Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,516
Asante tuseme Inshallah uzazi una changamoto sana .Hongereni sana Mnaotarajia kupata watoto
Asante tuseme Inshallah uzazi una changamoto sana .Hongereni sana Mnaotarajia kupata watoto
Balaa....😂😂😂EDD ..xx/03/2023
Kanapiga mateke balaa
🤣🤣🤣🤣Jamani mtoto mpya na mambo mapyaYapo ya wadogo zao tumewatunzia 😂😂😂😂
Halina tofauti na hilo sema linakuwa dishi tuu vikorombwezo vingine vyote hivyo hakunaFor sure hebu weka picha za lile la 20k ?
Acha madongo mkuu😂wale mnaotembea na vizazi vyenu viunoni mnasubiri nini 2023
Mkuu sikujizi hatununui hayo mabeseni. Tuna kata madumu ya lita 50 yanauzwa elfu 10 tu .Msisahau dishi la kuogea mtoto Ni laki moja kwa Sasa!mjipange msijewaogeshea watoto kwenye ndoo za kleensoft😁
🤣🤣🤣🤣Acheni kuwapigisha rumba wageni wetu bado Ni raia wema msiwafanye wakawa manunda angali wadogoMkuu sikujizi hatununui hayo mabeseni. Tuna kata madumu ya lita 50 yanauzwa elfu 10 tu .
MAMBO MSWANU
Mpenzi wangu mimi ni mwezi wa tano mwaka huu Mungu atupe Mungu tuvuke salama maana mmmh changamoto sana mara kiuno, mara hawezi kukaa, kulala shida yaani kuna muda tunakesha anasema kiuno kinauma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weeeeeee
ulikuwa unafanya kuilowekamo kabisa
Hilo lakini hadi ya 20000 yapo. Hizi ni mbwembwe tuu hasa za sisi kina mama.View attachment 2488015
Ndio elfu 20 eti dishi peke yake ukitoa vikorombwezo vyooote.Ukitoa hivyo vikolombwezo vingine hilodishi pekeake shngap [emoji23][emoji23]
Nataka kujua kwenda kucheki tarehe au makadirio ya kujifungua mimba inatakiwa kuwa na miezi mingapi wakuu
Mungu akupe ujauzito wewe ni bikira maria?Anionee mara ngapiii? Na ndo kanipa ujauzitoo huu.!!
Ndyooooo.Mungu akupe ujauzito wewe ni bikira maria?
Kwann tenaa mbona tunatishana mkuuMi nategemea kupata first born wangu mwezi April mungu asaidie ila sitosahau kile kipindi kuanzia mimba ina week hadi miezi 3 ilikua balaa