Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Hebu niacheni kidogo jana ndio nimeombwa lazima tukaanze clinic wote mana ndio anataka aanze hilo sio tatizo kabisaa mimi kwenda ila nikienda tatizo ni ....😂😂😂nadhani mshajua sasa kupokea majibu nahisi kuharisha hata nikutwe fresh nakuwa hoi bin taaban
 
Mi nategemea kupata first born wangu mwezi April mungu asaidie ila sitosahau kile kipindi kuanzia mimba ina week hadi miezi 3 ilikua balaa
Team April, mimi pia Mungu akijalia nitaleta kiumbe mwezi April....Mungu atuvushe salama na wenzetu wote.
Ila miezi 3 ya mwanzo sina hamu nayo sasa hivi ni mwendo wa kukosa usingizi na usiku kula kama kiwavi.
 
Team April, mimi pia Mungu akijalia nitaleta kiumbe mwezi April....Mungu atuvushe salama na wenzetu wote.
Ila miezi 3 ya mwanzo sina hamu nayo sasa hivi ni mwendo wa kukosa usingizi na usiku kula kama kiwavi.
Safi Mungu ni mwema nipe tips kwa kipindi kilichobaki mama k wangu anatakiwa ale nini hasa life style yake iweje na diet kwa ujumla kwa usalama na afya nzuri ya mtoto na yeye mwenyewe
 
Safi Mungu ni mwema nipe tips kwa kipindi kilichobaki mama k wangu anatakiwa ale nini hasa life style yake iweje na diet kwa ujumla kwa usalama na afya nzuri ya mtoto na yeye mwenyewe
Mimi nina kauzoefu kidogo hii mimba ya 2. Mimba ya kwanza nilikuwa chini ya uangalizi wa specialist kabisa.

Alikuwa ananiambia kula chakula ambacho unatamani wewe na sio vinginevyo ili mradi tuu mboga za majani, matunda na maji kwa wingi visikose kwenye kila mlo.

Alinishauri hvyo baada kuwa napenda sana kula chips kuliko chochote. So mwache ale kile anachokitamani maana itamfanya ale vizuri, mboga majani hasa tembele na mchicha kwa wingi na matunda.

Ajitahidi jioni kutembea tembea kidogo ingawa akichoka asijilazimishe apate muda mwingi wa kupumzika na aepuke stress.
 
Hebu niacheni kidogo jana ndio nimeombwa lazima tukaanze clinic wote mana ndio anataka aanze hilo sio tatizo kabisaa mimi kwenda ila nikienda tatizo ni ....nadhani mshajua sasa kupokea majibu nahisi kuharisha hata nikutwe fresh nakuwa hoi bin taaban

kumbe tupo wengi mi nnacho shukuru mungu kipindi na siku ambayo wife anakwenda kuanza clinic nilikuwa sipo nimesafiri so alienda mwenyew akapambana akawaeleza ukweli kuwa mwamba hayupo kasafiri kikazi mbaka wakamuelewa wakampima mwenyew bhas yuko fresh bhas ikaisha hivyo now anaendelea good
 
Mimi nina kauzoefu kidogo hii mimba ya 2. Mimba ya kwanza nilikuwa chini ya uangalizi wa specialist kabisa.

Alikuwa ananiambia kula chakula ambacho unatamani wewe na sio vinginevyo ili mradi tuu mboga za majani, matunda na maji kwa wingi visikose kwenye kila mlo.

Alinishauri hvyo baada kuwa napenda sana kula chips kuliko chochote. So mwache ale kile anachokitamani maana itamfanya ale vizuri, mboga majani hasa tembele na mchicha kwa wingi na matunda.

Ajitahidi jioni kutembea tembea kidogo ingawa akichoka asijilazimishe apate muda mwingi wa kupumzika na aepuke stress.
Ahsante vipi kuhusu udongo hauna madhara?
 
unaleta minyoo huoo sio mzurii tena kuna wale minyoo inapendelea madini ya chuma pia ambayo ni muhimu kwa mjamzito.. mwambie ale sana parachichi na matunda mengine asisahau mayai, dagaa, samaki na mboga za majani
Ahsante sana
 
Back
Top Bottom