Bado DPP Biswalo Mganga baada ya Ole Sabaya

Hawa hawana tofauti, kila mmoja ametenda high-level atrocities against innocent citizens.
Si sahihi kumuacha Mganga Biswalo na kumchunguza Ole Sabaya, hii ni double standards!
Kwani Mh. SSH hawezi kutengua kama alivyilofanya kwa Mkurugezi wa TPDC
 
Ni wazi kwamba Watanzania wanamachungu kwa vitendo vya DPP Mganga lakini kumshinikiza mama amchukulie hatua ni kumtaka ajitwalie madaraka ambayo hana. Ni kumtaka awe na tabia za mtangulizi wake!

Suala la Biswalo Mganga technicalities za kumuondoa ni complex kidogo. Tumpe nafasi Mh. Rais ashughulike nalo kwa njia inayofaa. Naamini anasikia sauti na vilio vya maumivu vya wananchi wake ila hawezi wala tusimshinikize avunje katiba na utawala wa sheria
 
Ni wazi kwamba Watanzania wanamachungu kwa vitendo vya DPP Mganga lakini kumshinikiza mama amchukulie hatua ni kumtaka ajitwalie madaraka ambayo hana. Ni kumtaka awe na tabia za mtangulizi wake!

Suala la Biswalo Mganga technicalities za kumuondoa ni complex kidogo. Tumpe nafasi Mh. Rais ashughulike nalo kwa njia inayofaa. Naamini anasikia sauti na vilio vya maumivu vya wananchi wake ila hawezi wala tusimshinikize avunje katiba na utawala wa sheria
Watanzania gani mata.ko wewe? the majority tumekaa tunawaangalia tu huyo mnayempampu na kuwasikiliza nyie keyboard warriors mnaojiita "watanzania"..endeleeni kumdanganya atajuta.
 
Watanzania gani mata.ko wewe? the majority tumekaa tunawaangalia tu huyo mnayempampu na kuwasikiliza nyie keyboard warriors mnaojiita "watanzania"..endeleeni kumdanganya atajuta.
Your era to be in the corridors of power and feast on the national cake is gone. Chance comes only once in life. If it was misused, then, we have no alternative but to regret the opportunity lost.
 
Hawa hawana tofauti, kila mmoja ametenda high-level atrocities against innocent citizens.
Si sahihi kumuacha Mganga Biswalo na kumchunguza Ole Sabaya, hii ni double standards!
Orodhesha hapa atrocities za Biswalo
 
Watanzania gani mata.ko wewe? the majority tumekaa tunawaangalia tu huyo mnayempampu na kuwasikiliza nyie keyboard warriors mnaojiita "watanzania"..endeleeni kumdanganya atajuta.

Watanzania gani mata.ko wewe? the majority tumekaa tunawaangalia tu huyo mnayempampu na kuwasikiliza nyie keyboard warriors mnaojiita "watanzania"..endeleeni kumdanganya atajuta.
Nimerudia mara kadhaa kuisoma post yangu ili nione mahali nilipo teleza ili nistahili tusi ulilonirushia sijapaona. Kwa umri wangu na nilivyokuzwa siwezi kuthubutu kukurudishia

Hata hivyo naendelea kushikilia hoja yangu. Biswalo Mganga kaumiza wengi lakini tusimshinikize Mh. Rais avunje katiba/sheria. Hatua
aliyochukua sasa ni sahihi
 
Ni wazi kwamba Watanzania wanamachungu kwa vitendo vya DPP Mganga lakini kumshinikiza mama amchukulie hatua ni kumtaka ajitwalie madaraka ambayo hana. Ni kumtaka awe na tabia za mtangulizi wake!

Suala la Biswalo Mganga technicalities za kumuondoa ni complex kidogo. Tumpe nafasi Mh. Rais ashughulike nalo kwa njia inayofaa. Naamini anasikia sauti na vilio vya maumivu vya wananchi wake ila hawezi wala tusimshinikize avunje katiba na utawala wa sheria
Hakuna anayemshinikiza hata kidogo na hatuna ubavu wa kumshinikiza. Tunatoa yaliyo moyoni mwetu. Ana washauri wa kisheria, watamwambia hili haliendi hivi kisheria, fanya hivi na hivi...
 
Orodhesha hapa atrocities za Biswalo
Kama huzijui mfuate Jiwe kaburini atakuambia alikuwa amempa madaraka gani na aliyatumiaje. Maana nyie hasa wewe hujawahi kuona makosa, uvunjaji wa Katiba , Sheria wa Jiwe. Tunakutana Sana humu JF, huoni ubaya wa Jiwe hata kidogo.
You do not need a microscope to spot out atrocities committed by DPP
 
Kama huzijui mfuate Jiwe kaburini atakuambia alikuwa amempa madaraka gani na aliyatumiaje. Maana nyie hasa wewe hujawahi kuona makosa, uvunjaji wa Katiba , Sheria wa Jiwe. Tunakutana Sana humu JF, huoni ubaya wa Jiwe hata kidogo.
You do not need a microscope to spot out atrocities committed by DPP
Hata magazeti yaliyokuwa yanaogopa kusema nayo yameona hilo na yanasema
20210514_094143.jpg
 
Watanzania gani mata.ko wewe? the majority tumekaa tunawaangalia tu huyo mnayempampu na kuwasikiliza nyie keyboard warriors mnaojiita "watanzania"..endeleeni kumdanganya atajuta.

Mkuu tuliza jazba,,, hii nchi yetu sote..

Hizo zama za kutishiana zinaenda kuisha so fanya ukaushe tu na uendelee kufaidi maisha..

Thanks
 
Watanzania gani mata.ko wewe? the majority tumekaa tunawaangalia tu huyo mnayempampu na kuwasikiliza nyie keyboard warriors mnaojiita "watanzania"..endeleeni kumdanganya atajuta.
Utajuta wewe na umeshaanza kujuta. Watanzania tunasonga mbele. Piga chini Jiwe, poha chini Bashiru, Piga chini SLOWSLOW piga chini sabaya. Leo IED imenoga vibaya mno.
 
Kama huzijui mfuate Jiwe kaburini atakuambia alikuwa amempa madaraka gani na aliyatumiaje. Maana nyie hasa wewe hujawahi kuona makosa, uvunjaji wa Katiba , Sheria wa Jiwe. Tunakutana Sana humu JF, huoni ubaya wa Jiwe hata kidogo.
You do not need a microscope to spot out atrocities committed by DPP
A stupid comment from a very very very stupid person and who deserves no respect at all...may be you don't know the history of how this belived country has been governed from one administration (phase) to another...Sasa nitakuambia;. Wakati was uongozi was Baba was taifa Mwalimu Nyerere kulikuwepo na malalamiko mengi pia kwa maamuzi yaliyofanywa kwa Nia njema...kulikuwepo na operesheni vijiji mwaka 1973, 1974 na 1975..watu wakahamishwa kutoka maju bani mwao, wakachomewa nyumba na hata mazao njaa kubwa ijatokea nchini mwaka 1974..maelfu kwa maelfu ya watu waliathirika kwa operesheni ile ..sisi wengine tulikuwepo na tuliona ingawa tulikuwepo wadogo..baba yangu alikuwa na nyumba nzuri kwa kiwango chake imeezekwa bati na ikabomolewa ili kutoa bati...miaka hiyo kukawa pia na operesheni maduka ili kuanzisha maduka ya ushirika...huko vijijini maduka ya watu binafsi mengi yakatoweka na bidhaa kuadimika...Mambo yakawa mabaya zaidi baada ya Vita na Uganda from 1978 to 1983 bidhaa hamna madukani shelves are empty tunapanga foleni kununua sukari, sabuni, Michelle na unga was njano maarufu Kama unga was Yanga...tulikuwepo na ration cards..kukawa na ulanguzi miubwa wa bidhaa ...akaja Sokoine kama wazuri mkuu akaanzisha operesheni ulanguzi...watu wakanyang'anywa nyumba wengine wakaziachia wenyewe nyumba zilizojengwa kwa dhuluma, watu wakazitupa tv baharini, wakatupa na fedha za wizi...Sokoine akiwa Waziri Mkuu akaruhusu watu binafsi kuleta bidhaa..kukawa na daladala za chai maharage, maduka binafsi yakashamiri...
halafu akaja Mwinyi mwaka 1985 maarufu Kama mzee was Ruksa...huyu Mambo yakawa mazuri ...akaruhusu karibu Kila kitu..watu wachache wakatajirika Azimio la Arusha likazikwa kule Zanzibar 1992..viongozi wakaruhusiwa kuwa na hisa kwenye makampuni..viongozi wakajitajirisha kwa wizi wa Mali za umma...akasaini mkataba na IMF..matibabu bure yakatoweka, ada za shule na vyuo ziksja ikawa hakuna elimu bure...Mdudu SAP akatawala kwenye maisha yetu..dezo hakuna Tena...1995 akaja Ben huyu naye akaja na yake...mashirika yakauzwa ingawa hili lilisnza kwa Mwinyi..watu wakanunua mashirika kwa bei POA....Ben akakazania kulipa madeni ya nje ili tuendelee kukopesheka...watu wakaumia lakini tumaendelea kipa madeni ya enzi za Mwinyi na Nyerere..tukapata kinachoitwa heshima kwa mabeberu na ' wakatupenda' kwa kuwa eti tunalipa madeni...MIKATABA YA MADINIikasainiwa, wakaja sijui Net group solutions ambao ni makaburu wa Afrika Kusini kuja kuongoza TANESCO wafanyakazi wakagoma FFU wakaja na kuwapiga viluvyo hao wafanyakazi ..makaburu yakai ngizwa kwa nguvu pale TANESCO na yakafanya yao na miaka michache yaliyokaa hapa nusura yakaushe mabwawa ya Mtera...Jambo pekee tunalokumbuka kwa mijamaa hiyo ni LUKU...mwaka 2015 akaja JK na nguvu mpya, Kasi mpya na Ari mpya..alingia kwa kura nadhani karibu asilimia 85 lakini 2000 kwenye kipindi chake Cha pili akapata juu kidogo ya asilimia 60...JK Kama wakio tangulia alifanya mazuri lakini matajiri na mabeberu wakafaidi vilivyo...watu wakawa hawalipi Kodi..fedha ikawa inatawala je unanijua Mimi ni Nani ikawa inatawala....

Akaja JPM akarudisha heshima ya Mtanzania wa kawaida .Mtanzania wa kaida akajiona kuwa kumbe naye Ana thamani katika nchi yake...MIKATABA ya madini ikasainiwa upya...Watanzania wakaambiwa nchi siyo maskini ila tunaibiwa na mabeberu na vibaraka wao wa ndani...dah..mabeberu wakakasirika na vibaraka wao wa ndani wakiwemo wafanyabiashara wa ndani wakakasirika..wezi wa Mali za umma wakakasirika...wapiga dili wakanuna Watanzania was kawaida wakafurahi..miundombinu Kama barabara madaraja yakajengwa, elimu bure ikarudi polepole kwa awamu, wapiga dili wakaumbuliwa hadharani akaunti za wapiga dili zikashikiliwa, viongozi wabovu wakaumbuliwa, wafanyakazi hewa karibu 20000 wakafurushwa nchi jirani waliokuwa wakituonea kiuchumi wakaipata...dah..JPM ..Baadhi wanaofurahia ...
 
Back
Top Bottom