Bado unawaza utaanzaje ujenzi? Anza na hii kwa mchanganuo huu

Bado unajiuliza unaanzaje ujenzi?
Unaweza kuanza na ramani kama hii ya vyumba vitatu (master, self, na plain bedroom) kujenga.

KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... Tsh. 3,100,000
mchanga ......... Tsh. 300,000
saruji ................ Tsh. 1,500,000
kokoto ..................Tsh. 400,000
Nondo ........................... 1,178,000
ringi (stirrups) ............ 150,000
binding .......................... 30,000
misumari ..................... 35,000
mbao (kukodi) .............. 150,000
mbao (kununua) ........... 52,000
maji ........................... 500,000
Ufundi ...............................________
JUMLA ....................... = Tsh. 7,395,000

Note: Gharama ya maji inaweza kubadilika kulingana upatikanaji wake sehemu unayojenga. Na gharama ya nondo inaweza kupungua kulingana na stability ya eneo unalojenga.

KUPAUA
bati ................ Tsh. 2,300,000
kofia ............. 600,000
valley .............. 320,000
misumari ............... 136,000
misumari ya bati ...... 140,000
mbao 2X2 ...........720,000
mbao 2X4.............1,368,000
kench waya .......... 14,000
Ufundi .... _______
JUMLA = Tsh. 5,598,000

Gharama za ufundi zitategemea sehemu unayojenga na fundi uliemtumia.

Note: Ujenzi huu ni wa Viwango vinavyokubalika sio low standards, mfano (mortar) kwa kawaida mfuko mmoja wa saruji unajenga tofali 45 za msingi, lakini unakuta baadhi ya mafundi (wahusika) wanajenga mpaka tofali 60 kwa mfuko n.k

KAMA UTAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA UFUNDI Au KUPATA RAMANI KAMILI KULINGANA NA KIWANJA CHAKO NICHEKI WHATSAPP 0717682856

View attachment 1844392

View attachment 1844393

View attachment 1844394
kwa hiyo hapa nikkiwa na 25 mil nina hamia?
 
Back
Top Bottom