Baby I do

Baby I do

My reason for living got to go my boss mkali huyo tena mwanamke kila kitu anaona unamdharau kesho basi sleep tight dream of only me and i will do the same,so long bebs,
 
My reason for living got to go my boss mkali huyo tena mwanamke kila kitu anaona unamdharau kesho basi sleep tight dream of only me and i will do the same,so long bebs,

sijakuelewa kabisa
 
Wewe ndio sababu yangu ya kuishi,inabidi nilale bosi mkali tena mwanamke lala salama niote nami nitafanya hivyo kwaheri ya kuonana.
 
Dah!asante kwa msg tamu nadhan ni cjakosea kupest kwenye wall ya rejao wangu lol!kaby niandalie ya ukweli ya kumbom mtu hela hahaha!
hahahaha...lol...umesahau wengine humu ndani wachaga???
Hela hazitoki bila invoice...halafu lazima uonyeshe statement ya matumizi!
 
hahahaha...lol...umesahau wengine humu ndani wachaga???
Hela hazitoki bila invoice...halafu lazima uonyeshe statement ya matumizi!
Hahahaha hahaha,
Darling,mjini hapa ukizingatia namie wa huko huko kilichobaki nikuzidiana ujanja tu,nilitaka nimbom mtu nikasaidie ndugu yangu smile kulipa deni la ashadii kule bado hajalipa lol!
 
hahahaha...lol...umesahau wengine humu ndani wachaga???
Hela hazitoki bila invoice...halafu lazima uonyeshe statement ya matumizi!

anajua wee mchaga ndo maana anataka kumbom kibuzi chake?kusoma huwezi hata picha?mjini hapa
 
Hahahaha hahaha,
Darling,mjini hapa ukizingatia namie wa huko huko kilichobaki nikuzidiana ujanja tu,nilitaka nimbom mtu nikasaidie ndugu yangu smile kulipa deni la ashadii kule bado hajalipa lol!

yani tumeongea maneno sawa bila kujua
 
Darling Uporoto na kabakabana kuna nini kinaendelea!!
Mbona unataka kuniua kwa BP darling!!
 
Darling Uporoto na kabakabana kuna nini kinaendelea!!
Mbona unataka kuniua kwa BP darling!!

Uporoto keshaibiwa mwaya, wala usipitie previous posts katika hii thread utapata heart attack! Bora kuambiwa kuliko kuona..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom