Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,545
- 2,482
Mwaka wa Baraka Sana Kwangu.
Mwenyezi Mungu ashukuriwe
Mwenyezi Mungu ashukuriwe
Wakuu wa kazi hii inakuwaje?Wakuu, namshukuru Mungu tumepata mtoto wa kike.
Kipengele kipo kwenye tumbo la mtoto. Mtoto anaumwa sana tumbo na halali kabisa usiku. Navyosema halali ni hafungi jicho kabisa, analia tu usiku kucha. Halafu anaharisha kamba kamba kama makamasi. Hospital wanasema ni kawaida hamna dawa eti
Mwenye anaefahamu dawa anisaidie.. mtoto ana one week tu.