Baby I do

Baby I do

Si ndio hapo,naona ana apply usharo mwenzie uporoto kishaeleweka,mwambien aache ubahili amwage minoti,hahaha!

Hahahaaaaa acheni majungu nyie...mbona we yamekushinda hata honeymoon hujamaliza????
Teh
 
unipe details za huyo kibompa,mweupe,mfupi na mambo mengine ili niweze kumchombeza vizuri

Aisee cjui tuhamie pm!c unaona hapa macho kodo mengi!but itabidi tuwe na propozo km ya kuuombea hisan ya watu wa marekan lol!
 
Aisee cjui tuhamie pm!c unaona hapa macho kodo mengi!but itabidi tuwe na propozo km ya kuuombea hisan ya watu wa marekan lol!

haina mbaya,utaniPM basi diaa,lazima kitaeleweka tu
 
Hahahaaaaa acheni majungu nyie...mbona we yamekushinda hata honeymoon hujamaliza????
Teh

Yetu haiishi aisee,nimejipumzisha kifuan kwa my rejao,ni burudan mwanzo mwisho,ww zubaa hapo wenzio tunaenjoy!km vp omba msaada kwenye tuta hahahaha!
 
Hapa nani kafall kwa nani?
Halaf Uporoto yule chiku wa manzese kanitext anasema kale kaujauzito kashakatumbua ukalipie gharama. Tnx kamanda
 
Naishi Dar natokea Mbeya kwenye milima ya uporoto(unakumbuka giografia ?).

Usijali mtaani wananiita fisadi lol!

Hehehe!shem fisad la mtaaa lol!uhakika wa kupat vimikopo japo vya kufungua viosk lol utaikwamua familia!
 
Hapa nani kafall kwa nani?
Halaf Uporoto yule chiku wa manzese kanitext anasema kale kaujauzito kashakatumbua ukalipie gharama. Tnx kamanda

umesemaa?jamani uporoto wangu huyu huyu siamini hebu sema unatania basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom