njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 4,852
- 11,724
Hebu niacheni kidogo jana ndio nimeombwa lazima tukaanze clinic wote mana ndio anataka aanze hilo sio tatizo kabisaa mimi kwenda ila nikienda tatizo ni ....😂😂😂nadhani mshajua sasa kupokea majibu nahisi kuharisha hata nikutwe fresh nakuwa hoi bin taaban


tena kuna wale minyoo inapendelea madini ya chuma pia ambayo ni muhimu kwa mjamzito.. mwambie ale sana parachichi na matunda mengine asisahau mayai, dagaa, samaki na mboga za majani