Ujenzi wa Vyumba viwili (Sebule na Master) utagharimu kiasi gani?

airwing

JF-Expert Member
Dec 8, 2017
306
397
Habari, Wana ndugu Leo nilikuwa napitia jukwaa hili, na kusoma baadhi ya thread zinahusiana na Ujenzi Kama niliutaja hapo juu, Ila wadau walipokuwa wanachanganua gharama ni hatari yaani inatisha.

Nikajaribu kufanya mawasiliano na fundi wa kupaua ambaye ni ndugu yangu, ili kufahamu gharama halisi za material kuanzia mbao za ketch, mabati na misumari nilishtushwa na na gharama zake halisi maana gharama za material jumla ni 623,800. Ambapo watu wengine walioanishwa kwa kiwango Cha 2M- 4M.

Kwa mchanganuo huu;

Bati 20 za kawaida ambapo bati moja ya kawaida Ni 16500 = 330,000
Mbao kubwa 25× 6500=162,500
Mbao za ndogo 24× 3200=76,800
Misumari mikubwa 10Kg =30,000
Misumari midogo 7Kg= 24500

Tuachane na kupaua..
Nilikuwa naulizia vyumba vya ukubwa wa 12×12 zinaingia tofali ngap mpaka kwenye renta?
Msingi utabeba tofali ngapi?
Gharama za nondo, kokoto, na cement ya Renta Ni kiasi gani?
Na je, kuchapia au kuscim nyumba nzima ndani na nje kutagharimu mchanga mchanga na cement kiasi gani?

Mimi ni kijana mwenye Ndoto ya kumiliki mjengo manyanyaso yamekuwa mengi kwenye nyumba za watu? Ni hayo tu wakuu???
 
Habari, Wana ndugu Leo nilikuwa napitia jukwaa hili, na kusoma baadhi ya thread zinahusiana na Ujenzi Kama niliutaja hapo juu, Ila wadau walipokuwa wanachanganua gharama ni hatari yaani inatisha.

Nikajaribu kufanya mawasiliano na fundi wa kupaua ambaye ni ndugu yangu, ili kufahamu gharama halisi za material kuanzia mbao za ketch, mabati na misumari nilishtushwa na na gharama zake halisi maana gharama za material jumla ni 623,800. Ambapo watu wengine walioanishwa kwa kiwango Cha 2M- 4M.

Kwa mchanganuo huu;

Bati 20 za kawaida ambapo bati moja ya kawaida Ni 16500 = 330,000
Mbao kubwa 25× 6500=162,500
Mbao za ndogo 24× 3200=76,800
Misumari mikubwa 10Kg =30,000
Misumari midogo 7Kg= 24500

Tuachane na kupaua..
Nilikuwa naulizia vyumba vya ukubwa wa 12×12 zinaingia tofali ngap mpaka kwenye renta?
Msingi utabeba tofali ngapi?
Gharama za nondo, kokoto, na cement ya Renta Ni kiasi gani?
Na je, kuchapia au kuscim nyumba nzima ndani na nje kutagharimu mchanga mchanga na cement kiasi gani?

Mimi ni kijana mwenye Ndoto ya kumiliki mjengo manyanyaso yamekuwa mengi kwenye nyumba za watu? Ni hayo tu wakuu???

Mbona sasa umeanza na kukejeri, hesabu za wachangiaji wa threads zingine? Ila ni vizuri umempata mtu kakupa bei, inamaana unaweza tafuta mwingine huko huko ujuapo na ukapewa tu bei vizuri.
Ila kama dhumuni ni kukejeri watu basi watakupita tu humu
 
Tatizo umesema watu humu bei zao kubwa halafu tena umerudi tukukadirie. Haya gharama hizo zingine ni million 50.

Kiukweli hapa majibu ni tofauti tofauti kutegemea na experience ya mtu, mazingira,kipato, na mafundi wake. Wewe ongea na fundi wako mtaani akupigie hesabu na hata hizo za fundi haziwezi kua exactly znaweza zidi pia.

Mfano mimi fundi alinikadiria gharama za msingi..ila kwenye ujenzi sasa ikaonekana gharama zitaongezeka sababu ya muundo wa kiwanja.
 
Mbona sasa umeanza na kukejeri, hesabu za wachangiaji wa threads zingine? Ila ni vizuri umempata mtu kakupa bei, inamaana unaweza tafuta mwingine huko huko ujuapo na ukapewa tu bei vizuri.
Ila kama dhumuni ni kukejeri watu basi watakupita tu humu
Hapana dhumuni alikuwa kukejeli mkuu, Ila yawezekana ujenzi wangu Ni wa kimaskini nimerahisha hata kwa mtu mwengne kutoa msaada wa michango wake kwa kuwa na ufahamu wa mtu mwnyw, si unaona ndg yangu vyumba vyenyewe viwili
 
Habari, Wana ndugu Leo nilikuwa napitia jukwaa hili, na kusoma baadhi ya thread zinahusiana na Ujenzi Kama niliutaja hapo juu, Ila wadau walipokuwa wanachanganua gharama ni hatari yaani inatisha.

Nikajaribu kufanya mawasiliano na fundi wa kupaua ambaye ni ndugu yangu, ili kufahamu gharama halisi za material kuanzia mbao za ketch, mabati na misumari nilishtushwa na na gharama zake halisi maana gharama za material jumla ni 623,800. Ambapo watu wengine walioanishwa kwa kiwango Cha 2M- 4M.

Kwa mchanganuo huu;
Bati 20 za kawaida ambapo bati moja ya kawaida Ni 16500 = 330,000
Mbao kubwa 25× 6500=162,500
Mbao za ndogo 24× 3200=76,800
Misumari mikubwa 10Kg =30,000
Misumari midogo 7Kg= 24500

Tuachane na kupaua..
Nilikuwa naulizia vyumba vya ukubwa wa 12×12 zinaingia tofali ngap mpaka kwenye renta?
Msingi utabeba tofali ngapi?
Gharama za nondo, kokoto, na cement ya Renta Ni kiasi gani?
Na je, kuchapia au kuscim nyumba nzima ndani na nje kutagharimu mchanga mchanga na cement kiasi gani?

Mimi ni kijana mwenye Ndoto ya kumiliki mjengo manyanyaso yamekuwa mengi kwenye nyumba za watu? Ni hayo tu wakuu???
Nyumba ya vyumba viwili,sebule utaezeka Kwa bati 20? Tena unasema nyumba ya ukubwa wa 12*12(I assume ni meters).
 
Back
Top Bottom