Baby I do

Baby I do

Uporoto keshaibiwa mwaya, wala usipitie previous posts katika hii thread utapata heart attack! Bora kuambiwa kuliko kuona..

nimepitia post moja moja amy..
Nitamfata uporoto mida ya lunch tulioongee hili. Halafu huyu kaby sijui nimfanyaje!
 
Uporoto keshaibiwa mwaya, wala usipitie previous posts katika hii thread utapata heart attack! Bora kuambiwa kuliko kuona..

nimeamini kila mtu anapewa kinachomstahili.Yani wewe kwa udaku kama bwana'ko erick khaa
 
nimepitia post moja moja amy..
Nitamfata uporoto mida ya lunch tulioongee hili. Halafu huyu kaby sijui nimfanyaje!
huyo uporoto kasema mambo yenu yameisha mwaka jana,mbona bado unamng'ang'ania?
 
Huyo sis king'anganizi ajabu we acha afadhali hapa ataona picha.

Kaba mbona anatumia laptop yangu hapa karibu ngoja nimshum kwanza mwaah!

mwambie huyo mpenzi kiti cha basi,aende kwingine, mwaah baby wangu hebu njoo tuendelee cha sasa hivi mimi juu.
 
Jamani erick cant do that to me..lol

Bby nilikuambia watu hawapendi kuona wenzao wanapendana...lol
hawana hata haya.....hasa huyu Kaby.....hhahaaaa
Kwako nimefika mama....
 
Bby nilikuambia watu hawapendi kuona wenzao wanapendana...lol
hawana hata haya.....hasa huyu Kaby.....hhahaaaa
Kwako nimefika mama....

ningekuwa sipendi ningekupigia debe jana wee jishaue tu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom