Bad habits

Bad habits

Unabanwa na joto lote hili halafu anajifanya kawasha feni unaamka na mafua asubuhi taabu tupu tu yaani

Unajua dearest kuna wakati maisha yanatufanya tufanye choice fulani fulani...mi juzi nimeenda sokoni,kununua vitu tu vya kutumia nyumbani....yaani nilienda na elfu kumi,vitu nivivyorudi navyo havikidhi hata nusu ya mahitaji niliyokuwa nayo....nikawa nawaza,halafu hapo nimepata mume wa kipato cha chini kama mimi,hivi kweli tunaishije? Chumba tupange tubanane, kwenye kula nako tujibane,shule ya watoto,matibabu...etc etc....?nikasema si walaumu wanaochukia wanaume wa kipato cha chini...sasa ndo hayo ya kuwasha feni kwenye mivumbi, watu tuna allergy zetu....kweli kila mtu achague analoweza kubeba.....!
 
Hahahaha atakwambia ukinichoka uwe unalala sebuleni na joto likozidi jilaze sakafuni.

Lolest,aombe hicho kitanda kisiwe kile nilichozawadiwa kwenye kitchen party au send-off, atalala sakafuni....tena umenifungua macho,nikiulizwa wataka nini kwenye kitchen party na send off, nasema kitanda na mashuka yake....lol....nitakifunga hata sebuleni kwake...khaaaaaaaaaaaa!
 
Lizzy haya uliyoyaandika hapa kuhusu personal habits zako(ubishi,ukorofi,kiburi etc) kama ni ya kweli na sio ya kufurahisha baraza (maana weekend inakaribia) then let me sum you up,YOU ARE A DIFFICULT PERSON, and for that matter wanaume wa kiswahili ninaowajua mimi hawakufai kabisa na wala wewe huwafai kabisa! Samahani kwa kusema hivi but that is my take.
 
DA jamani hata kukumbatiwa? Mi napenda sana aisee. . .

Wengi wetu tunapenda ila sasa joto hadi mtu akikuwekea mikono inaganda kwenye ngozi,unajisikia kama kuchubuka...kero iyo!
 
1. Jitu limekuja kaunta linakukuta unakunywa Tusker Malt yako taratibu, afu na lenyewe linaagiza yake afu linamwambia akaunta "Hii bia atalipia ODM"......... Pumbaf kabisa.
2. Umechukua kimwana chako ushalipia room yenye godoro la comfy, unamwambia kimwana twenzetu tukaunganishe vimwaga mkojo vyetu mara unajibiwa oh sorry, cha kwangu kiko kwenye emergency leave.... damn it!
3. Unaenda kanisani kupunguza zambi zako basi padre/mchungaji ye anazungumzia umuhimu wa kumtolea Bwana sadaka tuuuuuu..... shit!
4. Umemwaga yuziful post kama hii, watu wanaipenda afu wanacheeka lakini wanasahau kuitendea haki ya kuigongea kale ka chakula ka LIKE..... manina!
una akili nyingi sana wewe!
 
he he he he dearest:

Bad habits zangu:
Mi naturally napenda utani na uchokozi...sometimes inaniletea shida as wakati mwingine natania wakati mtu yuko serious.
Napenda kufanya kile ninachotaka, kwa wakati ninaotaka na kwa namna ninayotaka....sipendi kusukumwa
Mvivu, kuna wakati sijisikii kufanya chochote,nataka nikae tu...lol

Nazochukia:
mbahili au anayetumia hela ovyo ovyo na kutaka usawa kwenye matumizi...am a woman for God's sake, be a man!
mwenye kuongea sana au ambaye ukikosea hata ukimuomba msamaha,ye analo tu,kelele
mchafu, siwezi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
asiyependa kushirikiana nami na kunishirikisha kwenye mambo yake ninayopaswa kujua
HC hajambo? msalimie.
 
Ha ha ha ha ha nimechekaje mie mweeehhh hizo bold nimecheka mpaka mkoloni ananiangalia mweheee

Kwa kweli mie huwa nikiona sijasafiri kikazi karibu mwezi unakwisha napanga kwenda kumsalimu mama ili nilale peke yangu angalau Ijumaa na Jumamosi sio kubanwa banwa tena ukute mwingine anayependa kukumbatia ndo utaisoma namba maana na mijasho ya dar taabu tupu kha????

kuanzia leo bosi wangu namuita Mkoloni, soure: JF
 
Lolest,aombe hicho kitanda kisiwe kile nilichozawadiwa kwenye kitchen party au send-off, atalala sakafuni....tena umenifungua macho,nikiulizwa wataka nini kwenye kitchen party na send off, nasema kitanda na mashuka yake....lol....nitakifunga hata sebuleni kwake...khaaaaaaaaaaaa!

Hahahahaha dearest bana. . . si atanuna alafu kesho yake pasikalike? Jitahidi sana 'changu,yangu' yasiwe maneno ya utambulisho wako.
 
Unajua dearest kuna wakati maisha yanatufanya tufanye choice fulani fulani...mi juzi nimeenda sokoni,kununua vitu tu vya kutumia nyumbani....yaani nilienda na elfu kumi,vitu nivivyorudi navyo havikidhi hata nusu ya mahitaji niliyokuwa nayo....nikawa nawaza,halafu hapo nimepata mume wa kipato cha chini kama mimi,hivi kweli tunaishije? Chumba tupange tubanane, kwenye kula nako tujibane,shule ya watoto,matibabu...etc etc....?nikasema si walaumu wanaochukia wanaume wa kipato cha chini...sasa ndo hayo ya kuwasha feni kwenye mivumbi, watu tuna allergy zetu....kweli kila mtu achague analoweza kubeba.....!

Hapo kwenye aleji ndo kabisa ndugu balaa tupu
 
Lizzy haya uliyoyaandika hapa kuhusu personal habits zako(ubishi,ukorofi,kiburi etc) kama ni ya kweli na sio ya kufurahisha baraza (maana weekend inakaribia) then let me sum you up,YOU ARE A DIFFICULT PERSON, and for that matter wanaume wa kiswahili ninaowajua mimi hawakufai kabisa na wala wewe huwafai kabisa! Samahani kwa kusema hivi but that is my take.
Hiyo inanirahisishia na kunipunguzia watu wa kuwatolea nje.

Thanks
 
Wengi wetu tunapenda ila sasa joto hadi mtu akikuwekea mikono inaganda kwenye ngozi,unajisikia kama kuchubuka...kero iyo!
Kukiwa na joto kwakweli hata mimi sitomwelewa. . . labda anipepee. . Lolz
 
Hahahahaha dearest bana. . . si atanuna alafu kesho yake pasikalike? Jitahidi sana 'changu,yangu' yasiwe maneno ya utambulisho wako.

Kama nikilala nae ndo nitakuwa kero zaidi kuliko nikilala peke yangu...basi bora nijilalie peke yangu...changu yangu kwenye starehe zangu dearest, mi nishindwe kulala,niwe na mis-stress na uchovu siku nzima kisa kuna mtu anataka usiku anikumbatie na joto la 40?

Kuna vitu tutashirikiana lakini si kila kitu....! Namuona Bishanga kaja,natoka kidogo sasa!:washing:
 
Jinsi nijuavyo mie,uhusiano wowote unahitaji mawasiliano baina ya washiriki,ili uweze kuimarika.
Tatizo baadhi yetu tunafikiri kwamba wenzetu ni "mind reader" na kwamba wana uwezo wa kutambua kila tunalohitaji...
Hizo ni fikra zisizo sahihi na hazina manufaa katika mahusiano.
Tukumbuke bila mawasiliano hakuna maelelwano na bila maelewano hakuna uwazi,na pasipo uwazi,hakuna uhusiano....


Na vipi unapofanya juhudi za kuwasiliana na mwenzako na yeye asitoe ushirikiano kwenye sekta hii ya mawasiliano? Mbaya zaidi ni kwa yule anayeelewa lkn anaamua tu kumtesa mwenzake kwa kutaka tu kuonekana kwamba yeye ndo kila kitu.
 
Back
Top Bottom