Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

Hahahahaha...kwakua ni project na ni program kwa tv mnakua mnafanya selection ya kesi
Mkubwa kwenye biashara au huduma, Kuna kitu Ina itwa customer reviews & recommendation.

Kwa Akili na mazingira ya wabongo, watafanya kipindi kiwa angamize wamiliki.
Maana wataanza chambueni kesi fulani, au zungumzieni mtu fulani.
Tresor Mandala
 
Halafu Humu hatulipwi, zaidi ya kushare taarifa tu.
Bado mtu ana umana ohh, toa credit- kwa wenye channel duh.

Halafu hata wenye channel, sidhani Kama Wana walipaga wachunguzi.
Maana Wao ndo Wana taarifa sahihi, zaidi ya kusema thanks for your great work

Ujuaji upo kila mahala unawaacha kama walivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.

Umenikumbusha mbali sana. Hizi siku tuliishi kwa shida ya msongo wa mawazo sana, kila siku kwenye habari ilikuwa ni habari hizi.

Kuna dada mmoja Mtanzania alikuwa anasoma maeneo hayo mpaka akataka kuhama, nikamwambia apige moyo konde yatapita haya.

Yakapita.
 
Na shida Hakuna mfumo wa mtu kuwajibishwa.
au ulinzi kwa wale watoa taarifa, china waziri ana nyongwa au kufungwa.

Sisi uki sikika una ropoka, Wana kuminya kende- mpaka uone rangi ya ibilisi
Ok nimekupata mkuu ..ila itakua ni zile files ambazo kesi ilishafika mahakamani na mtu kafungwa

Hebu fikiria nje ya box acha kuwaza ugumu unajua tatizo la vijana ndio hili sasa kuona kila kitu kigumu

Unakaaa na kitengo husika unaongea nao wao wakuchagulie zile kesi ambazo kwa namna moja au nyingine ziliwasumbua sana lkn walifanikiwa...ukiwa na lengo la kwanza unawasifu kwa uweledi wao pili watu wanajifunza...Id yako na mawazo yako naona kdg yanapishana... unakubali kushindwa mapema sana...

SASA NDIO ULITAKA NIKUPE CHANNEL ? Tanzania inaenda ktk ushindani wa content ktk media...

Nakupa mfano kuna jamaa kule ktk mtandao unaitwa X anatoaga stori za matukio na watu wanalipa...sasa fikiria yule anatoa wapi zile story mbn hajakamatwa ? Unaona anavyowapata followers ? Sasa yule awe anaandaa documentary kwa tv kupitia stori zile zile
 
Dah.

Umenikumbusha mbali sana. Hizi siku tuliishi kwa shida ya msongo wa mawazo sana, kila siku kwenye habari ilikuwa ni habari hizi.

Kuna dada mmoja Mtanzania alikuwa anasoma maeneo hayo mpaka akataka kuhama, nikamwambia apige moyo konde yatapita haya.

Yakapita.
kumbe ulikuwepo katika jiji Hilo, wakati haya yaki tokea.

Sema ulimpa ushauri was kishujaa, maana hiyo ni zaidi ya 50/50 kuishi au kuenda mbele.
Mana hamjui muuaji ana zingatia kipi au sampuli ya Aina ipi.
 
Ok nimekupata mkuu ..ila itakua ni zile files ambazo kesi ilishafika mahakamani na mtu kafungwa

Hebu fikiria nje ya box acha kuwaza ugumu unajua tatizo la vijana ndio hili sasa kuona kila kitu kigumu

Unakaaa na kitengo husika unaongea nao wao wakuchagulie zile kesi ambazo kwa namna moja au nyingine ziliwasumbua sana lkn walifanikiwa...ukiwa na lengo la kwanza unawasifu kwa uweledi wao pili watu wanajifunza...Id yako na mawazo yako naona kdg yanapishana... unakubali kushindwa mapema sana...

SASA NDIO ULITAKA NIKUPE CHANNEL ? Tanzania inaenda ktk ushindani wa content ktk media...

Nakupa mfano kuna jamaa kule ktk mtandao unaitwa X anatoaga stori za matukio na watu wanalipa...sasa fikiria yule anatoa wapi zile story mbn hajakamatwa ? Unaona anavyowapata followers ? Sasa yule awe anaandaa documentary kwa tv kupitia stori zile zile
Ni kweli nime waza kiwepesi, lakini pia huja waza kwa maono ya mbali zaidi.

Kwa mazingira yetu mzigo lazima ukutoke mkubwa, na pia kibali ambacho kita weza kuku Linda.

Maana huwezi kutoa taarifa ya mtu au kesi fulani, kisa mkubwa fulani kakupa.
Vipi kuhusu mkubwa mwingine??

Jamaa wa x ni anonymous, ni kweli ana piga hela, system hii ya kwetu sio ya kuiamini.
Angalia baadhi ya vitu- anavyo zungumzia, sio vya kawaida kwa sisi watafutaji.

Kama kukomaa kimawazo, watu hupikwa mkubwa. Tresor Mandala
 
Ni kweli nime waza kiwepesi, lakini pia huja waza kwa maono ya mbali zaidi.

Kwa mazingira yetu mzigo lazima ukutoke mkubwa, na pia kibali ambacho kita weza kuku Linda.

Maana huwezi kutoa taarifa ya mtu au kesi fulani, kisa mkubwa fulani kakupa.
Vipi kuhusu mkubwa mwingine??

Jamaa wa x ni anonymous, ni kweli ana piga hela, system hii ya kwetu sio ya kuiamini.
Angalia baadhi ya vitu- anavyo zungumzia, sio vya kawaida kwa sisi watafutaji.

Kama kukomaa kimawazo, watu hupikwa mkubwa. Tresor Mandala
X na mzungumzia yule somebody Buyobe ? Mkuu sio kesi za wakubwa ...kuna kesi nyingi sana ..chukulia kuna kesi ngapi za ujambazi Tanzania..acha ujambazi tu hata mauji watu wanakimbia na jeshi linaingia mzigoni kuwatafuta na kuwakamata ?
Na hicho kipindi kinakua cha ushirikiano na hicho kitengo kupitia idara zao za habari na mahusiano?

Mkuu kwa mawazo yako ya kukubali kushindwa kirahisi hivi...kumbe niko sahihi navyokuambia vijana nyie bado sana mtu kukupa channel ..sasa hapa kama nimekupeleka sehemu na wanataka kitu kama hiki na wewe ukaanza kujitetea hivi ktk dunia hii ya ushindani Mkuu mbn mapema tu wanakurudisha home
 
comment ya chini ulisema huwajui investigation discovery

alafu comment ya juu unatoa recommendation mtu aangalie investigation discovery

Mtu mmoja huyo; huku anakubali upande wa pili anakataa tuache ujanja na kupenda short cut
Jamaa una ujuaji wa kijinga, kwani hao IDX ndio wenye hizo documentaries peke yao??

Hakuna walioandika? Bila shaka jamaa kuna mahali kazitoa hizi habari, lakini kumlazimisha atoe credit kwa watu asiowajua ni kumkosea.

Waandishi kama hawa hawatoi kwenye chanzo kimoja maana huko ughaibuni kuna conspiracy theories nyingi kwa tukio moja tu, so kuandika kisa kama hiki kwa mtiririko huu bila shaka chanzo sio kimoja.
 
X na mzungumzia yule somebody Buyobe ? Mkuu sio kesi za wakubwa ...kuna kesi nyingi sana ..chukulia kuna kesi ngapi za ujambazi Tanzania..acha ujambazi tu hata mauji watu wanakimbia na jeshi linaingia mzigoni kuwatafuta na kuwakamata ?
Na hicho kipindi kinakua cha ushirikiano na hicho kitengo kupitia idara zao za habari na mahusiano?

Mkuu kwa mawazo yako ya kukubali kushindwa kirahisi hivi...kumbe niko sahihi navyokuambia vijana nyie bado sana mtu kukupa channel ..sasa hapa kama nimekupeleka sehemu na wanataka kitu kama hiki na wewe ukaanza kujitetea hivi ktk dunia hii ya ushindani Mkuu mbn mapema tu wanakurudisha home
Huyo buyobe anaecopy story za jf halafu anawalipisha watu huko X.

Kwani huyu jamaa hii story kaitoa wapi?? Ni kuitranslate tu toka kinge kuja kibongo na huenda ndizo Buyobe anazowateka nazo huko X lakini ndo ivo uthubutu wa kujenga brand ndo watu hawana.
 
Jamaa una ujuaji wa kijinga, kwani hao IDX ndio wenye hizo documentaries peke yao??

Hakuna walioandika? Bila shaka jamaa kuna mahali kazitoa hizi habari, lakini kumlazimisha atoe credit kwa watu asiowajua ni kumkosea.

Waandishi kama hawa hawatoi kwenye chanzo kimoja maana huko ughaibuni kuna conspiracy theories nyingi kwa tukio moja tu, so kuandika kisa kama hiki kwa mtiririko huu bila shaka chanzo sio kimoja.
Achana nae, huyo ni attention seeker tu.
 
Back
Top Bottom