Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wakubwa,wana chitchat, mwenzenu bado nalia na charminglady .Najua ni mateso kupenda usipopendwa,sina budi kusema hili,kiukweli ninateseka sana tena sana na huyu mlimbwende,naomba mtu ambaye yupo karibu naye anisaidie
Nimekuwa na wakati mgumu sana hasa ninapomgusa tu hata kwa salamu anakua mkali sipata ona,kama hamuamini ngoja muone post zake hapa atakavyo nishambulia.Namini Kongosho , FirstLady , cathelin Madame B na wengine mkiingilia kati ntaweza kufanikiwa
Nimekuwa na wakati mgumu sana hasa ninapomgusa tu hata kwa salamu anakua mkali sipata ona,kama hamuamini ngoja muone post zake hapa atakavyo nishambulia.Namini Kongosho , FirstLady , cathelin Madame B na wengine mkiingilia kati ntaweza kufanikiwa
Last edited by a moderator: