Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
Which bad habits do you HAVE/HATE when it comes to relationships?
Mine:
1. Naweza kuonekana sijali sana kwa kumpa mtu uhuru wake na kutomfuatilia kama mtoto.
2. Ni ngumu kuomba zile samahani za 'kulazimishwa' kosa kafanya yeye samahani anaitaka kwangu.
3. Napenda usawa linapokuja swala la kutendeana mazuri/kuheshimiana n.k
Na hii ni bad habit kutegemeana na nyakati maana nimegundua kiasi flani cha watu hawakubaliani na hilo. . wao wanataka kuheshimiwa ilhali hawawaheshimu wenzao n.k
4. Mkorofi, kwa wale wanaopenda kuendesha wenzao.
5. Mbishi, kwa wale wasiopenda majadiliano.
6. Kiburi, kwa wale wanaopenda kuagiza wenzio kama vile wamewaajiri. Ask me nicely i'll be more than happy to do whatever it is you asking of me, order me around and you'll have to wait forever.
7. Sina UVUMILIVU kwa kiasi kile ambacho wengi wanataka/pendelea.
8. Ni muwazi sana. .
9. Nasimamia nnayoamini, hamna compromise hapo.
10. Mvivu. . . Siku moja moja najisikia kuvivuka tu, hata kula kunageuka kazi.
Nnazochukia:
1. Nachukia mwanaume kuwa insecure.It creates a lot of unnecessary tension.
2. Nachukia mtu anapokumbatia simu yake japo hata akiiacha sitohangaika nayo.
3. Nachukia mtu kudanganya HASWA vitu ambavyo vinaonekana kabisa sio vyalazima.
4. Nachukia mtu kutokua na shukrani na kuchukulia kwamba kwa kuwa na mwenzi wake anamfanyia favor.
5. Nachukia mtu kuchukua mambo ya ndani (mahusiano yao ) na kuyapeleka nje. .iwe mabaya ya sebuleni au mazuri ya chumbani.
6. Nachukia mtu kutomwamini mwenzake bila sababu yoyote ile.
7. Nachukia mtu anapotaka maelezo ya kitu fulani alafu anayakataa akipewa, kwasababu sicho alichotaka kusikia.
8. Nachukia mtu kumtumia mwenzake kifedha/kimwili/kihisia huku akimuaminisha kwamba anampenda.
9. Nachukia mtu kumwambia mwenzake "NAKUPENDA" wakati hamaanishi.
10. Nachukia mtu kumtisha mwenzake na "TUACHANE" kila siku.
11. Nachukia mtu kumnyanyasa mwenzake kwakua tu anajua anampenda.
12. Nachukia mtu kuwa mbinafsi kupitiliza kuhusu mahitaji yake bila kujali mahitaji ya mwenzake. Mf sex. . . mmoja anataka tu na akikosa analalamika bila kujali kwamba mwenzake anaweza akawa hayuko vizuri, au mmoja anakataa bila sababu ya msingi bila kujali kwamba mwenzake anahitaji.
13. Nachukia mtu kuwa mlalamishi kwa kila kitu, kila wakati.
. . . . . . . .
Mine:
1. Naweza kuonekana sijali sana kwa kumpa mtu uhuru wake na kutomfuatilia kama mtoto.
2. Ni ngumu kuomba zile samahani za 'kulazimishwa' kosa kafanya yeye samahani anaitaka kwangu.
3. Napenda usawa linapokuja swala la kutendeana mazuri/kuheshimiana n.k
Na hii ni bad habit kutegemeana na nyakati maana nimegundua kiasi flani cha watu hawakubaliani na hilo. . wao wanataka kuheshimiwa ilhali hawawaheshimu wenzao n.k
4. Mkorofi, kwa wale wanaopenda kuendesha wenzao.
5. Mbishi, kwa wale wasiopenda majadiliano.
6. Kiburi, kwa wale wanaopenda kuagiza wenzio kama vile wamewaajiri. Ask me nicely i'll be more than happy to do whatever it is you asking of me, order me around and you'll have to wait forever.
7. Sina UVUMILIVU kwa kiasi kile ambacho wengi wanataka/pendelea.
8. Ni muwazi sana. .
9. Nasimamia nnayoamini, hamna compromise hapo.
10. Mvivu. . . Siku moja moja najisikia kuvivuka tu, hata kula kunageuka kazi.
Nnazochukia:
1. Nachukia mwanaume kuwa insecure.It creates a lot of unnecessary tension.
2. Nachukia mtu anapokumbatia simu yake japo hata akiiacha sitohangaika nayo.
3. Nachukia mtu kudanganya HASWA vitu ambavyo vinaonekana kabisa sio vyalazima.
4. Nachukia mtu kutokua na shukrani na kuchukulia kwamba kwa kuwa na mwenzi wake anamfanyia favor.
5. Nachukia mtu kuchukua mambo ya ndani (mahusiano yao ) na kuyapeleka nje. .iwe mabaya ya sebuleni au mazuri ya chumbani.
6. Nachukia mtu kutomwamini mwenzake bila sababu yoyote ile.
7. Nachukia mtu anapotaka maelezo ya kitu fulani alafu anayakataa akipewa, kwasababu sicho alichotaka kusikia.
8. Nachukia mtu kumtumia mwenzake kifedha/kimwili/kihisia huku akimuaminisha kwamba anampenda.
9. Nachukia mtu kumwambia mwenzake "NAKUPENDA" wakati hamaanishi.
10. Nachukia mtu kumtisha mwenzake na "TUACHANE" kila siku.
11. Nachukia mtu kumnyanyasa mwenzake kwakua tu anajua anampenda.
12. Nachukia mtu kuwa mbinafsi kupitiliza kuhusu mahitaji yake bila kujali mahitaji ya mwenzake. Mf sex. . . mmoja anataka tu na akikosa analalamika bila kujali kwamba mwenzake anaweza akawa hayuko vizuri, au mmoja anakataa bila sababu ya msingi bila kujali kwamba mwenzake anahitaji.
13. Nachukia mtu kuwa mlalamishi kwa kila kitu, kila wakati.
. . . . . . . .