu duniani ana fananaje?
.. 
hiyo mimba itapitia sehemu gani kwaninatafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Hongereni wote wenye watoto.
M/Mungu awalindie wanenu.
Natamani nami siku moja niitwe mama.
I hope M/Mungu akijaalia itafika.
Labda ungewapa mfano kabla ya kushusha kibanoKwamfano
Teh... Naona umetangulia kuomba poo.Kama unayoandika humu kila siku yanashabihiana na maisha yako, then you've gotta to evaluate yourself dada yangu. Ni kama vile hujui unachotaka...usinipige mawe tu!!!
Kumbe mpka wanawake wa Dar nao wanatamani kupata watoto
nipo mimi tuma picha nikuone kama unanifaanatafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Hebu mchore kwa penseli naweza kukuambia anapatikana duniani au hapatikaninatafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
Hata shule hajamaliza huyu. Mshauri huyu mke wangu ananiambia nimtundike mimba tu alimradi apate mtoto.scorpio me wewe unataka mtoto huku kazi huna sijui utamlisha nini naona unaiga maisha ya sinema
Eeeh! Mungu mrehemu mja wako+
Mhhh!!!natafuta mwanamme wa kunipa mimba sana tu sema nipo very complicated sijui itakuwaje ! yaani mwanaume ninaemtaka humu duniani sijui kama yupo
I think nina kitu kzur cha kukushauri and am serious sana. Kama unaona ni vema ukijue bas i will be there to tell you.let be serious unadhani mimi nipoje?