Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

I lost 4 kids to abortion. I'm expecting a baby girl in May. Yes, my partner is crazy as *** but... whatever.. I'm excited.

Kila la kheri wazazi watarajiwa!
 
Wale ambao tunategemea kupata watoto mwaka huu tukutane hapa tujuzane mambo ya kuzingatia.Mimi ni mmojawapo ambae mwaka huu Mungu akijalia kwenye mwezi wa nane mwezi niliozaliwa mimi basi nitapata ka firstborn inshaalaah.

Mwezi wa 12 mwishoni nilimtafuta wa kucheza naye kitandani hatimaye matunda yametick week hiihii. Nilikuwa nafikiri pombe kali nilizowahi kunywa labda zingeathiri ubora wa mbegu zangu lakini kumbe sio kweli kwa vijana, of course nilipata sana mawazo ni kama sikuwa tayari ila nikakalishwa chini nikapangwa nitulie mtoto bado hata hajaanza kunywa uji nilishaanza mawazo je akizaliwa kabisa.kwanza nilitaka kuikataa maana me nilikuwa najua kwamba danger days ni siku 7 baada ya kumaliza period yake kumbe sivyo hata zile 7 za mwanzo before hajaanza kutoka damu ukitia mimba sekunde tu..ukiwa rijali upige kimoja au vitano jua bao la kwanza tu speed vitu vinaenda mimba inaundwa.

Sasa nilichoaswa na watu wazima ambacho ndo lengo la uzi;

1. Mimba changa mwanamke ananoga unalipata joto lake original hivyo kupindi hiki kizuri kwa ajili ya kutotolesha ukae na mama kijacho mpeane mapenzi japo ni kipindi cha mabadiliko kutapika kwingi utaamua wewe akae kwa ndugu zake wawe karibu akihitaji msaada au ukae nae wewe.

2. Ukifanya mapenzi na watu wengine huko hakikisha umeoga vizuri usifanye haraka kwenda kumlala mkeo ilihali kuna infections unaweza kumpa zikampa mtoto maradhi.

3. Tunza hela hiki ndo kipindi cha kuacha utoto sasa majukumu yanaanza tu za hela za matunzo ya ujauzito na mtoto akizaliwa.

Kama kuna la kuongozea niongezee.
☺️☺️
 
Mimi mpk akijifungua nitashkuru mungu maana inabdi nimvumilie jana kaniamsha saa 8 usiku nikamuangushie embe kwenye mti anataka embe muda huu ikabidi niamke niende kuangua huku natoa maneno yananitoka mpk kama nataka kulia nilikuwa sijawahi mfulia nguo aisee sasa akiniona tu analeta nguo tena zote nilikuwa sijui kupika vitumbua sambusa imebidi nijue maana akisema anataka sambusa tu leo umpikie tena hataki za kununua anataka nipike mm daa yaan nimechoka mpk kajifungua aisee nitakushkuru mno
 
Mimi mpk akijifungua nitashkuru mungu maana inabdi nimvumilie jana kaniamsha saa 8 usiku nikamuangushie embe kwenye mti anataka embe muda huu ikabidi niamke niende kuangua huku natoa maneno yananitoka mpk kama nataka kulia nilikuwa sijawahi mfulia nguo aisee sasa akiniona tu analeta nguo tena zote nilikuwa sijui kupika vitumbua sambusa imebidi nijue maana akisema anataka sambusa tu leo umpikie tena hataki za kununua anataka nipike mm daa yaan nimechoka mpk kajifungua aisee nitakushkuru mno
Kupatwa kwa Iblis bin Shetani.kweli mapenzi Yana nguvu
 
Wale ambao tunategemea kupata watoto mwaka huu tukutane hapa tujuzane mambo ya kuzingatia.Mimi ni mmojawapo ambae mwaka huu Mungu akijalia kwenye mwezi wa nane mwezi niliozaliwa mimi basi nitapata ka firstborn inshaalaah.

Mwezi wa 12 mwishoni nilimtafuta wa kucheza naye kitandani hatimaye matunda yametick week hiihii. Nilikuwa nafikiri pombe kali nilizowahi kunywa labda zingeathiri ubora wa mbegu zangu lakini kumbe sio kweli kwa vijana, of course nilipata sana mawazo ni kama sikuwa tayari ila nikakalishwa chini nikapangwa nitulie mtoto bado hata hajaanza kunywa uji nilishaanza mawazo je akizaliwa kabisa.kwanza nilitaka kuikataa maana me nilikuwa najua kwamba danger days ni siku 7 baada ya kumaliza period yake kumbe sivyo hata zile 7 za mwanzo before hajaanza kutoka damu ukitia mimba sekunde tu..ukiwa rijali upige kimoja au vitano jua bao la kwanza tu speed vitu vinaenda mimba inaundwa.

Sasa nilichoaswa na watu wazima ambacho ndo lengo la uzi;

1. Mimba changa mwanamke ananoga unalipata joto lake original hivyo kupindi hiki kizuri kwa ajili ya kutotolesha ukae na mama kijacho mpeane mapenzi japo ni kipindi cha mabadiliko kutapika kwingi utaamua wewe akae kwa ndugu zake wawe karibu akihitaji msaada au ukae nae wewe.

2. Ukifanya mapenzi na watu wengine huko hakikisha umeoga vizuri usifanye haraka kwenda kumlala mkeo ilihali kuna infections unaweza kumpa zikampa mtoto maradhi.

3. Tunza hela hiki ndo kipindi cha kuacha utoto sasa majukumu yanaanza tu za hela za matunzo ya ujauzito na mtoto akizaliwa.

Kama kuna la kuongozea niongezee.
Team septemba gonga like
 
Nyie achen tuu

Nilkua kimapenz muda wa miaka 4 kazin na Binti wa kipare....afu 2021 alipata ujauzito..

Ndo ikawa mwanzo wa migogolo akifosi nimuoe ...afu ndugu zake nao full kumjaza na huku Kazin wakatengeneza kikundi na wenzake ni mwendo ule ule full kunisema.


Wazee nikamkatia mguu afu kazin tunakutana mpka akajifungua lakin atukuwah, kusex tena ....mpka Leo....na mtoto Sasa hiv ana umri wa mwaka na miez 3....... Tupo wote kazin ni atusemeshan lakin mtoto nahudumia ......na kila mtu anajua sie tuko fresh kimausiano ......mpka 2022 mwez wa 7....


Kuna bint alihamia hapa kazin kwetu Toka mahala pengine..,

Kwanza ni pisi vibaya mnoooo...kias mpka kila mtu alikua anajigonga pale had kiongoz mkuu.,.hla mungu sio Rama"


Mtoto akajaa kwangu full story kutembeleana home ndo vita ikaanzia pale mama wa mtoto akamuundia zengwe mpka kwa mkuu wetu wa kazi...

Ubaya Zaid mkuu wetu wa kazi anamtaka yule Binti mpya ...ikawa fire ....
Ilkua kipindi kigum Sana hapo mwaka Jana nilisimama Imala mpka Soo likapungua.


2: hapa ndo utamu ulipo " huyu pisi alipoona vituko vimezid ndo akaamua kunipa yote[emoji15] .....


Amekolea kahamia na kwangu mwez wa pili Sasa ...kwake kapatelekeza.....
Na kibaya/kizuri...Anamimba ya mwez Sasa!!!!!!


Ndo mawazo yalipo hii inshu naiacha iende tu mpka itakavokua ...lakin najua wakigundua hili Moto [emoji95] utawaka.....

Mungu Yupo akipenda nitaitwa baba tena 2023.... Watapishana miaka 2 watoto wangu:[emoji119]
 
Kwenye sex hapo kipengele[emoji23][emoji119] wengine tukiwa na mimba nyege ndo zinakuwa nyingi[emoji38][emoji38] jamani mimi nilikua nanyanduana hadi wiki ya mwisho ya kujifungua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji174][emoji276]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 weeeeeee
ulikuwa unafanya kuilowekamo kabisa
 
Team April, mimi pia Mungu akijalia nitaleta kiumbe mwezi April....Mungu atuvushe salama na wenzetu wote.
Ila miezi 3 ya mwanzo sina hamu nayo sasa hivi ni mwendo wa kukosa usingizi na usiku kula kama kiwavi.
Duh wewe usije kuwa mke wangu aisee,maana tuliitafuta mimba mwezi wa 8 mwaka jana.😄😄
 
Duh wewe usije kuwa mke wangu aisee,maana tuliitafuta mimba mwezi wa 8 mwaka jana.[emoji1][emoji1]
Lolote linawezekana ujue maana wa JF ndio walewale wa mtaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Tujiandae tuu
 
Picha tafadhali
Hilo lakini hadi ya 20000 yapo. Hizi ni mbwembwe tuu hasa za sisi kina mama.
Screenshot_20230119-211337_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom