Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Namshukuru Mungu kanitunuku kidume kidume kweli mamake alijifungua salama na kawaida na wanaendelea vizuri.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hongera sana mkuu Mungu awalinde mama na mtoto kiafya, pia mkawe wazazi wema kwa kijana wenu mama kapata twin wake. Mimi pia makadirio yalikuwa tar 13 ila nikapata shida ya presha ikabidi nijifungue mapema tar 5/4 nimepata kabinti ila tunaendelea vizuri kabisa. Hongera sana mkuu.
 
Me na madume matatu kwa ndoa bana last year nikachepuka hatimaye lastweek nimepata kakike kwa mchepuko(ingawa am nor sure mpk tukipime dna kama tulivyokubaliana)
Hongera sana kwa kupata kabinti special mkuu
 
niwaulize wote mnaotarajia kupata watoto

Je mimba yako ilikuwa planned before?

12 April 2023. Princess was born.

Unlike her elder siblings, She was planned a whole year before.

As such, the first night we attempted, she was conceived.

I remember that night vividly and as clear as daylight.

I also remember the conversation and events leading to it.
 
December natarajia kupata first born wangu [emoji3526] changamoto kila siku nahesabu siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu mama K hataki dyudyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakuhesabu sijui naanzia wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio anapata mimba kwasababu mimba hupatikana 10 la kati au 10 la mwisho mkuu uliza uelimishwe
Hedhi ya mwananmke ipo katika makundi 3.
1.Siku 25- 28 wengi zaidi
2. Siku 30 wachache
3. Siku 35 wachache zaidi
Hivyo kwa mazingira haya pia upevushwajo wa mayai hauwi sawa mkuu.
Mkuu mi hiyo namba 2 jinsi ya kuhesabu nisije nikapigwa nisaidie anasema mimba iliingia siku ya 9 baada ya P afu hyo folic acid ni vidonge au?
 
Back
Top Bottom