The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,129
- 14,634
Majukwaa ya ccmKwa hiyo sisi ambao ndo kwanza bado hatujaoa tunacomment wapi mkuu ama tukae kando kidogo?
Majukwaa ya ccmKwa hiyo sisi ambao ndo kwanza bado hatujaoa tunacomment wapi mkuu ama tukae kando kidogo?
Mmezoeq yale ya kupigwa unawekewa na mafuta ya minara ya 1500 ya naz.kwa nin ununue lile lenye makorokoro ambayo mengine wala hayaitajiki.nunua vitu separate mafuta ya naz mule kwenye furush wanaweka minara.sasa minara yale kwa mtoto yatambabua hayafai.dishi lile mpaka lak 3 na makorokoro mengi low quality. Nunua besen zuri cello 7000.mafuta hata parachute 5000 au mama africa 7000,nenda babyshop chkua vinguo.kwanza mtoto mchanga wala haitaji makorokoro mengii kama yale.Msisahau dishi la kuogea mtoto Ni laki moja kwa Sasa!mjipange msijewaogeshea watoto kwenye ndoo za kleensoft[emoji16]
Makorokoro tu nyunba inakua haina nafasi.mtoto hata ukimpanga anapuu.hapo ni kupigwa tu.kila stage ya mtoto ukianza kujaza makorokoro si kutajaa nyumba nzimaHilo lakini hadi ya 20000 yapo. Hizi ni mbwembwe tuu hasa za sisi kina mama.View attachment 2488015
Congrats mkuuXmas vacation imejibu....
Wale ambao tunategemea kupata watoto mwaka huu tukutane hapa tujuzane mambo ya kuzingatia.Mimi ni mmojawapo ambae mwaka huu Mungu akijalia kwenye mwezi wa nane mwezi niliozaliwa mimi basi nitapata ka firstborn inshaalaah.
Mwezi wa 12 mwishoni nilimtafuta wa kucheza naye kitandani hatimaye matunda yametick week hiihii. Nilikuwa nafikiri pombe kali nilizowahi kunywa labda zingeathiri ubora wa mbegu zangu lakini kumbe sio kweli kwa vijana, of course nilipata sana mawazo ni kama sikuwa tayari ila nikakalishwa chini nikapangwa nitulie mtoto bado hata hajaanza kunywa uji nilishaanza mawazo je akizaliwa kabisa.kwanza nilitaka kuikataa maana me nilikuwa najua kwamba danger days ni siku 7 baada ya kumaliza period yake kumbe sivyo hata zile 7 za mwanzo before hajaanza kutoka damu ukitia mimba sekunde tu..ukiwa rijali upige kimoja au vitano jua bao la kwanza tu speed vitu vinaenda mimba inaundwa.
Sasa nilichoaswa na watu wazima ambacho ndo lengo la uzi;
1. Mimba changa mwanamke ananoga unalipata joto lake original hivyo kupindi hiki kizuri kwa ajili ya kutotolesha ukae na mama kijacho mpeane mapenzi japo ni kipindi cha mabadiliko kutapika kwingi utaamua wewe akae kwa ndugu zake wawe karibu akihitaji msaada au ukae nae wewe.
2. Ukifanya mapenzi na watu wengine huko hakikisha umeoga vizuri usifanye haraka kwenda kumlala mkeo ilihali kuna infections unaweza kumpa zikampa mtoto maradhi.
3. Tunza hela hiki ndo kipindi cha kuacha utoto sasa majukumu yanaanza tu za hela za matunzo ya ujauzito na mtoto akizaliwa.
Kama kuna la kuongozea niongezee.
Hayo mafuta ya Parachute yanasaidia nini ?Mmezoeq yale ya kupigwa unawekewa na mafuta ya minara ya 1500 ya naz.kwa nin ununue lile lenye makorokoro ambayo mengine wala hayaitajiki.nunua vitu separate mafuta ya naz mule kwenye furush wanaweka minara.sasa minara yale kwa mtoto yatambabua hayafai.dishi lile mpaka lak 3 na makorokoro mengi low quality. Nunua besen zuri cello 7000.mafuta hata parachute 5000 au mama africa 7000,nenda babyshop chkua vinguo.kwanza mtoto mchanga wala haitaji makorokoro mengii kama yale.
Nina watoto wawili na SIJAOA.Kwa hiyo sisi ambao ndo kwanza bado hatujaoa tunacomment wapi mkuu ama tukae kando kidogo?
Unataka kuhalalisha uzinzi?Nina watoto wawili na SIJAOA.
2015 naitegemea kupata wa3
Ndoa na mtoto HAVINA UHUSIANO.
#YNWA
Unataka kuhalalisha uzinzi?
Acha madongo mkuu[emoji23]
Yan najihisi mm kabisa... Usiku silali shida tupu.. Yan tunaongea kwa simu mpaka bundle liishee... Famasiala nnMpenzi wangu mimi ni mwezi wa tano mwaka huu Mungu atupe Mungu tuvuke salama maana mmmh changamoto sana mara kiuno, mara hawezi kukaa, kulala shida yaani kuna muda tunakesha anasema kiuno kinauma
Hope Mungu kakujalia umeshampata first born wako. Mimi nimevuka salama Mungu mwema team AprilMi nategemea kupata first born wangu mwezi April mungu asaidie ila sitosahau kile kipindi kuanzia mimba ina week hadi miezi 3 ilikua balaa
Jamani jamaniii 😀Msisahau dishi la kuogea mtoto Ni laki moja kwa Sasa!mjipange msijewaogeshea watoto kwenye ndoo za kleensoft😁
Namshukuru Mungu kanitunuku kidume kidume kweli mamake alijifungua salama na kawaida na wanaendelea vizuri.Hope Mungu kakujalia umeshampata first born wako. Mimi nimevuka salama Mungu mwema team April
30.03.2023Watu hawaleti mrejesho tutume zawadi
Yes nilikadiria tar 12 akazaliwa tar 13 mungu ni mwema tar 12 ilikua tar yangu ya kuzaliwa ,akazaliwa tar 13 tar ya mamake kuzaliwaTeam April hapa tayari mkuu, ndio namuuliza mkuu Twinawe kama tayari alitarajia April pia kama mimi.