Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

Watanzania tuache kupenda short cut kwenye maisha
Huwezi enda copy crime documentary kutoka IDx (investigation discovery) alafu unataka watu wakupe credit kwa kucopy

Hii ni mara ya pili nakuona unataka kuchukua point kwa kucopy crime documentary kutoka investigation discovery bila kuwapa credit
 
Watanzania tuache kupenda short cut kwenye maisha
Huwezi enda copy crime documentary kutoka IDx (investigation discovery) alafu unataka watu wakupe credit kwa kucopy

Hii ni mara ya pili nakuona unataka kuchukua point kwa kucopy crime documentary kutoka investigation discovery bila kuwapa credit
I swear mkuu, hao investigation discovery siwa jui mzee
 
Dah we jamaa una matatizo aisee😆🤣, hao una nitajia ndo Mara ya kwanza kuwa sikia.
Hio channel azam na dstv ipo tokea zamani sana na inaonyesha crime documentary
Wewe una-act kama huijui ila hizo documentary unazichukulia kule bila kuwapa credit sio ustaarabu

Yaani unataka upewe sifa kwa kucopy kaka maisha sio marahisi hivyo, changamoto ya waafrika tunapenda sana short cut
Acknowledge nimecopy kutoka IDx hutapungukiwa na kitu
 
Hio channel azam na dstv ipo tokea zamani sana na inaonyesha crime documentary
Wewe una-act kama huijui ila hizo documentary unazichukulia kule bila kuwapa credit sio ustaarabu

Yaani unataka upewe sifa kwa kucopy kaka maisha sio marahisi hivyo, changamoto ya waafrika tunapenda sana short cut
Acknowledge nimecopy kutoka IDx hutapungukiwa na kitu
Yaani jomba una kuja ku argue kuhusu kipindi Cha kwenye TV.
👉Tena discovery family??, Why usi angalie na wewe ili uje uandike??

Haya si acknowledge, what happens??.
Au we ni share holder Wao, una taka u fill haki yao ya habari??
 
Hio channel azam na dstv ipo tokea zamani sana na inaonyesha crime documentary
Wewe una-act kama huijui ila hizo documentary unazichukulia kule bila kuwapa credit sio ustaarabu

Yaani unataka upewe sifa kwa kucopy kaka maisha sio marahisi hivyo, changamoto ya waafrika tunapenda sana short cut
Acknowledge nimecopy kutoka IDx hutapungukiwa na kitu
Halafu hao idx si Wana onyesha kipindi Cha tv, mi nime andika.
👉Kama una hisi ni rahisi, andika pia imbecile wee.
 
Acha kukocopy alafu utake watu wakusifie
Ulisema huwajui mara sahivi umekubali wanaonyesha kipindi cha tv na ulisema huwajui
Mkuu naona kama ume pagawa, na ume wehuka so una vagaa watu.
👉Hi iwe funzo kwa watu wenye takatakaa kichwani ka wewe.

Hapa nili sema na Tresor Mandala, mcTobby, kuhusu watu kuangalia taarifa Kama hizi, so ume angalia nilipo andika, now una jikuta mjuaji..
Mwishoni angalia na wewe, Kisha uandike bogus mkubwa.
Screenshot_20240221-112830_1.jpg
 
Mkuu naona kama ume pagawa, na ume wehuka so una vagaa watu.
👉Hi iwe funzo kwa watu wenye takatakaa kichwani ka wewe.

Hapa nili sema na Tresor Mandala kuhusu watu kuangalia taarifa Kama hizi, so ume angalia nilipo andika, now una jikuta mjuaji..
Mwishoni angalia na wewe, Kisha uandike bogus mkubwa.
View attachment 2910915
IDx wana crime documentary za mpaka 1880's unachofanya ni kucopy na kupaste
Unavyoambiwa usikasirike na kutoa maneno ya shombo

Mimi IDx nimeanza kuangalia mda sana tokea 2008 kipindi hicho ipo tu dstv acha kucopy bila kutoa credit watu wametumia mda na fedha kuandaa hizo documentary
 
Mkuu naona kama ume pagawa, na ume wehuka so una vagaa watu.
👉Hi iwe funzo kwa watu wenye takatakaa kichwani ka wewe.

Hapa nili sema na Tresor Mandala, mcTobby, kuhusu watu kuangalia taarifa Kama hizi, so ume angalia nilipo andika, now una jikuta mjuaji..
Mwishoni angalia na wewe, Kisha uandike bogus mkubwa.
View attachment 2910915
I swear mkuu, hao investigation discovery siwa jui mzee
comment ya chini ulisema huwajui investigation discovery

alafu comment ya juu unatoa recommendation mtu aangalie investigation discovery

Mtu mmoja huyo; huku anakubali upande wa pili anakataa tuache ujanja na kupenda short cut
 
Back
Top Bottom