cartura
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,026
- 789
...dahhh....
...kwenye mahusiano hata ukipenda na kuchukia, kila mwenza anakuja
na packages zake bana...ni jinsi ya kuzi accomodate zako na za mwenzako maisha
yaendelee...
...msichukulie mahusiano kama chuo cha mafunzo nyie, sheria na kanuni nyiiiingi....why?
maisha ya pamoja yanahitaji a high level of understanding, wisdom and tolerance among other attributes; in real life mkishakubali kuishi pamoja, mjue hilo linakuwa ni suala la give and take coz kila mtu amekuja na tabia na vijimambo vyake na hakuna aliye mkamilifu; so, kwa vyovyote vile, you have to compromise and meet each other half way; kinyume cha hapo ni afadhali mtu uishi single tu so long as maisha yako yanakwenda sawa tu bila bugudha kama unavyotaka mwenyewe