Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Huyu ni best friend wangu hapa Jei Efu lakini kwa matani we acha tu,naapia milima ya Uporoto iporomoke mi bado bikra lol!
Khaaaaaa!shemeji apia!
Huyu ni best friend wangu hapa Jei Efu lakini kwa matani we acha tu,naapia milima ya Uporoto iporomoke mi bado bikra lol!
Nimkose Kabakabana kama nasema urongo.jamani baby ndo kuapa gani huku chaaa?!
wewe dawa tamu mbona unanifanyia hivi jamani?huyo chiku kweli ana mimba ya bwana'ngu au ndo matani yenu eeh eti shem?
Kweli ukiacha mchezo wa baba na mama nilipokuwa mdogo nimejitunza nikijua Kabakabana atakuja maishani mwangu baadae.Khaaaaaa!shemeji apia!
khaaaaa!kanyaga breki mpnz anaweza chelewa kuapia ukajikuta roho ishapitiliza nje!
Kweli ukiacha mchezo wa baba na mama nilipokuwa mdogo nimejitunza nikijua Kabakabana atakuja maishani mwangu baadae.
Dah! luv,sweety,honey,baby,laaziz mbona maneno makali sana haya ? unanikwaza sweetpie wajameni.eti wee unamuonaje huyu shem wako?namuona kama muongo muongo
yes it is,za utokako?
eti wee unamuonaje huyu shem wako?namuona kama muongo muongo
Nimkose Kabakabana kama nasema urongo.
Natania tu bana, Uporoto ana mkoko wa BMW hata ushuru haujalipiwa pale bandarini halaf jamaa ni muaminifu sana hata akiona kuku wanasex anafumba macho. Una bahati sana kabakabana
Dah! luv,sweety,honey,baby,laaziz mbona maneno makali sana haya ? unanikwaza sweetpie wajameni.
Kweli ukiacha mchezo wa baba na mama nilipokuwa mdogo nimejitunza nikijua Kabakabana atakuja maishani mwangu baadae.
Sawa beb wiki hii nakuhamishia premium member.poleh jamani hnypie nilikuwa namchombeza tu canta
Hahaha!uwiiii mie nafyaaaa!shem umeua dah!kaby ana bahati lol!
Sawa beb wiki hii nakuhamishia premium member.
Mie namkubali bana,shem wangu wa ukweli,kwanza kakuzimi,mkwanja wa ukweli alafu bado bikra means kitu kipya hakijawa used kbs lol!
Usinichanganye bana.mi nilisha changia na nikaulizwa swali.Wonder Woman,Nitonye na Erickb52 acheni chabo changieni mada washikaji mwee! Excellent karibu.
Acha wivu kwani nyie A town hamjacheza ? si zile mkiwa mmevaa nguo luv ?ulifanya kiukweli mchezoni ama? Au macho yangu yamegeuka kengeza?