Bado unawaza utaanzaje ujenzi? Anza na hii kwa mchanganuo huu

Bado unajiuliza unaanzaje ujenzi?
Unaweza kuanza na ramani kama hii ya vyumba vitatu (master, self, na plain bedroom) kujenga.

KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... Tsh. 3,100,000
mchanga ......... Tsh. 300,000
saruji ................ Tsh. 1,500,000
kokoto ..................Tsh. 400,000
Nondo ........................... 1,178,000
ringi (stirrups) ............ 150,000
binding .......................... 30,000
misumari ..................... 35,000
mbao (kukodi) .............. 150,000
mbao (kununua) ........... 52,000
maji ........................... 500,000
Ufundi ...............................________
JUMLA ....................... = Tsh. 7,395,000

Note: Gharama ya maji inaweza kubadilika kulingana upatikanaji wake sehemu unayojenga. Na gharama ya nondo inaweza kupungua kulingana na stability ya eneo unalojenga.

KUPAUA
bati ................ Tsh. 2,300,000
kofia ............. 600,000
valley .............. 320,000
misumari ............... 136,000
misumari ya bati ...... 140,000
mbao 2X2 ...........720,000
mbao 2X4.............1,368,000
kench waya .......... 14,000
Ufundi .... _______
JUMLA = Tsh. 5,598,000

Gharama za ufundi zitategemea sehemu unayojenga na fundi uliemtumia.

Note: Ujenzi huu ni wa Viwango vinavyokubalika sio low standards, mfano (mortar) kwa kawaida mfuko mmoja wa saruji unajenga tofali 45 za msingi, lakini unakuta baadhi ya mafundi (wahusika) wanajenga mpaka tofali 60 kwa mfuko n.k

KAMA UTAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA UFUNDI Au KUPATA RAMANI KAMILI KULINGANA NA KIWANJA CHAKO NICHEKI WHATSAPP 0717682856

View attachment 1844392

View attachment 1844393

View attachment 1844394
Naomba kuuliza kwenye hyo nyumba msing huchukua tofali ngap za nch 6 maana me nitaka kujengea msingi wa mawe...
 
Nipo real sana hapo boss, sijaweka kwa maamuzi yangu tu. Ila gharama hizo zimetokana na hesabu ya material husika.
Tatizo mnakuja kuponda bila reference figures.
Ishu sio vyumba vitatu au vinne au vitano ishu ni ukubwa wa jengo kwa ujumla.
Kama hiyo Wewe unasema ni ndogo sana na kuna mwingine kasema ni kubwa sana (nafikili unapata picha hapo). Inawezekana wote mpo sahihi kwa reference zenu wenyewe.
Hiyo 7million kuishia kwenye msingi ni nyingi sana. Sijui Wewe unazungumzia nyumba ya ukubwa gani
Msingi wa nyumba ya aina gani hiyo iwe 7m.anazungumzia huyo, nyumba ya kawaida kama iyo pichani sawa kila kitu kinategemea na ukubwa wa vyumba na quality na quantity ya vifaa vya ujenzi. Uyoo kama anajenga horofa asikuchoshe temana nae
 
Mimi nadhani mambo mengi huwa ni makadirio, inaweza kuzidi au kuongeza.

Sasa inakuwaje watu wanataka exact figures.
Ni bora izidi kuliko kupungua...kuna mtu utamwambia hii mpaka kuisha ni 15m ataenda benk kuchukua mkopo wa 15m ila uhalisia mpaka inaisha may be ni 22m so uyu mtu atalazimika kuongezea 7m wakati huo huo anatakiwa aanze rejesha pesa ya watu.....so siku zote huwa tunasema ni bora estimates izidi ila sikwa kiwango kikubwa sana....pesa inayozidi inaweza tumika kama pesa ya dharula.....ingawa huwa tunapoandaa gharama za ujenzi huwa tunaweka contigency kwa maana pesa ya dharula hii sio tu kwa projects kubwa hata hizi project zetu za mtaani tunapswa fanya hivyo..
 
Boss sanasana naweza kukupa idadi ya material then gharama kwa kila material uangalie wewe kulingana na eneo ulilopo (hii inakua more relevant) utapata makisio ya uhakika zaidi
Mkuu kiu yangu ni kutaka kujua msingi huo unaweza kuchukua tofali ngapi hasa.
 
Bado unajiuliza unaanzaje ujenzi?
Unaweza kuanza na ramani kama hii ya vyumba vitatu (master, self, na plain bedroom) kujenga.

KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... Tsh. 3,100,000
mchanga ......... Tsh. 300,000
saruji ................ Tsh. 1,500,000
kokoto ..................Tsh. 400,000
Nondo ........................... 1,178,000
ringi (stirrups) ............ 150,000
binding .......................... 30,000
misumari ..................... 35,000
mbao (kukodi) .............. 150,000
mbao (kununua) ........... 52,000
maji ........................... 500,000
Ufundi ...............................________
JUMLA ....................... = Tsh. 7,395,000

Note: Gharama ya maji inaweza kubadilika kulingana upatikanaji wake sehemu unayojenga. Na gharama ya nondo inaweza kupungua kulingana na stability ya eneo unalojenga.

KUPAUA
bati ................ Tsh. 2,300,000
kofia ............. 600,000
valley .............. 320,000
misumari ............... 136,000
misumari ya bati ...... 140,000
mbao 2X2 ...........720,000
mbao 2X4.............1,368,000
kench waya .......... 14,000
Ufundi .... _______
JUMLA = Tsh. 5,598,000

Gharama za ufundi zitategemea sehemu unayojenga na fundi uliemtumia.

Note: Ujenzi huu ni wa Viwango vinavyokubalika sio low standards, mfano (mortar) kwa kawaida mfuko mmoja wa saruji unajenga tofali 45 za msingi, lakini unakuta baadhi ya mafundi (wahusika) wanajenga mpaka tofali 60 kwa mfuko n.k

KAMA UTAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA UFUNDI Au KUPATA RAMANI KAMILI KULINGANA NA KIWANJA CHAKO NICHEKI WHATSAPP 0717682856

View attachment 1844392

View attachment 1844393

View attachment 1844394
Ramani kali sana
Sema hapo kwenye choo cha public naondoa kimoja,kibaki kimoja.

Pili hiyo kordo,naziba isiingie hadi jikoni.Mtu akitaka kuingia jikoni apite dinning au azunguke nyuma kupitia varanda ya jikoni
 
Nipo real sana hapo boss, sijaweka kwa maamuzi yangu tu. Ila gharama hizo zimetokana na hesabu ya material husika.
Tatizo mnakuja kuponda bila reference figures.
Ishu sio vyumba vitatu au vinne au vitano ishu ni ukubwa wa jengo kwa ujumla.
Kama hiyo Wewe unasema ni ndogo sana na kuna mwingine kasema ni kubwa sana (nafikili unapata picha hapo). Inawezekana wote mpo sahihi kwa reference zenu wenyewe.
Hiyo 7million kuishia kwenye msingi ni nyingi sana. Sijui Wewe unazungumzia nyumba ya ukubwa gani
Achana nae huyo, ni wale wazee wa kutisha wenzao na kukatisha tamaa watu wasijenge. Yeye anadhani kila nyumba hapa mjini imegharimu 7m kwenye msingi.

Watu wamejenga nyumba kwa 10m na imeisha na kuhamia na wanaishi na kuzaliana.
 
Jamani chumba cha kawaida cha kulala kinatakiwa kuwa na ukubwa gani ?
Mara nyingi ni 3×3 ,ila inategemea na mahitaji yako ,unatakiwa ufikirie kwanza chumba unataka kuweka nini mfano chumba cha watoto utahitaji kuweka kabati ya nguo na sehemu ya kuweka viatu,dressing table ,meza ya kusomea,vitanda 2 au kimoja? n.k
 
Back
Top Bottom