Hahahahaha dearest bana. . . si atanuna alafu kesho yake pasikalike? Jitahidi sana 'changu,yangu' yasiwe maneno ya utambulisho wako.
siamini kama mwanamke wa mtazamo na namna kama yako anaweza kuamini kwenye hili.to me huu ndio mtazamo sahihi kabisa na umenishangaza!unaji-balance vizuri kweli kweli.naogopa tu kusema 'perfectly'!