Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,444
- Thread starter
- #161
Ni buyobe mkuu, Sena huwa story zake hazi malizi.Mkuu unaweza nipatia username ya uyo mtu wa X boss kama itakupendeza
👉Mpaka uende kwenye group lake.
Ni buyobe mkuu, Sena huwa story zake hazi malizi.Mkuu unaweza nipatia username ya uyo mtu wa X boss kama itakupendeza
Sio shida zangu mkuu, uta jijua mwenyewe na chuki zakoWewe na john muuaji mna tofauti gani wote ni waongo tu
Shukran mkuu...mm n mpenzi wa maandiko yako endelea kutupa Elimu mkuu [emoji1666]Ni buyobe mkuu, Sena huwa story zake hazi malizi.
[emoji117]Mpaka uende kwenye group lake.
Pamoja mkuu, uki jiunga kwake - nijuz Kama ana maandiko mengiiShukran mkuu...mm n mpenzi wa maandiko yako endelea kutupa Elimu mkuu [emoji1666]
Mzee hamna asiejua jamaa kacopy mahali, ila wewe kulazimisha aandike kacopy kwa fulani ndo tatizo hilo, chanzo cha habari sio hicho pekee.Ujuaji yaani uchukue story uibadilishe kwa kiswahili alafu uchukue credit maisha sio marahisi hivyo
Nchi hii ni ngumu watu kuvumbua vitu kama wanaakili kama zako
Kwema MkuuAchana nae, huyo ni attention seeker tu.
Ewa kuna story fulani hv anazo za bongo ziko very details ..sasa zile ndio zifanyiwe documentary..sijui huwa anazipataje..hasa ile ya Msuya kule arusha..na ile ya Mbeya kama sikoseiNi buyobe mkuu, Sena huwa story zake hazi malizi.
👉Mpaka uende kwenye group lake.
Analazimisha credit ndo sababu ya mimi ku-argue na yeyeMzee hamna asiejua jamaa kacopy mahali, ila wewe kulazimisha aandike kacopy kwa fulani ndo tatizo hilo, chanzo cha habari sio hicho pekee.
Kipi kilivumbuliwa akili kama zangu zikawa kikwazo??
Kwani jamaa wapi kataka sifa??Analazimisha credit ndo sababu ya mimi ku-argue na yeye
Unatakaje sifa kwa ku-translate
Nenda fb muone Dr Chris CyliroMkuu hii story tume Soma kwenye group letu, sasa hata huyo mtu simjui aisee.
Kuna ile pia ya dhahabu za kabila, au bosi was super Sammi.Ewa kuna story fulani hv anazo za bongo ziko very details ..sasa zile ndio zifanyiwe documentary..sijui huwa anazipataje..hasa ile ya Msuya kule arusha..na ile ya Mbeya kama sikosei
Mkuu mi haya nihusu hayo, am just playing my part kutoa taarifa tu.Nenda fb muone Dr Chris Cyliro
Zote ulizopost ulisubiri amalize kuandika na wewe unaleta
Tangu ya kupotea kwenye kisiwa na sasa kaanza kusimulia nyingne.
Sawa sawa binafsi nafikiria kufanya hizi story ziwe documented ktk tvKuna ile pia ya dhahabu za kabila, au bosi was super Sammi.
Kwema mkuu, ubize kidogo- si una Elewa sisi vijana mkate wetu haieleweki.Kwema Mkuu
Ni vizuri mkuu, uki angalia pia soko la taarifa ndo Lina hamia huko.Sawa sawa binafsi nafikiria kufanya hizi story ziwe documented ktk tv
Hahahahaha...wewe kazi yako ni kutafiti hizo kazi zao ,kuzitafiti na kuzikagua kabla ya kwenda hewani . Yaani wewe unakua pembeni una sikiliza na kutazama kisha unatoa Maoni yakoNi vizuri mkuu, uki angalia pia soko la taarifa ndo Lina hamia huko.
👉Hope huto nisahau kijana wako.
Huwa niko vizuri katika Hilo, lakini pia kukusanya taarifa bila kujali mazingiraHahahahaha...wewe kazi yako ni kutafiti hizo kazi zao ,kuzitafiti na kuzikagua kabla ya kwenda hewani . Yaani wewe unakua pembeni una sikiliza na kutazama kisha unatoa Maoni yako
Swadakta , tuombe MunguHuwa niko vizuri katika Hilo, lakini pia kukusanya taarifa bila kujali mazingira
Uzi wa marehemu msuya nime usoma, aisee Yale mauaji ni hatari.Swadakta , tuombe Mungu