funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,562
- 21,042
Hapo ndio kuna mtihani. Amewekaweka tu vitu visivyo na uhalisia. Hiyo nyumba huwezi kunyanyua mpaka level ya paa kwa milioni 7 tu maana hiyo hela labda itaishia kwenye msingi tuMkuu, asante kwa kutupa muungozo huu wa bure, Ikikupendeza naomba utupatie pia mchanganuo wa idadi ya materials zilizo akisi gharama hizi.
Asante!
Kuweni watu wa uhalisia ndugu zangu mambo ya uongo uongo yanaharibu credibility ya kampuni