Bad habits

Bad habits

Nimeona, hata kama napata milioni yeye elfu ishirini,anipe hata elfu tano tu nitajisikia raha sana....lol


dearest,kuna watu tu wanafurahi kupewa hela na mpenzi wake au kulipiwa huduma fulani haijalishi analipwa zaidi,na kuna wanaume hata kama anajua unapata zaidi,anajisikia raha kukupa hela ya matumizi....its is sweet...mi love that very much,it means a lot!

I see dearest. . .
Ila inabidi akikupa na wewe mara moja moja unamnunulia hata kashati au tai unamletea zawadi.
 
Hahahahha dearest unataka waniwekee taarab tuanze kupeana madongo ehhh? Alafu kesho asubuhi nakutana na kanga imeandikwa "una nyodo ehhh" na nyingine "utahama" kwenye karo la vyombo.

Lol,hata ukiwa mpole na mstaarabu unayemind business zako utakutana tu na maneno kama hayo....have fun,sometimes!
 
Umeshasahau mara hii hata mwezi bado???..................

Fanza mambo basi.........................

Loh. . . Madeni mengi mpaka nasahau!! Ntajitahidi upate kabla ya mwaka mpya. Lolz
 
I see dearest. . .
Ila inabidi akikupa na wewe mara moja moja unamnunulia hata kashati au tai unamletea zawadi.

Hilo tu dearest? kuna vitu yeye hanunui kabisa....nikishajua anachopenda basi marufuku yeye kununua....mapenzi kupeana....lol
 
I see dearest. . .
Ila inabidi akikupa na wewe mara moja moja unamnunulia hata kashati au tai unamletea zawadi.

Unamnunulia shati na boxer kwenye Valentine (huu ni mfano tu) lakini yeye hafanyi hayo itakuwaje??
 
Lol,hata ukiwa mpole na mstaarabu unayemind business zako utakutana tu na maneno kama hayo....have fun,sometimes!

Hahahaha. . . Hata ukila wali nyama unalo. Majirani wakati mwingine wanakuwaga na mambo.

Haya ntajiachia dearest. . . ila nikidondoka kazi kwako kuniinua.
 
AG pesa ya kujikimu hata kama wewe unapata zaidi yake?

Sifa za wasio provide ni pamoja na mengine ni 1, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 11.

Hivyo basi heri niwe na mwenye kuprovide...na aprovide kweli regardless nina pesa ama la.
 
Hilo tu dearest? kuna vitu yeye hanunui kabisa....nikishajua anachopenda basi marufuku yeye kununua....mapenzi kupeana....lol
Hahahaha. . . hapo swadakta dearest. Me likey!! Ukimjali hivyo alafu yeye akashindwa kukujali niambie nimpe LIVE bila chenga kama za ITV.
Unamnunulia shati na boxer kwenye Valentine (huu ni mfano tu) lakini yeye hafanyi hayo itakuwaje??

Hhhhm hapo sasa mamy inabidi ujaribu kumsoma ujue ni kwanini. Watu wengine hawaoni umuhimu kwasababu anajua kama ni pesa alishakupa kwahiyo ukihitaji kitu utajinunulia, wengine wanaona ni uzungu sana na wengine ni wa choyo tu. Vyovyote vile unaweza ukaamua kuwa mtoaji bila kutegemea kitu/bila kuuliza wala kulalamika, unaweza ukashangaa mwenyewe siku moja anakupa bonge la zawadi.

Alafu kama hatoi siku ya Valentine siku nyingine je?
 
Mie kwa kweli hapa sitajitahidi kwamwe hata umpe t.i.go. bado atakwenda ya nini shida???

Mie namyimilia kwa mbali hata wiki mbili zinapita kha?/

Kulala wote 24/7 inachosha ati??

Katika vitu nitamuomba mume wangu nikijaliwa ni kiwepo chumba cha ziada jamani....akishindwa basi hata kitanda pembeni...mi sielewi kabisa watu wanaweza vipi kulala kitanda kimoja kila siku? unabanwa mwaka mzima,kwa lipi? mwanamke ulale vizuri na ujitanue kwa raha zako bwana,si kujikunja na kubana miguu....!
 
Haaaa????????????????????????

Mwaka Mpya???????????????????

Hii ngumu kumeza
Hahahaha. . . hata kesho ni kabla ya mwaka mpya bana!! Kua na subira, ntakununulia na soda.
 
Sifa za wasio provide ni pamoja na mengine ni 1, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 11.

Hivyo basi heri niwe na mwenye kuprovide...na aprovide kweli regardless nina pesa ama la.
Na siku mambo yakienda mrama na wewe utamjali kama anavyokujali?
 
Katika vitu nitamuomba mume wangu nikijaliwa ni kiwepo chumba cha ziada jamani....akishindwa basi hata kitanda pembeni...mi sielewi kabisa watu wanaweza vipi kulala kitanda kimoja kila siku? unabanwa mwaka mzima,kwa lipi? mwanamke ulale vizuri na ujitanue kwa raha zako bwana,si kujikunja na kubana miguu....!
Hahaha. . .Dearest kama tatizo ni kubanwa si mnanunua bonge la kitanda tu?

Sema kweli kubanwa kunakera sana, hasa kukiwa na joto.
 
Hahahaha. . . Hata ukila wali nyama unalo. Majirani wakati mwingine wanakuwaga na mambo.

Haya ntajiachia dearest. . . ila nikidondoka kazi kwako kuniinua.

I will be there,utakuwa hustahili kuishi na watu wa aina hiyo,wasiokuacha hata ufurahishe nafsi yako siku moja moja....!
 
Hahaha. . .Dearest kama tatizo ni kubanwa si mnanunua bonge la kitanda tu?

Sema kweli kubanwa kunakera sana, hasa kukiwa na joto.

Usumbufu dearest,nikiwa kitanda kingine atapata hata uvivu wa kunisumbua sumbua....vyumba vyetu hivi vya kupanga si unajua vilivyo vidogo?? Joto linatunyima raha jamani,na bei ya umeme imepanda,kuwasha feni usiku kucha na kima cha chini hiki,hatutamudu.....option ambayo ni sustainable ni kununua kitanda kingine....lol
 
Katika vitu nitamuomba mume wangu nikijaliwa ni kiwepo chumba cha ziada jamani....akishindwa basi hata kitanda pembeni...mi sielewi kabisa watu wanaweza vipi kulala kitanda kimoja kila siku? unabanwa mwaka mzima,kwa lipi? mwanamke ulale vizuri na ujitanue kwa raha zako bwana,si kujikunja na kubana miguu....!

Ha ha ha ha ha nimechekaje mie mweeehhh hizo bold nimecheka mpaka mkoloni ananiangalia mweheee

Kwa kweli mie huwa nikiona sijasafiri kikazi karibu mwezi unakwisha napanga kwenda kumsalimu mama ili nilale peke yangu angalau Ijumaa na Jumamosi sio kubanwa banwa tena ukute mwingine anayependa kukumbatia ndo utaisoma namba maana na mijasho ya dar taabu tupu kha????
 
Usumbufu dearest,nikiwa kitanda kingine atapata hata uvivu wa kunisumbua sumbua....vyumba vyetu hivi vya kupanga si unajua vilivyo vidogo?? Joto linatunyima raha jamani,na bei ya umeme imepanda,kuwasha feni usiku kucha na kima cha chini hiki,hatutamudu.....option ambayo ni sustainable ni kununua kitanda kingine....lol

Unabanwa na joto lote hili halafu anajifanya kawasha feni unaamka na mafua asubuhi taabu tupu tu yaani
 
Usumbufu dearest,nikiwa kitanda kingine atapata hata uvivu wa kunisumbua sumbua....vyumba vyetu hivi vya kupanga si unajua vilivyo vidogo?? Joto linatunyima raha jamani,na bei ya umeme imepanda,kuwasha feni usiku kucha na kima cha chini hiki,hatutamudu.....option ambayo ni sustainable ni kununua kitanda kingine....lol

Hahahaha atakwambia ukinichoka uwe unalala sebuleni na joto likozidi jilaze sakafuni.
 
Ha ha ha ha ha nimechekaje mie mweeehhh hizo bold nimecheka mpaka mkoloni ananiangalia mweheee

Kwa kweli mie huwa nikiona sijasafiri kikazi karibu mwezi unakwisha napanga kwenda kumsalimu mama ili nilale peke yangu angalau Ijumaa na Jumamosi sio kubanwa banwa tena ukute mwingine anayependa kukumbatia ndo utaisoma namba maana na mijasho ya dar taabu tupu kha????
DA jamani hata kukumbatiwa? Mi napenda sana aisee. . .
 
Back
Top Bottom