Bad habits

NAPENDA
1. Uhuru.
2.Kupendwa.
3. Kuaminiwa km ninavyoweza kumwamini
4. Shughuli pevu kunako 6by6, siyo usiku mzima bao 2,3. NO THANK YOU.
SIPENDI
1.Uvivu kunako 6by6
2. Mwanaume mlalamishi.
3. Mwanaume asiyejua majukumu yake hasa kunitake care, hata kwa kidogo alicho nacho.
4. Being ordered and not requested
ABOUT ME.
1. Lovely..
2. Caring
4. Mwelewa but nna vivu kwa kweli.
5. Good in bed.
Nitarudi baade
 
A double decker then.Kugusana ni kwenye union matters only chaguo ni lao wether venue iwe Bara au Visiwani.

Hahaha sounds like a plan. Doesn't take much space and atleast one of you/them will be happy.
 
Nimeitoa kwenye kapu la nyuzi, najaribu nione kama itakuwa refreshed kwenye page ya kwanza.
 
Wadau naomba msaada... Kuna mtu hapendi kusema ASANTE, unamfanyaje mtu kama huyo? afu yeye hupenda COMMAND.. Nifanyie hiki au nenda sehemu fulani. In short hajui kubembeleza afu ndio UGONJWA wangu uuuuwiiiii...... Msaada tafadhali
 
Wadau naomba msaada... Kuna mtu hapendi kusema ASANTE, unamfanyaje mtu kama huyo? afu yeye hupenda COMMAND.. Nifanyie hiki au nenda sehemu fulani. In short hajui kubembeleza afu ndio UGONJWA wangu uuuuwiiiii...... Msaada tafadhali

Inawezekana ukawa unapenda hiyo tabia bila kujijua, akichange utamis hivo vituko...
 
[QUOTE=Lizzy

All these sounds like a list of selfish wants and needs that is based on emotions:
1. Inaweza kuwa misimamo binafsi LAKINI huwezi kuileta kwenye uhusiano serious (Labda partner wako awe mkongo)
2. Mwandishi anasikika kama msichana, kwenye late 20's or early thirties ambae amepata kazi inayompa pesa za kuishi hivyo kwa kuwa amemudu mahitaji yake binafsi - anajitangazia uhuru usio na mipaka! Ni vizuri sana, ila kazi na kipato zinakuwaga ni karata nzuri ya kuingia kwenye mahusiano ILA siku zote sio jibu la mahusiano katika maisha
3. Bila compromise - hata mbwa wako atakukimbiaaaaaa - huweki kitu ndani
4. Misimamo yako haisemi kama utajali kama mwenzio akija na list yake ya misimamo kama yako - how would you accommodate their wishes??????
5. If a person hasn't found something of which they are ready to die for - then they have no right to live!
 
NAPENDA
1. Uhuru.
2.Kupendwa.
3. Kuaminiwa km ninavyoweza kumwamini
4. Shughuli pevu kunako 6by6, siyo usiku mzima bao 2,3. NO THANK YOU.
SIPENDI
1.Uvivu kunako 6by6
2. Mwanaume mlalamishi.
3. Mwanaume asiyejua majukumu yake hasa kunitake care, hata kwa kidogo alicho nacho.
4. Being ordered and not requested
ABOUT ME.
1. Lovely..
2. Caring
4. Mwelewa but nna vivu kwa kweli.
5. Good in bed.
Nitarudi baade
M

Mkuu mimi nilikuwa nimejipitia zangu, lakini imebidi nirudi angalau nikusalimie tu. HI?
 
Samahani tayari upo kwenye ndoa dada.? Kama upo katika ndoa nadhani unapata changamoto Sana kutekeleza hayo unayoyapenda Na kupambana Na hayo ambayo hupendi. In short Ni kwamba ndoa Ina karaha Na raha so cha msingi Kama mtu umeamua kuingia kwenye ndoa Ni kuvumilia otherwise uamue kuachana.
 
Wadau naomba msaada... Kuna mtu hapendi kusema ASANTE, unamfanyaje mtu kama huyo? afu yeye hupenda COMMAND.. Nifanyie hiki au nenda sehemu fulani. In short hajui kubembeleza afu ndio UGONJWA wangu uuuuwiiiii...... Msaada tafadhali

charminglady ndo naona post yako leo...

Neway...
Huyo mtu wako HAPENDI au HAJUI(HAJAZOEA) kusema asante?! Maana kuna tofauti. Asiyependa sio rahisi kumbadili, ila ambae hajui/hajazoea ni rahisi sana. Hiyo ni kwasababu mtu kama huyo anakuwa amelelewa katika mazingira ambayo neno ASANTE sio sehemu ya maisha yao.

Mimi niliwahi kuwa na BF wa dizaini hiyo. Alikuwa hajui kabisa kusema asante. Mwanzoni nilikuwa namshangaa yani hata akila asante hamna,ukimfanyia kitu kizuri asante hamna. Nikaanza kumuuliza "Husemi asante?!" akawa anasema mara moja moja. Siku moja akaniambia mwenyewe kwamba kwao hawakuwa wanaambiana asante kwa lolote. Kufua, Kupika n.k anajua ni jukumu la dada wa kazi na analipwa kwahiyo hawakuona sababu ya kushukuru hata wakipewa zawadi. Na mimi nikampa yangu, mwisho wa siku akawa anashukuru all the time.

So mwambie tu umuhimu wa kusema asante, sio kwako tu bali hata kwa watu wengine na kama ni mtu muelewa atabadilika tu.

Kuhusu ku-AGIZA mambo mwambie straight up hupendelei kusukumwa na kuagizwa kama mtoto. Abadili kauli ili muelewane vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Samahani tayari upo kwenye ndoa dada.? Kama upo katika ndoa nadhani unapata changamoto Sana kutekeleza hayo unayoyapenda Na kupambana Na hayo ambayo hupendi. In short Ni kwamba ndoa Ina karaha Na raha so cha msingi Kama mtu umeamua kuingia kwenye ndoa Ni kuvumilia otherwise uamue kuachana.

Changamoto zipo kwenye kila aina ya mahusiano. Muhimu..napima uzito wa RAHA vs KARAHA hapo ndo maamuzi ya kuacha ama kuendelea yanajulikana.
 
10. Nachukia mtu kumtisha mwenzake na "TUACHANE" kila siku.

Anatingisha kiberiti
 
Back
Top Bottom