Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

uko sahihi kabisa, watu Wana chukulia creativity ni kitu chepesi kufanya.
Leo hii tuki uliza walio unda vitu au nadharia mpya, tuta chapana fimbo.

Mfano sekta ya teknolojia, Hakuna jipya zaidi ya kuboresha.
Nichukulie urushaji wa rocket, SI Ali Anza mrusi.
Kwanini mmarekani alipo fata, urusi haku lalamika.

Na alicho fanya marekani ni kuboresha, kwa kutuma rocket yenye mtu ndani Tresor Mandala
Sawa sawa ..kuna tamthiliya fulani niliona channel ten inaitwa UNYOYA UNAOTAMBAA ili series ni wachina lkn mule ndani wanaonesha jinsi wanavyoiga vitu hadi kufikia hii china ya sasa ambayo inazalisha kila aina ya bidhaa ...humo utajua kuwa kuiga ni ngumu mno na utajifunza vingi sana
 
Sasa wengine wakiona mada km hizo wanahisi unataka sifa ..waacha ile sifa kuu ya uandishi na kipaji cha ubunifu,tunakimbilia kusema umeiga kumbe ni wivu tu
Halafu Humu hatulipwi, zaidi ya kushare taarifa tu.
Bado mtu ana umana ohh, toa credit- kwa wenye channel duh.

Halafu hata wenye channel, sidhani Kama Wana walipaga wachunguzi.
Maana Wao ndo Wana taarifa sahihi, zaidi ya kusema thanks for your great work
 
Halafu Humu hatulipwi, zaidi ya kushare taarifa tu.
Bado mtu ana umana ohh, toa credit- kwa wenye channel duh.

Halafu hata wenye channel, sidhani Kama Wana walipaga wachunguzi.
Maana Wao ndo Wana taarifa sahihi, zaidi ya kusema thanks for your great work
Hahahahaha..tupotezee hiyo issue...

tuendelee na yetu , hivi Channel zetu haziwezi kuongea na idara ya police kitengo cha intelligence wakapewa zile files za kesi ambazo walifanikiwa zikafanyiwa documentary? Maana naona tuna story fulani hivi hp bongo ziko na ushawishi sana
 
Tresor Mandala Kuna ya huyu Jamaa pia, Kama ni msomaji mzuri una Soma kwenye site yao.
Screenshot_20240221-153554_1.jpg
 
Hahahahaha..tupotezee hiyo issue...

tuendelee na yetu , hivi Channel zetu haziwezi kuongea na idara ya police kitengo cha intelligence wakapewa zile files za kesi ambazo walifanikiwa zikafanyiwa documentary? Maana naona tuna story fulani hivi hp bongo ziko na ushawishi sana
kwa nchi gani?? hii nchi ya sugar free na umemeless?
 
Hahahahaha..tupotezee hiyo issue...

tuendelee na yetu , hivi Channel zetu haziwezi kuongea na idara ya police kitengo cha intelligence wakapewa zile files za kesi ambazo walifanikiwa zikafanyiwa documentary? Maana naona tuna story fulani hivi hp bongo ziko na ushawishi sana
Hii nayo ni idea Safi mno, tena mtapiga hela ndefu Sana.

Ila mkubwa kwa kesi zetu, huku ni kufukua makaburi ya kesi ambazo Zina wagusa hadi wakubwa.
 
Unajua kunyongwa ni kitu chepesi mno.
Nilikuwa naangalia crime videos, Jamaa wanavyo adhibu watu sio mchezo.
Sasa ili takiwa wapatiwe 10×
mkuu usifnaye masihara na kifo ile kujua tu leo ndio mwisho wangu inatesa vibaya mno. fear of death is pain itself. moyo unakimbia hatia inakujaa majuto yanakujaa.
 
Hongera sana kwa haya mabandiko yako.

Umenikumbusha kitambo sana nikiwa mpenzi wa True Detective Magazine wakizungumzia mambo halisi ya matukio ya uhalifu huko Marekani.
Nashukuru mkuu, hata mimi ni mpenzi Sana was vitu hivi.
Unaweza ukawa una andika pia, ili nasi tusome some Ngorunde
 
Back
Top Bottom