Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
Punguza hasira basi mi mgonjwa ujue ni majeruhi wa penzi hata mgonjwa humuhurumii,nisaidie basi kumwambia Eversmilin Gal kuwa naumwa,yaani hapa nilipo hata kusimama siwezi juu yake.....
Pole mwaya utapona tu wala ucjali ila sio siri kila nikikutana na hiyo username yako naogopa ,inanitishaje
Last edited by a moderator: