Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,999
- 35,458
Ata mimi nime jiuliza hii mimba ime kaaje kaaje kwa hesabu izo ..labda kama dem wake ana hormone imbalance aelewekiSiku 7 za mwanzo before hajaanza kupata damu mimba sekunde.. brooo hiyo mimba inapatikana wapi!?
Lasivyo hapa kuna namna kashafanyiwaAta mimi nime jiuliza hii mimba ime kaaje kaaje kwa hesabu izo ..labda kama dem wake ana hormone imbalance aeleweki
mi nategemea kuzaa kwanzia October/nobember/December
Sina mimba sina Bwana ila Insha allah
Ndio anapata mimba kwasababu mimba hupatikana 10 la kati au 10 la mwisho mkuu uliza uelimishweSiku 7 za mwanzo before hajaanza kupata damu mimba sekunde.. brooo hiyo mimba inapatikana wapi!?
HongereniIt's February baby 👶 soon anakuja mwamba mkombozi wa wanyonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku 7 za mwanzo before hajaanza kupata damu mimba sekunde.. brooo hiyo mimba inapatikana wapi!?
Mungu anakuona.August nakua na 1St born angu!!!
Inshaaallah!! [emoji120][emoji120][emoji120]
Mama kija ktk ubora wangu, [emoji8][emoji8]
Anionee mara ngapiii? Na ndo kanipa ujauzitoo huu.!!Mungu anakuona.
Sawa mkuuAnionee mara ngapiii? Na ndo kanipa ujauzitoo huu.!!
Poaaaah!!Sawa mkuu